Misterdennis
JF-Expert Member
- Jun 4, 2007
- 1,741
- 482
No actually Marsha na ile IMMA Advocates (kampuni yake) walihusika na Deep Green amabayo iliingiza pesa kibao kwenye uchaguzi 2005. In fact watu walijua Marsha atakuwa Waziri (naibu) hata kabla ya uchaguzi kumalizika 2005!!
Na mmoja wa partners wa IMMMA JK kampa u Judge!
Ndio tunataka tubadilishe katiba, majudge wawe confirmed na Bunge .... sio kugawa u judge kwa mahawara na maswahiba kama njugu. watu wengine hawajawahi ku practice sheria eti wanapewa u judge! this can only happen in TZ and specifically under JK !!