Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,485
- 30,157
Hakika siyo siri tena kuwa serikali ya utawala wa awamu ya tano inafanya juhudi kubwa sana kuwafuta kwa hila wabunge wa upinzani, hususani Chadema
Tumeona wabunge wa Chadema "wakinunuliwa" ili wahame kutoka Chadema na kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli za kuleta maendeleo
Hata hivyo juhudi hizo ni kinyume kabisa na faksafa anayoitangaza Rais mwenyewe kwenye majukwaa ya kisiasa, kuwa maendeleo hayana chama
Tumeshuhudia wabunge kadhaa wa Chadema wakihama chama chao cha Chadema na kujiunga na CCM na kupitishwa "automatically" kuwa wagombea tena wa ubunge
Tumeona pia juhudi kubwa za hawa wakereketwa wakubwa wa CCM, maDED waliopigwa chini na mahakama kuu, kuwa hawastahili kuendelea kusimamia chaguzi zozote za hapa nchini, wakiwatangaza wagombea hao waliohamia CCM wakipita bila kupingwa!
Kumekuwepo pia na juhudi kubwa "kuwapunguza" kwa hila mbalimbali wabunge wa Chadema waliochaguliwa na wananchi wao kwenye majimbo yao
Tulianza kuona hizi hila zikifanywa kumwondoa kwenye ubunge wa jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari
Lakini lililostua dunia mzima, ni huu uamuzi wa majuzi wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Tanzania, Mheshimiwa Ndugai wa kumvua ubunge wa jimbo la Singida Mashariki, Mheshimiwa Tundu Lissu, kwa madai kuwa ni mtoro na yeye Spika, hajui Tundu Lissu alipo!
Hivi ni nani katika dunia hii asiyejua Tundu Lissu alipo, isipokuwa yeye Spika peke yake??
Kila mtu anafahamu namna Tundu Lissu alivyomiminiwa risasi zaidi ya 38 kwenye gari lake, kwenye makazi ya viongozi wa serikali, tena mchana kweupe, na risasi 16 kumuingia mwilini mwake
Lakini kwa kudra ya Mwenyezi Mungu, amemuokoa na kifo, ambacho hao watesi wake walikuwa wamekipanga kwa Lissu
Miongoni ya watu waliokwenda kumwona Dodoma hospital, alikokimbizwa baada ya kupata majetaha hayo, alikuwa ni Spika mwenyewe
Kutokana na hali aliyokuwa nayo, ilibidi uamuzi wa dharula uchukuliwr siku hiyo ya tarehe 7/9/2019 wa kumuhamishia hospitali ya Agakhan jijini Nairobi, huku Spika mwenyewe akiunga mkono uamuzi huo
Sasa ninachojiuliza iweje leo Spika Ndugai, adai kuwa hajui akipo, Mheshimiwa Tundu Lissu??
Ni dhahiri hizi ni njama za wazi za serikali hii ya utawala wa awamu ya tano, ya kutaka kuwapungiza wabunge hao waliochagiliwa na wananchi katika majimbo yao
Swali la msingi ambao sisi wananchi tunajiuliza ni hilo, hivi hizi juhudi kubwa sana xinazofanyika na Bunge letu la kuwapungiza wabunge wa kuchaguliwa na wananchi, lengo lake halisi ni nini??
Naomba mwenye kujua lengo hilo anijuze na Mimi ili nielewe
Tumeona wabunge wa Chadema "wakinunuliwa" ili wahame kutoka Chadema na kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli za kuleta maendeleo
Hata hivyo juhudi hizo ni kinyume kabisa na faksafa anayoitangaza Rais mwenyewe kwenye majukwaa ya kisiasa, kuwa maendeleo hayana chama
Tumeshuhudia wabunge kadhaa wa Chadema wakihama chama chao cha Chadema na kujiunga na CCM na kupitishwa "automatically" kuwa wagombea tena wa ubunge
Tumeona pia juhudi kubwa za hawa wakereketwa wakubwa wa CCM, maDED waliopigwa chini na mahakama kuu, kuwa hawastahili kuendelea kusimamia chaguzi zozote za hapa nchini, wakiwatangaza wagombea hao waliohamia CCM wakipita bila kupingwa!
Kumekuwepo pia na juhudi kubwa "kuwapunguza" kwa hila mbalimbali wabunge wa Chadema waliochaguliwa na wananchi wao kwenye majimbo yao
Tulianza kuona hizi hila zikifanywa kumwondoa kwenye ubunge wa jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari
Lakini lililostua dunia mzima, ni huu uamuzi wa majuzi wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Tanzania, Mheshimiwa Ndugai wa kumvua ubunge wa jimbo la Singida Mashariki, Mheshimiwa Tundu Lissu, kwa madai kuwa ni mtoro na yeye Spika, hajui Tundu Lissu alipo!
Hivi ni nani katika dunia hii asiyejua Tundu Lissu alipo, isipokuwa yeye Spika peke yake??
Kila mtu anafahamu namna Tundu Lissu alivyomiminiwa risasi zaidi ya 38 kwenye gari lake, kwenye makazi ya viongozi wa serikali, tena mchana kweupe, na risasi 16 kumuingia mwilini mwake
Lakini kwa kudra ya Mwenyezi Mungu, amemuokoa na kifo, ambacho hao watesi wake walikuwa wamekipanga kwa Lissu
Miongoni ya watu waliokwenda kumwona Dodoma hospital, alikokimbizwa baada ya kupata majetaha hayo, alikuwa ni Spika mwenyewe
Kutokana na hali aliyokuwa nayo, ilibidi uamuzi wa dharula uchukuliwr siku hiyo ya tarehe 7/9/2019 wa kumuhamishia hospitali ya Agakhan jijini Nairobi, huku Spika mwenyewe akiunga mkono uamuzi huo
Sasa ninachojiuliza iweje leo Spika Ndugai, adai kuwa hajui akipo, Mheshimiwa Tundu Lissu??
Ni dhahiri hizi ni njama za wazi za serikali hii ya utawala wa awamu ya tano, ya kutaka kuwapungiza wabunge hao waliochagiliwa na wananchi katika majimbo yao
Swali la msingi ambao sisi wananchi tunajiuliza ni hilo, hivi hizi juhudi kubwa sana xinazofanyika na Bunge letu la kuwapungiza wabunge wa kuchaguliwa na wananchi, lengo lake halisi ni nini??
Naomba mwenye kujua lengo hilo anijuze na Mimi ili nielewe