Tujuzane zaidi jinsi ya kuwa muuza hisa na bondi

nasrimgambo

JF-Expert Member
Jan 10, 2017
1,858
2,348
Habari,

Kuna hili soko linaitwa soko la hisa la Dar es Salaam (DSE) hapa nchini kwetu na kuna wauzaji wa hisa na hizo bond

Wengi tunavutiwa na habari zao hawa watu wa hisa na bond na pengine kuna fursa nzuri tu kwetu vijana

Ijapokuwa tunafahamu hisa ni nini na bondi ni nini, tupo wengi ambao bado hatujapata taarifa muhimu za kutosha
kuhusiana na soko hili,
Pengine kwa kukosa huko taarifa kuna fanya tukose kuchangamkia fursa ambazo huenda zingetupusha na kilio cha ukosefu wa ajira na kipato

Wenye uzoefu na mnaoelewa hebu tufundisheni hapa tuelimike

Kwanza kwa kujibu maswali haya;

1) najiunga vipi kupata vibali vya kuwa muuza hisa?

2)vigezo vya kuwa muuza hisa

3) mtaji u nahitajika kiasi gani?

4) changamoto zilizoko

5) mafanikio yake yakoje kwa hapa nchini mwetu

6)gharama ya biashara hii ya hisa na bondi kwa ujumla etc

Wadau wengine karibuni muingezee maswali yenu,
 
Hello Mr Nasri,
Uzi wako ni mzuri mno sema wachangiaji sio wengi kwasababu hii elimu ya udalali wa kuuza na kununua hisa na bondi na elimu flani hivi ilijificha ila ni bonge moja la fursa.
Nimebanwa kidogo na majukumu naomba nipe mda nitakuja kushusha ndondo kwenye huu uzi na maswali yako yote hapo juu nitayajibu.
Shukrani
 
Hello Mr Nasri,
Uzi wako ni mzuri mno sema wachangiaji sio wengi kwasababu hii elimu ya udalali wa kuuza na kununua hisa na bondi na elimu flani hivi ilijificha ila ni bonge moja la fursa.
Nimebanwa kidogo na majukumu naomba nipe mda nitakuja kushusha ndondo kwenye huu uzi na maswali yako yote hapo juu nitayajibu.
Shukrani
Tunasubir
 
Hello Mr Nasri,
Uzi wako ni mzuri mno sema wachangiaji sio wengi kwasababu hii elimu ya udalali wa kuuza na kununua hisa na bondi na elimu flani hivi ilijificha ila ni bonge moja la fursa.
Nimebanwa kidogo na majukumu naomba nipe mda nitakuja kushusha ndondo kwenye huu uzi na maswali yako yote hapo juu nitayajibu.
Shukrani
Mkuu bado tunasubiri....darasa lako la jinsi ya kuwa dalali wa soko la hisa (stock broker) na hatifungani.
 
Hello Mr Nasri,
Uzi wako ni mzuri mno sema wachangiaji sio wengi kwasababu hii elimu ya udalali wa kuuza na kununua hisa na bondi na elimu flani hivi ilijificha ila ni bonge moja la fursa.
Nimebanwa kidogo na majukumu naomba nipe mda nitakuja kushusha ndondo kwenye huu uzi na maswali yako yote hapo juu nitayajibu.
Shukrani
Mkuu ukipata muda naomba unijibu hili swali kuhusu bondi.
Niko na uelewa kuhusu hisa maana nilishawahi kunununua na kuuza ila sina uelewa kuhusu bondi.
Swali langu ni je unaponunua bondi na zenyewe huwa zinacheza kwa kupanda na kushuka kama hisa?au zenyewe huwa zinapanda tu?Au huwa zinabaki constant kama zilivyo kisha unasubiria interest yake tu?Je bondi na zenyewe zinaweza kununuliwa kwenye makampuni binafsi au ni kwenye taasisi za serikali tu?Kama jibu ni ndio je kwenye bondi pia kuna risk ya kampuni uliyonunulia bondi kufilisika?
Ni hayo tu

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ukipata muda naomba unijibu hili swali kuhusu bondi.
Niko na uelewa kuhusu hisa maana nilishawahi kunununua na kuuza ila sina uelewa kuhusu bondi.
Swali langu ni je unaponunua bondi na zenyewe huwa zinacheza kwa kupanda na kushuka kama hisa?au zenyewe huwa zinapanda tu?Au huwa zinabaki constant kama zilivyo kisha unasubiria interest yake tu?Je bondi na zenyewe zinaweza kununuliwa kwenye makampuni binafsi au ni kwenye taasisi za serikali tu?Kama jibu ni ndio je kwenye bondi pia kuna risk ya kampuni uliyonunulia bondi kufilisika?
Ni hayo tu

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Ingawa swali halikulengwa kwangu nitaelezea kulingana na uwezo wangu, naamini mhusika akija atakazia na kujazia nyama.

Structure ya bond ni kama mkopo ambapo wewe mhusika unakopesha taasisi za serikali (treasury bills and bonds) au binafsi (mfano kijani bond ya crdb au jamii bond ya nmb) kwa percentage maalumu, so zile asilimia ni constant hazishuki wala hazipandi, utalipwa faida yako kulingana na percentage ya hiyo bond.

So once una invest kwenye bond unatarajia faida tu....(unless kuwepo na myumbo wa kiuchumi nchi nzima...hapa wachumi mtanisaidia)..ndio maana investors wanaiita risk free investment.

Kuhusu kuuza bonds.....,inawezekana na hii inafanywa katika soko la hisa la dar es salaam (DSE) kupitia brokers ambao ni listed na DSE, kwa hiyo huko unaweza kununua au kuuza bonds.
 
Ingawa swali halikulengwa kwangu nitaelezea kulingana na uwezo wangu, naamini mhusika akija atakazia na kujazia nyama.

Structure ya bond ni kama mkopo ambapo wewe mhusika unakopesha taasisi za serikali (treasury bills and bonds) au binafsi (mfano kijani bond ya crdb au jamii bond ya nmb) kwa percentage maalumu, so zile asilimia ni constant hazishuki wala hazipandi, utalipwa faida yako kulingana na percentage ya hiyo bond.

So once una invest kwenye bond unatarajia faida tu....(unless kuwepo na myumbo wa kiuchumi nchi nzima...hapa wachumi mtanisaidia)..ndio maana investors wanaiita risk free investment.

Kuhusu kuuza bonds.....,inawezekana na hii inafanywa katika soko la hisa la dar es salaam (DSE) kupitia brokers ambao ni listed na DSE, kwa hiyo huko unaweza kununua au kuuza bonds.
Sawa nimekupata Shukrani,umenijibu vizuri nilichokilenga sasa kilichobaki ni utekelezaji tu

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom