Tujuzane sehemu za bata zinazobamba kwa sasa Dar

Tulifika pale tukiwa wanne. kulingana na vyuma kukaza tukaona tukinywa bia tutatoboka ile mbaya tukaamua kuagiza Black Lebel Chupa. e bwanae kunamdada moja akatokea anafahamiana na rafiki yetu moja. Alikaribishwa whisky akakataa basi mwenyeji wake akamwambia aagize anacho kunywa. huwezi amini mwanadada aliagiza wine chupa ambayo bei yake ni laki 1. ilibidi kwanza tuitane pembeni. alipoagiza ya pili pozi likaanza kutuishia, mi nikaanza na kusikia usingizi....
Mngemwambia ukweli tu kuwa kinywaji alichoagiza bei yake ni kubwa
 
Wala bata wana kazi,Kiwanja kikibamba utasikia hata mpiga bia mbagala kibonde maji leo yuko Kuala Lumpar,Mara London Lounge External,mara Lacassa ,mara Mikassa,mara Blue pub....monde balaaa
 
Eneo langu la kula bata ni pale manzese darajani. Huwa natulia pale na vikaranga vyangu viwili vya mia mia nakula weeee huku napunga upepo,vikiisha nashuka zangu taratibu ili nisijikwae kuelekea home
Ni mnyonge sana wewe
 
Wala bata wana kazi,Kiwanja kikibamba utasikia hata mpiga bia mbagala kibonde maji leo yuko Kuala Lumpar,Mara London Lounge External,mara Lacassa ,mara Mikassa,mara Blue pub....monde balaaa
hahahaha!
wenye akili tumekuelewa mkuu
 
Tips
Havoc
Bucket
Truth
Golden J wameanza kujirudisha tena
Elements
Hangover (sio sana)
La Stanza - Goba
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
sawa
 
Ijumaa na jumamosi ya wiki iliyo pita yani tarehe 29 na 30 /03/2019 TIPS palikuwa pana boa sana tatizo nini wadau???


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom