Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,902
- 14,378
Mngemwambia ukweli tu kuwa kinywaji alichoagiza bei yake ni kubwaTulifika pale tukiwa wanne. kulingana na vyuma kukaza tukaona tukinywa bia tutatoboka ile mbaya tukaamua kuagiza Black Lebel Chupa. e bwanae kunamdada moja akatokea anafahamiana na rafiki yetu moja. Alikaribishwa whisky akakataa basi mwenyeji wake akamwambia aagize anacho kunywa. huwezi amini mwanadada aliagiza wine chupa ambayo bei yake ni laki 1. ilibidi kwanza tuitane pembeni. alipoagiza ya pili pozi likaanza kutuishia, mi nikaanza na kusikia usingizi....