Pluto thnker
JF-Expert Member
- Aug 25, 2024
- 273
- 499
kama anaongea kutoka moyon na anaumizwa kuhusu haya yanayoendelea nchn kwetu mi ntamuelewa dada pendo.
Hapohapo mnapohangaika napoPabaya gani aliposhika..?
Umemsikiliza vizuri gwajima??Haijalishi ana nini? Ila aliyosema ni kweli na yanawaumiza watu wengi sana.
Hata machoni pa Mungu hayapendezi.
Hii ni misheni na kuna mtu anatafutwa hapo, take my wordsTuache ushabiki wa vyama ata kama Gwajima anamapungufu au uko nyuma Kuna sehemu alikosea kama binadamu ila hotuba yake italiponya Taifa kama mamlaka zita amua kuchukua hatua chanya.
Ametuonyesha kama Nchi wapi tunakosea na kwa namna gani tufanye ili kurekebisha.
Mungu analipenda ili Taifa ndio maana amemwinua mtu aseme, kama tutaendelea kukaza Shingo, Mungu ata tushughulikia.
Hakuna siku utausikia kipaza sauti kutokea mbinguni kikiongea kwa maana ya Mungu anaongea.
Mungu hutumia watu kufikisha ujumbe, Ujumbe umefika, Wenye mamlaka watafakari na kuchukua hatua na si kumuona Gwajima ni Adui.
WalaaImekuuma etie
Kwa kweli mimi nimemuelewa gwajima tena vizuri sana.je aliyoyaongea ni ya uongo?Jamani wakuu, hivi kuna mtu anayemwelewa huyu mbaba? Maana kila hali ya mambo yake inapodorora, mara moja huibuka na maneno mengi na vioja visivyo na kichwa wala miguu. Jimboni kwake Kawe hakuna lolote la maana alilowahi kufanya, na sasa uchaguzi unakaribia — ghafla ameanza tena na maigizo ya ajabu.
Kwa kweli, kama kuna anayemwelewa, atusaidie. Gwajima, yule anayejifanya mshenga kama Lissu anavyomuita, hebu aache kutuvuruga akili. Siasa siyo sinema.
Hilo swala halina cha uchadema wala uccm.kwa hiyo kwako wewe mtu akipinga mauaji,utekaji,utesaji na ubakaji unamuona ni mshabiki wa chadema siyoMashabiki wa chadema walivyo nyumbu wanamtetea kwa nguvu zote.
Jamaa ana mapungufu pia ila kwa hili la jana yuko sawaWalaa
Mtekeni tuJamani wakuu, hivi kuna mtu anayemwelewa huyu mbaba? Maana kila hali ya mambo yake inapodorora, mara moja huibuka na maneno mengi na vioja visivyo na kichwa wala miguu. Jimboni kwake Kawe hakuna lolote la maana alilowahi kufanya, na sasa uchaguzi unakaribia — ghafla ameanza tena na maigizo ya ajabu.
Kwa kweli, kama kuna anayemwelewa, atusaidie. Gwajima, yule anayejifanya mshenga kama Lissu anavyomuita, hebu aache kutuvuruga akili. Siasa siyo sinema.
Ameongelea swala la utekaji Tanzania wewe hilo halikuhusu yaani unaona sawa kwa utekaji unaoendelea Tanzania..Umemsikiliza vizuri gwajima??
Hakuna mtu aliekamilika...Jamaa ana mapungufu pia ila kwa hili la jana yuko sawa
Umemuota Gwajiboy usiku mzima ikabidi umuandike vibaya humu kabla hata hajakutoka akilini.Jamani wakuu, hivi kuna mtu anayemwelewa huyu mbaba? Maana kila hali ya mambo yake inapodorora, mara moja huibuka na maneno mengi na vioja visivyo na kichwa wala miguu. Jimboni kwake Kawe hakuna lolote la maana alilowahi kufanya, na sasa uchaguzi unakaribia — ghafla ameanza tena na maigizo ya ajabu.
Kwa kweli, kama kuna anayemwelewa, atusaidie. Gwajima, yule anayejifanya mshenga kama Lissu anavyomuita, hebu aache kutuvuruga akili. Siasa siyo sinema.
Matako weweJamani wakuu, hivi kuna mtu anayemwelewa huyu mbaba? Maana kila hali ya mambo yake inapodorora, mara moja huibuka na maneno mengi na vioja visivyo na kichwa wala miguu. Jimboni kwake Kawe hakuna lolote la maana alilowahi kufanya, na sasa uchaguzi unakaribia — ghafla ameanza tena na maigizo ya ajabu.
Kwa kweli, kama kuna anayemwelewa, atusaidie. Gwajima, yule anayejifanya mshenga kama Lissu anavyomuita, hebu aache kutuvuruga akili. Siasa siyo sinema.