sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,045
Utamduni huu upo kwa Wachaga na Wahaya tu. Wahaya wamekuwa na utamaduni huo tangu enzi na enzi. Mpaka kurudi wamekuandika kwenye vitabu vinavyotumia lugha yao. Tofauti Wahaya hawafanyi matambiko ya kichawi kama wafanyavyo wachaga. Wale walioko nje ya nchi wanakutana kwenye mizizi yao kwa muda wanaokuwa wamepanga siyo iwe kwenye kipindi kimoja cha sikukuu.Ni utamaduni unaonishangaza sana, kila ikifika december Wachaga wote wa nje ya mikoa na nje ya nchi hukusanyika pamoja kwenye mizizi yao wanakotokea kwenye vijiji vya mkoa wa Kilimanjaro.
Mwaka jana pekee nilistuka sana baada ya kuona status za wachaga watatu wanaoishi nje ya nchi wamefika huko kwao, Yupo anaeishi China jiji la Guangzou, Marekani jiji la San Fransisco na mwengine wa Australia jiji la Sydney.
Kwa utafiti niliofanya kidogo makutano hayo ni kukutanisha ndugu wote, majirani mpaka marafiki mliosoma utotoni, watoto waliozaliwa huku mijini ama nje ya nchi wanaenda kutambulishwa kwenye mizizi yao, nadhani hata kama ulikopa duka la mangi hicho kipindi utadakwa tu.
Tukija huku makabila mengine ni nadra sana walio mijini ama nje ya nchi kurudi kwenye mizizi yao, Labda sana sana itokee kuna msiba huko kijijini watazika na kila moja kuondoka.
Binafsi kwa mzee ni kanda ya ziwa huko, Yeye alikulia kijijini huwa anaenda kila mwaka lakini mimi nilienda mara 2 tu nikiwa darasa la sita na la saba, shughuli ikaishia hapo !! kwakweli ni kipindi kirefu sana kimepita, naowahesabia ni ndugu ni wale tunaokutana mjini ila kule kwenye mizizi nishapoteza connection nao na hata watoto wakiniuliza kijijini ni wapi nawaambia ni mtaa wa mjini nilikozaliwa.
Nipo mikoa ya Iringa ya Mbeya ila kwa mfano wa kabila maarufu ntawatolea wanyakyusa wa Mbeya, Kwa wale waliozaliwa nje ya sehemu za mizizi yao (Tukuyu ama Kyela) nao mambo ya kurudi kwao ni changamoto, Kwa waliozaliwa mjini hata undugu ni ule wa kujuana ndugu wa mjini. Ikitokea wamerudi huko kwao labda kuwe na mazishi, hali inakuwa mbaya zaidi kwa watoto wa hawa wanyakyusa waliozaliwa mijini wanaweza hata wasipajue Tukuyu,
Wengine nao ni wakinga wa huko Njombe wapo sana hio miji nayoishi, Wazazi waliokulia huko vijijini huwa wanarudi rudi lakini watoto wanaishia kupajua mjini tu na ndugu wa mjini, Nina rafiki aliwahi kurudi kwenye msiba wa bibi yake tu tangu hapo hapajui Makete,
Ishu ni umoja wa kurudi kwa pamoja, unaweza kuwaiga kwenda lakini ukifika huko unajikuta ulieenda upo peke yako, ni heri uende hata kipindi cha likizo kuliko kulazimisha kwenda kwa kuigaHata wapare(kwa kuiga watani zao) wanaenda japo sio kwa uwingi huo.
Ukiachana na wahaya waliokulia vijini kwao, hawa waliozaliwa mjini tupo nao mjini January to December, ikitokea wameenda aidha kuwe na msiba au mara chache wameenda na baba yao.Utamduni huu upo kwa Wachaga na Wahaya tu. Wahaya wamekuwa na utamaduni huo tangu enzi na enzi. Mpaka kurudi wamekuandika kwenye vitabu vinavyotumia lugha yao. Tofauti Wahaya hawafanyi matambiko ya kichawi kama wafanyavyo wachaga. Wale walioko nje ya nchi wanakutana kwenye mizizi yao kwa muda wanaokuwa wamepanga siyo iwe kwenye kipindi kimoja cha sikukuu.
Nasema matambiko ya KICHAWI kwasababu Kilimanjaro (wilaya za wachaga) ukitoa Wapare kwa mujibu wa taarifa za NBS ndiyo inaongoza kwa kuwa na watu wenye ulemavu. Ulemavu huu si wa kuzaliwa bali ni ule wa kichwawi wa mali ambao kila disemba lazima watimize masharti ya kumwaga damu
Rejea kusoma post yangu hapo kwa walioko nje ya nchi ambayo inaenda mpaka kwa wale waliozaliwa maeneo mengine na hawakurudi kipindi cha sikukuu. Wachaga ni lini wanarudi kwao na kufanya makutano ya kifamilia nje ya disemba? Hapo ndiyo utaona utofauti ulipo.Wahaya nao ni wale wale tu, waliokulia huko vijijini ama Bukoba wanarudigi kwao tena wapo waliojenga nyumba za kisasa lakini hawa waliozaliwa mijini hawana utamaduni wa kururudi vijijini, ikitokea wameenda labda kuwe na msiba ama ni mzee wao alikulia huko kaamua kwenda nao,
Kurudi December ndio msimu wa mapumziko, hata kabila la Igbo lenye mafanikio zaidi NIgeria na wakikuyu wa hapo Kenya huwa wanarudi kwao December.Rejea kusoma post yangu hapo kwa walioko nje ya nchi ambayo inaenda mpaka kwa wale waliozaliwa maeneo mengine na hawakurudi kipindi cha sikukuu. Wachaga ni lini wanarudi kwao na kufanya makutano ya kifamilia nje ya disemba? Hapo ndiyo utaona utofauti ulipo.
Huh!!Hata wapare(kwa kuiga watani zao) wanaenda japo sio kwa uwingi huo.
Uongo, kwanza wahaya hawaendi kwao kama wachaga, tupo nao mjini January to December. Pili, wachaga ndio kabila least kwenye ushirikina, dini ya ukristo imefuta mila sana , japo kwa nadra mtu mmoja mmoja anaweza kuwa na mambo hayo, ila in general ndio kabila linaongoza kwa hofu ya Mungu, angalia idadi ya wachungaji na mapadri, we huwajui. Ignorance inakusumbua, alafu pia punguza husda. Itakusaidia.Utamduni huu upo kwa Wachaga na Wahaya tu. Wahaya wamekuwa na utamaduni huo tangu enzi na enzi. Mpaka kurudi wamekuandika kwenye vitabu vinavyotumia lugha yao. Tofauti Wahaya hawafanyi matambiko ya kichawi kama wafanyavyo wachaga. Wale walioko nje ya nchi wanakutana kwenye mizizi yao kwa muda wanaokuwa wamepanga siyo iwe kwenye kipindi kimoja cha sikukuu.
Nasema matambiko ya KICHAWI kwasababu Kilimanjaro (wilaya za wachaga) ukitoa Wapare kwa mujibu wa taarifa za NBS ndiyo inaongoza kwa kuwa na watu wenye ulemavu. Ulemavu huu si wa kuzaliwa bali ni ule wa kichwawi wa mali ambao kila disemba lazima watimize masharti ya kumwaga damu.
Acha kuongopea wasiowajua kijana. Achana na masuala ya idadi ya wachungaji na mapadri. Eti kabila least kwenye ushirikina!!. Thubutu. Ni mchaga unayetumia nguvu kuficha uozo wenu ili wanaosoma hapa waone mko sawa. Ndugu zangu walioa na kuolewa huko. Kinachoendelea huko disemba mnakijua. Nimezunguka kwenye maeneo yenu kwa miaka 14. Utaumbuka kijana. Ulishakaa chini ni kwanini mnazika sana ndugu zenu kila baada ya disemba na pasaka?. Ukijibu hilo utajua kwanini nimesema tofauti ya nyie na wahaya ni matambiko ya kichawiUongo, kwanza wahaya hawaendi kwao kama wachaga, tupo nao mjini January to December. Pili, wachaga ndio kabila least kwenye ushirikina, dini ya ukristo imefuta mila sana , japo kwa nadra mtu mmoja mmoja anaweza kuwa na mambo hayo, ila in general ndio kabila linaongoza kwa hofu ya Mungu, angalia idadi ya wachungaji na mapadri, we huwajui. Ignorance inakusumbua, alafu pia punguza husda. Itakusaidia.
Wahaya wangekuwa wanarudi huko kwao basi kungekuwa kumejengeka huko vijijini, sio hizi picha tunazoziona vijijini kuna nyumba kibao za tope huku zile za kisasa zinahesabika zilizojengwa na wachache wanaorudi vijijiniAcha kuongopea wasiowajua kijana. Achana na masuala ya idadi ya wachungaji na mapadri. Eti kabila least kwenye ushirikina!!. Thubutu. Ni mchaga unayetumia nguvu kuficha uozo wenu ili wanaosoma hapa waone mko sawa. Ndugu zangu walioa na kuolewa huko. Kinachoendelea huko disemba mnakijua. Nimezunguka kwenye maeneo yenu kwa miaka 14. Utaumbuka kijana. Ulishakaa chini ni kwanini mnazika sana ndugu zenu kila baada ya disemba na pasaka?. Ukijibu hilo utajua kwanini nimesema tofauti ya nyie na wahaya ni matambiko ya kichawi
Wewe unasema wahaya uko nao january to december wakari huo huo unasema unaenda kwenu disemba..sasa hiyo disemba unakuwa nao wapi??? Ukirejea post yangu iko wazi kabisa
Wewe unafikiri uchawi ni kutupiana tu mabusha na kupaa kwa ungo. Pole sana. Unaweza kuniambia ni kwanini mnazika ndugu zenu sana baada ya disemba na pasaka? Unasema kusikia mganga wa kichaga lazima ustuke..ebu niambie yule mzee wa pale rau madukani ukishayapita maduka kule kwenye kona mbele anafanya nini, pale rombo maarufu kcmc kuna nini, kule vunjo kitongoji anapokaa mzee manjuu wa majengo kuna nini. Usitake tuweke wazi mambo yenu.wahaya waliozaliwa mjini tupo nao mjini January to December.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpe, Ukiniambia utapeli naweza kukubali ila sio uchawi, wapi na wapi mchaga na mambo ya kutupiana mabusha, kupaa na ungo usiku, kutembea na fisi usiku, malimbwata, n.k. ? Yani hata kusikia kuna mganga wa kichaga lazima ustuke mapema huyo ni tapeli !! uchawi unaweza kuwepo ila ni kwa mtu moja moja tena ule wa kuununua kwengine.
Kuhusu kurudi December ni kipindi maarufu kwa holidays duniani kote.
Wezi ndo unawaita Israel!Hakuna zaid ya wachaga kwa wingi wao wengine labda waige yani wale ndo wana wa Israel
Kurudi au kutokurudi hakuhusiani na kujenga kwenye maeneo yao. Sasa unaongelea nyumba za udongo kuwepo kwa wahaya, hizo nyumba za tope ziko kila sehemu ya nchi hii.Wahaya wangekuwa wanarudi huko kwao basi kungekuwa kumejengeka huko vijijini, sio hizi picha tunazoziona vijijini kuna nyumba kibao za tope huku zile za kisasa zinahesabika zilizojengwa na wachache wanaorudi vijijini
View attachment 2812108
Mimi sio mchaga nishaainisha natokea kanda ya ziwa,Wewe unafikiri uchawi ni kutupiana tu mabusha na kupaa kwa ungo. Pole sana. Unaweza kuniambia ni kwanini mnazika ndugu zenu sana baada ya disemba na pasaka? Unasema kusikia mganga wa kichaga lazima ustuke..ebu niambie yule mzee wa pale rau madukani ukishayapita maduka kule kwenye kona mbele anafanya nini, pale rombo maarufu kcmc kuna nini, kule vunjo kitongoji anapokaa mzee manjuu wa majengo kuna nini. Usitake tuweke wazi mambo yenu.
Hio picha uliyoweka ni kwa wapare, Ukoo wa kina Mchomvu ni wapare, hata mtangazaji wa clouds fm Adam Mchomvu ni MpareKurudi au kutokurudi hakuhusiani na kujenga kwenye maeneo yao. Sasa unaongelea nyumba za udongo kuwepo kwa wahaya, hizo nyumba za tope ziko kila sehemu ya nchi hii.
Niambie nyumba za hivi kwenye picha zilizojaa hapo vunjo ni na huko ndani ndani ni nini