Eng Kahigwa
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 783
- 625
Yes ni mara saba, nilibugi kidogo.Sio uclick mara saba mkuu? Au simu za siku hizi wamebadilisha?
Yes ni mara saba, nilibugi kidogo.Sio uclick mara saba mkuu? Au simu za siku hizi wamebadilisha?
Una tatizo hili mkuu,pole sana.Nakuja na nondo ya kukuokoa soon.Wakuu natumia samsung j4+ inaandika UI has stopped working
Naomba kujua maana yake nini na kwann simu ina crash sana
Wakuu natumia samsung j4+ inaandika UI has stopped working
Naomba kujua maana yake nini na kwann simu ina crash sana
Unapotumia simu inakuwa nzitoIpi mkuu tuelekeze basi kiongoz
Duuh!! Haya Maisha sio mchezo aiseh wakat mm nawaza buku kuna watu wanasema laki tano ni ela ndogo tuLakini kwa nini uhangaike na simu zenye storage ndogo? wakati kuna simu nyingi zina storage 32,64,128 GB na zinauzwa kwa bei poa kabisa.
Kwa mfano unaweza kupata kitu kina 32gb(Sizungumziu TECNO,ITEL,and something like that) kwa laki 350000 tu,au 64 GB kwa laki 4 tu au 450000 tu,na 128 kuanzia laki 5 na kuendelea.
Unaweza kupata hata kwa chini ya hizo bei nilizoandika mkuuHiyo pesa unasema ni ndogo inaweza ikawa kubwa kwa mwingine we kama unafahamu muelekeze kiongoz wangu
Sina cash kivile mkuu,ila ninapenda lifestyle ya kumiliki vitu vizuri na imara,hapa ninajitoa kwa namna yoyote ile.Duuh!! Haya Maisha sio mchezo aiseh wakat mm nawaza buku kuna watu wanasema laki tano ni ela ndogo tu
Zinaonekana?Kwenye 0ppo f5 mbona nashindwa kubadilisha font style
wapi huko mkuu??sana sana ni kupigwa tu.Lakini kwa nini uhangaike na simu zenye storage ndogo? wakati kuna simu nyingi zina storage 32,64,128 GB na zinauzwa kwa bei poa kabisa.
Kwa mfano unaweza kupata kitu kina 32gb(Sizungumziu TECNO,ITEL,and something like that) kwa laki 350000 tu,au 64 GB kwa laki 4 tu au 450000 tu,na 128 kuanzia laki 5 na kuendelea.
Mwanza Kuna sehemu karibu na kituo cha dala dala cha Central, kuna sehemu wanauza used phones kutoka China tena zipo clean.wapi huko mkuu??sana sana ni kupigwa tu.
ww upo mwanza??Mwanza Kuna sehemu karibu na kituo cha dala dala cha Central, kuna sehemu wanauza used phones kutoka China tena zipo clean.
ww upo mwanza??
Mimi nipo Nyamagana nipe location na bei zipoje tusije kushikishwa tuu.Mwanza Kuna sehemu karibu na kituo cha dala dala cha Central, kuna sehemu wanauza used phones kutoka China tena zipo clean.
Mwanza Kuna sehemu karibu na kituo cha dala dala cha Central, kuna sehemu wanauza used phones kutoka China tena zipo clean.
Nataka zile za muonekano tofauti,Zinaonekana?
Mimi nipo Nyamagana nipe location na bei zipoje tusije kushikishwa tuu.