mambo vip mkuu mimi nina samsung j3 nikiplay video au audio inapause yenyewe mpaka uplay tena upya ndio inaendelea tatizo linaweza likawa ni nn mkuu?Una tatizo hili mkuu,pole sana.Nakuja na nondo ya kukuokoa soon.View attachment 1224258
Duh! Emb ngojaSimu nyingi za Android, hii option ya Developer option imekuwa deactivated na hidden, ili kuiactivate unabidi uingie Settings>About device>Software info>Build number. Kwenye hiyo build number, unabidi uiclick kama mara 7 hivi mfululizo then baada ya hapo itakuwa available kwenye simu yako.
Then utaifungua hapo kwenye settings then utaienable.
Utapata Sony, iPhone,LG, Siemens,NOKIA, ALCATEL, Xiaomi,Oppo, OnePlus, Samsung, Huawei/Honor,HTC,ZTE na nyinginezo kali.Nataka zile za muonekano tofauti,
Location ndiyo hiyo,fuata hiyo line nyekundu ukitokea kituo cha mabasi CENTRAL hadi kwenye jengo hilo,lina kama ghorofa ya chini...Hapo utaona maduka ya simu kali used.Kumbuka simu hizo siyo feki wala mbovu,wanauza simu nzuri sana.Nimekuwa nikinunua simu hapo kwa miaka minne sasa.Mimi nipo Nyamagana nipe location na bei zipoje tusije kushikishwa tuu.
Location hiyo mkuu,ushindwe weweKituo cha daladala zipi mkuu, nipe muelekeo tafadhari
Magroup yapo mengi mkuu,ni wewe hujauliza wadau.Ukitaka wakuunge watakuunga.Tuliwahi kuanzisha group la MICROSOFT LUMIA WORLD back in 2015,hapo tulikuwa tunapeana tips za kutumia Windows phones,lakini tulikuja kupoteana kutokana na Nokia& Microsoft kusitisha Customer Support mwaka 2018 ikafuatiwa na kuacha kuzalisha hizo simu,na pia Wale wenye APPS zao kwenye Windows phone store wakasitisha updates.Maoni wadau kwanini lisifunguliwe group la WhatsApp kuhusu Setting mbalimbali za Simu tutumiazo
Nakushauri uache kutumia hizo default media players,tumia VLC media player Kwa video(hii ni nzuri sana kwa video na audio kiasi),Kwa audio download POWERAMP au JET AUDIO.mambo vip mkuu mimi nina samsung j3 nikiplay video au audio inapause yenyewe mpaka uplay tena upya ndio inaendelea tatizo linaweza likawa ni nn mkuu?
Mkuu nikifika hapo kuna maduka kabisa ama ni simu za deal kwa maana kwamba mpaka niulize wadau.Location ndiyo hiyo,fuata hiyo line nyekundu ukitokea kituo cha mabasi CENTRAL hadi kwenye jengo hilo,lina kama ghorofa ya chini...Hapo utaona maduka ya simu kali used.Kumbuka simu hizo siyo feki wala mbovu,wanauza simu nzuri sana.Nimekuwa nikinunua simu hapo kwa miaka minne sasa.View attachment 1230116
Mkuu nikifika hapo kuna maduka kabisa ama ni simu za deal kwa maana kwamba mpaka niulize wadau.
Duh nimefanikiwa ila setting kibao nimeshindwa kuzielewa.
[/QUOTE]Hapo unaenda setting then unashuka mpk chin kabisa then utaona about phone then build namba gusa pale mpaka itokee neno youw developer now then utarudi sasa
Hiyo ni OS gani? Ni Android or? Mbona hujatuelekeza jinsi ya kuifikia hiyo developer options, pia hizo options zina maana gani, tusaidie mkuu.