Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,618
Hakuna bunduki wala nini,wote watachakachuliwa. Nitammis sana Rais SlaaMie nawaone huruma wote watakaoteuliwa kuwa mawaziri bunge hili...maana hizi bunduki zinazoenda si mchezo... Peoples power at work
yani bado hujui?...si wanafanya biashara haramu pamoja "human trafficking..did i said drugs?...ohhh not drugs bana biashara haramu ya kusafirisha na kuwa-tanzaniisha wageni hasa wasomali..yap muulize masha kwanini huwa hawarudishi makwao wasomali...yesss..si waziri wa mambo ya ndani mwenye dhamana ya uhamiaji pia" ..pia jk domo zege so masha huwa anampigia mapande ya milupo hasa kila mara anapokuwa ameenda states ...ahahahaha...
maswahiba hawa banaaaa...ohhh pia nimesahau..si unajua masha huwa anamlipia karo mtoto wa jk anaitwa riz-1 kila anapoenda kusoma nje ya nchi...ahahaha... ohhh pia nimesahau "masha sindio kamuajiri mtoto wa jk hapo IMMMA...ndio dogo wa jk ni lawyer "mkusanya-vyeti" na asiye-practise....
YES I SAID IT kwani lini alishabeba hata file la kesi yoyote toka amalize college na kuliingiza hata kwa karani wa mahakama...ohhh sikuizi dogo anataka kuvaa viatu vya mzee wake..ahahahaah...like father like son...ndio mbona THE KENEDY family wapo hivyo...why not the JK family hapa kwetu
Hivi kuteuliwa si kwa walemavu na wanawake..........???oookey du! dili limegoma atapewa ubunge wakuteuliwa huyu!
masha si ndio aliandika mkataba wa DEEP Green. Hiyo Deep green ilichota bilioni 40 na hizo hela ndio zilimwingiza Kikwete ktk uchaguzi wa 2005
Jamani wadau wa jf msiwe wepesi kusahau , kuanguka kwa jimbo la nyamagana hiyo ina maana kuanguka kwa injinia wa dili kubwa kuliko zote ambalo lingempatia jk na masha pesa kubwa ambayo hawajawahi kupata katika dili zote walizowahi kupiga nayo ni dili ya vitambulisho vya taifa ambayo masha alikuwa alete kampuni yake kutoka nje ya nchi kwa baraka za jk,pia kuanguka huko kuna maana sasa yu hatarini kushitakiwa kwa wizi wa fedha za umma kutoka bot akiwa na kampani yake na wanasheria wa imma,waliompa kazi kwa mara ya kwanza mtoto wa kikwete..........habari ndiyo hiyo...........na connection ndiyo hiyo.......mi mtembezi bwana naendelea kutembea!
Acheni uzandiki. Kikwete hahusiki na uhuni unaofanyika majimboni. Sanasana yeye ndiye imembidi aingilie kati katika baadhi ya majimbo kuwashinikiza wahuni wa huko koutangaza matokeo ya halali na kuwaonya kuwa hatambeba yeyote atakayechakachua.
mnmjua jaji alocius mujulizi? nasikia naye alikuwa IMMA pamoja na masha. kama masha akishtakiwa anaweza kupelekewa kesi hiyo
KWa hiyo kwako wewe ni vema mkaendelea na uzandiki na upotoshaji na asije mtu akawarekebisha....
Namjua Masha na pia naheshimiana naye lakini hili la VITAMBULISHO mnamuonea Kikwete...........Just jikumbusheni alichokisema katika mahojiano ya Ijumaa pale Arnatoglu kuhusu "maslahi binafsi" katika huu mradi na mchimbe mjue undani wa suala hili na sio kukimbilia assumptions tu.....no wonder wengine mnakimbilia kukumbatia visivyokumbatiwa mkidhani hamdanganyiki......
Masha si ndo ana Law Chamber ambayo Mtoto wa JK anapata kula yake ya kila siku kama sikosei
Uongo mwingine inabidi ukate kichwa kwanza kabla ya kuuuamini
Wandugu,msigombane. Masha na JK ni 'brothers' long time. Hata JK akienda US anafikia kwa kin Masha, Baba yake Masha ana estates za kutosha US.
Pili Masha ni bosi wa IMMA advocates ambako Ridhwani Kikwete anafanya kazi. Sasa kuna maswali hapa?
Hamna wa kumshtaki Masha. Hana tofauti na Lowassa na Rostam
- Whaaaaaaat? Estates? Wapi in USA?
FMEs!
Acheni uzandiki. Kikwete hahusiki na uhuni unaofanyika majimboni. Sanasana yeye ndiye imembidi aingilie kati katika baadhi ya majimbo kuwashinikiza wahuni wa huko koutangaza matokeo ya halali na kuwaonya kuwa hatambeba yeyote atakayechakachua.