Tukasema ile njia hatupiti tena

Tukasema ile njia hatupiti tena

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,701
Reaction score
14,104
Naam mie ni muumini wa mambo ya kuipa nafsi raha kimwili na kiroho,

Hapa na pale nikaenda kunako kijiji fedenge kumtembelea mchizi wangu wa kitambo toka shule ya Msingi,

Huyu msela wangu naye ni muumini wa pombe za nafaka,,,basi mdogo mdogo tukawa tunaelekea kunako eneo la tukio.

Tukaona isiwe taabu bora tupite njia ya mkato ili kuokoa kiu zetu,

Mdogomdogo tukakatiza kwenye kijinjia cha nyika pori kwo bondeni tukaona kama fuko jeusi,,,mmh roho zikatusita,,,hata hivyo tukaona bora tusagelee laweza kuwa fuko la pesa..lahaulaaaa...

Kumbe ni miili ya watu iliyoharibika,,,kweli Tanzania yetu si ile tuijuayo tena,,,,

Tumefika kilabuni tumekunywa pombe hatulewi roho zimetuchafuka,,hatuthubutu kumueleza mtu,,manake kwa sasa mambo yalivyo ya kissenggee unaweza kuangushiwa jumba bovu mamaee,,,daaah ile njia hatutapita tena,
 
Naam mie ni muumini wa mambo ya kuipa nafsi raha kimwili na kiroho,

Hapa na pale nikaenda kunako kijiji fedenge kumtembelea mchizi wangu wa kitambo toka shule ya Msingi,

Huyu msela wangu naye ni muumini wa pombe za nafaka,,,basi mdogo mdogo tukawa tunaelekea kunako eneo la tukio.

Tukaona isiwe taabu bora tupite njia ya mkato ili kuokoa kiu zetu,

Mdogomdogo tukakatiza kwenye kijinjia cha nyika pori kwo bondeni tukaona kama fuko jeusi,,,mmh roho zikatusita,,,hata hivyo tukaona bora tusagelee laweza kuwa fuko la pesa..lahaulaaaa...

Kumbe ni miili ya watu iliyoharibika,,,kweli Tanzania yetu si ile tuijuayo tena,,,,

Tumefika kilabuni tumekunywa pombe hatulewi roho zimetuchafuka,,hatuthubutu kumueleza mtu,,manake kwa sasa mambo yalivyo ya kissenggee unaweza kuangushiwa jumba bovu mamaee,,,daaah ile njia hatutapita tena,
 
Aiseeee! Kijani haya mambo mnafanya siyo mema kabisa, ona sasa mmeanza kutisha hadi walevi wa Taifa, wakianza kuogopa kutokea vilabuni nchi itajifia kiuchumi wale wamama wauza watapata wapi maokoto, muwe mnafikiria basi kupitia kichwa chenye macho na mdomo bila kusahau pua, maana naona akili zenu mmezielekeza zaidi kwenye kile kichwa chenye mdomo bila meno!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom