Tujivunie asili yetu: Tujuzane michezo ya jadi kwa makabila ya Tanzania

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,095
Mods naombeni muuache uzi huu, jukwaa lamichezo limejaa wadau wanaofatilia zaidi michezo ya kigeni hasa mpira wa miguu

Kutokana na umuhimu wa michezo kwa jamii katika kila kipindi cha historia ya binadamu, Watanzania nao pia walikuwa wakishiriki katika michezo

Michezo hiyo ni kama vile:

WAZARAMO: BAO



WAKURYA: MIELEKA (wao huita "ilikinana")

Your browser is not able to display this video.


TUENDELEEE ........
 
Wasukuma, Wahaya, waha, wafipa, wanyakyusa, wangoni, wamakonde, wamwera, wasambaa, wachaga, wamasai, waapare, wanyamwezi, warangi, n.k.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…