COMPTON BLVD
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 681
- 617
Hapo kwenye memory, inaonyesha uwezo na matumizi ya RAM,na jinsi apps zinavyotumika.View attachment 1224027
Kwenye USB DEBUGGING ukiweka ON, hiyo inamaanisha unaweza ku install APP yoyote kwenye simu yako kwa kutumia Computer ya Windows au Apple kwa USB CABLE.Hiyo imeweka kwa kuwa Kuna baadhi ya APPS ili uwe nazo inakubidi utumie PC.Habari za wakati huu wandugu, sina shaka mko poa kabisaa eebana leo naomba tusaidiane na kuelekezana setting mhimu na za lazima kweny simu zetu hasa hasa kweny upande wa setting za siri zilizofichwa kwenye DEVELOPER OPTIONS, najua na nina uhakika hiki kitu au jila DEVELOPER OPTIONS sio kigeni kukiskia hasa kwa ww unaetumia smartphone...
Kwann ziitwe settings za sili zilizofichwa!!je ni kweli kuna settings ukizifanya simu yako unakuwa tamu, kali na kasi au slowly kweny kufungua mafile na internet pia na muonekano wa picha na video !!??![]()
![]()
![]()
Mimi huwa natamani sana nizijue angalau settings zote za mhimu kweny huu upande japo nmefanikiwa kuzifahamu chache tu hasa zile zinafanya simu iwe fasta au nzito zile za windows animation scale , transtion na Animator nk, usb debug na vitu vidogo vidogo ila najua humu.
Kuna magwiji humu wa hizo settings naomba leo tusiwe wachoyo tumwage mambo yote hadharani yaani kila settings unayoijua ww ikifanywa kweny simu inakuwa tanu weka hapa ili watu wasett kwa simu zao na wa enjoy simu, maana ndo dhumunin la wengi mpaka kununua simu za gharama la sivo tungenunua tu za tochi... Karibuni wote kwa michango yenu.. Aksanteni.. View attachment 1223920View attachment 1223921View attachment 1223922View attachment 1223923View attachment 1223924
Endeleeni kutupa shule asee....DEBUGGINGKwenye USB DEBUGGING ukiweka ON, hiyo inamaanisha unaweza ku install APP yoyote kwenye simu yako kwa kutumia Computer ya Windows au Apple kwa USB CABLE.Hiyo imeweka kwa kuwa Kuna baadhi ya APPS ili uwe nazo inakubidi utumie PC.
Na ukitaka ku ROOT smartphone pia kwa kutumia APPS za PC,na pia Ku CRACK PASSWORDS.