Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,602
according to TCU wanasema preference will be given to candidate with C or above in chemistry and biology provided he /she have E in Physics.kwa anaetaka MD or pharmacy.
Unaongelea classification ya zamani au hii ya BRN?
Kuna watu wana B za Bio anc Chem lakini wameachwa...
Ni muda muafaka sasa wadau wakubali kwamba TCU inataka kutuharibia elimu!