PreGE2025 Tujikumbushe ya Askofu Gwajima

PreGE2025 Tujikumbushe ya Askofu Gwajima

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Jamani wakuu, hivi kuna mtu anayemwelewa huyu mbaba? Maana kila hali ya mambo yake inapodorora, mara moja huibuka na maneno mengi na vioja visivyo na kichwa wala miguu. Jimboni kwake Kawe hakuna lolote la maana alilowahi kufanya, na sasa uchaguzi unakaribia — ghafla ameanza tena na maigizo ya ajabu.

Kwa kweli, kama kuna anayemwelewa, atusaidie. Gwajima, yule anayejifanya mshenga kama Lissu anavyomuita, hebu aache kutuvuruga akili. Siasa siyo sinema.
Unamshambulia bila kujikita kwenye maneno anayosema?
 
Mbona ameeleweka tu vizuri!
Kwa kifupi alimaanisha kuna "Genge la State" ambalo linatumwa kuteka na kuua! Na wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama wakithubutu kuligusa wanapoteza vibarua vyao!
Nikaanza kutafakari ile kauli ya Muliro J kuwa siku ile Mahakamani 24.05 Polisi walimkamata Heche na Mnyika tu hao wengine hakujua wamekamatwa na nani,pamoja na kwamba kuna kikosi cha kivita kilikuwa na Nissan nyeupe kikipiga watu na kwenda kuwavunja miguu kisha kuwatupa Mabwepande.
Nchi hii ni ngumu sana!
Nadhani tuanze kutubu dhambi kwa damu ya Watanzania wenzetu iliyomwagika bila hatia!
Ardhi ya Tanzania imeshalaaniwa!
 
Jamani wakuu, hivi kuna mtu anayemwelewa huyu mbaba? Maana kila hali ya mambo yake inapodorora, mara moja huibuka na maneno mengi na vioja visivyo na kichwa wala miguu. Jimboni kwake Kawe hakuna lolote la maana alilowahi kufanya, na sasa uchaguzi unakaribia — ghafla ameanza tena na maigizo ya ajabu.

Kwa kweli, kama kuna anayemwelewa, atusaidie. Gwajima, yule anayejifanya mshenga kama Lissu anavyomuita, hebu aache kutuvuruga akili. Siasa siyo sinema.
Milio imeanza kusikika, hoja yake imeemda mjini.
 
Gwaji boy ni binadam kama binadam wengine, tutamuunga mkono atakapokuwa sehemu ya kupambania jamii!, madhaifuvl yake kila binadam anayo. Sasa watanzani tuko nae na njia pekee ya kumfumba mdomo ni WAHUSIKA WATOKE WAJIBU HOJA ZAKE.
 
Jamani wakuu, hivi kuna mtu anayemwelewa huyu mbaba? Maana kila hali ya mambo yake inapodorora, mara moja huibuka na maneno mengi na vioja visivyo na kichwa wala miguu. Jimboni kwake Kawe hakuna lolote la maana alilowahi kufanya, na sasa uchaguzi unakaribia — ghafla ameanza tena na maigizo ya ajabu.

Kwa kweli, kama kuna anayemwelewa, atusaidie. Gwajima, yule anayejifanya mshenga kama Lissu anavyomuita, hebu aache kutuvuruga akili. Siasa siyo sinema.
Kuna muda uwe hata na aibu na ufiche ujinga wako.
 
Tukiachana na mambo ya Gwajima, nchi nzima hakuna kilichofanyika, sio kawe tu, ni nchi nzima.

Mnataka kuonyesha kwamba sehemu zingine kazi imefanyika ila kawe ndio hakuna kilichofanyika, sio kweli.

Tulia mwenyewe mbeya mjini hakuna alichofanya ndio maana amekimbia jimbo kwenda jimbo jipya la Uyole, na huyo ni spika.
Kweli
 
Kwa kweli, kama kuna anayemwelewa, atusaidie. Gwajima, yule anayejifanya mshenga kama Lissu anavyomuita, hebu aache kutuvuruga akili. Siasa siyo sinema.
Njoo tukueleweshe usiogope
 
Jamani wakuu, hivi kuna mtu anayemwelewa huyu mbaba? Maana kila hali ya mambo yake inapodorora, mara moja huibuka na maneno mengi na vioja visivyo na kichwa wala miguu. Jimboni kwake Kawe hakuna lolote la maana alilowahi kufanya, na sasa uchaguzi unakaribia — ghafla ameanza tena na maigizo ya ajabu.

Kwa kweli, kama kuna anayemwelewa, atusaidie. Gwajima, yule anayejifanya mshenga kama Lissu anavyomuita, hebu aache kutuvuruga akili. Siasa siyo sinema.
Ngoja na wewe uchukuliwe na watekaji uje upatikane huna macho.Ndiyo utamwelewa Gwajima.
 
Jamani wakuu, hivi kuna mtu anayemwelewa huyu mbaba? Maana kila hali ya mambo yake inapodorora, mara moja huibuka na maneno mengi na vioja visivyo na kichwa wala miguu. Jimboni kwake Kawe hakuna lolote la maana alilowahi kufanya, na sasa uchaguzi unakaribia — ghafla ameanza tena na maigizo ya ajabu.

Kwa kweli, kama kuna anayemwelewa, atusaidie. Gwajima, yule anayejifanya mshenga kama Lissu anavyomuita, hebu aache kutuvuruga akili. Siasa siyo sinema.
Kawaambie maboss zako hii imebuma
 
Linaanzisha Uzi ujamwelewa gwaji boy unamwelewa Samia?
 
Tukiachana na mambo ya Gwajima, nchi nzima hakuna kilichofanyika, sio kawe tu, ni nchi nzima.

Mnataka kuonyesha kwamba sehemu zingine kazi imefanyika ila kawe ndio hakuna kilichofanyika, sio kweli.

Tulia mwenyewe mbeya mjini hakuna alichofanya ndio maana amekimbia jimbo kwenda jimbo jipya la Uyole, na huyo ni spika.
Yaani uharibu sehemu X harafu ukimbilie sehemu B ukaharibu tena? Utakuwa na Akio timamu?

Mwisho kimefanyika au hakijafanyika watu Waliopo maeneo husika ndio wanajua wewe endelea kuropoka tuu mitandaoni.
 
Siyo kila kitu ni siasa msiwe wajinga , mnadumaza fikra kuamini kila kitu ni siasa ,ABDUL MTOTO WA SAMIA AU MTOTO WA WAMBURA , AU MAJALIWA
AKICHUKULIWA HALAFU AKAOKOTWA HANA MACHO SAMIA AU WAMBURA AU MAJALIWA ATAJISIKIAJE? kwani hili nalo linahitaji siasa!? CCM mjifunze kutuliza vichwa kutafakari mambo kwa kina mnatia aibu sana na ndio mnalifanya taifa lisisonge mbele kwa ujinga wenu huo.
Yaani ni wapumbavu hata mambo ya ku reason kwa kawaida wanataka mpaka muongozo wa chama...no matter vijana wenye akili wakienda upande ule wanakuwa kama mazezeta
 
Jamani wakuu, hivi kuna mtu anayemwelewa huyu mbaba? Maana kila hali ya mambo yake inapodorora, mara moja huibuka na maneno mengi na vioja visivyo na kichwa wala miguu. Jimboni kwake Kawe hakuna lolote la maana alilowahi kufanya, na sasa uchaguzi unakaribia — ghafla ameanza tena na maigizo ya ajabu.

Kwa kweli, kama kuna anayemwelewa, atusaidie. Gwajima, yule anayejifanya mshenga kama Lissu anavyomuita, hebu aache kutuvuruga akili. Siasa siyo sinema.
hoja yake inamashiko au haina kama haina ikatae kwa hoja na mifano nasio kumshambulia na kuwatoa watanzania kwenye mstaari..
 
Back
Top Bottom