Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,618
Mkuu Mzito Kabwela, ni kweli bado nipo, ila kiukweli hapa nilipofika, sio kuwa najidai, bali niliishaivuka hiyo stage!, yaani niko over and above hiyo posti unayoitaja!, niliacha kutumwa tangu mwaka 2002!, mimi sasa ni kuku wa kienyeji, with 10+ years ya kuchakura, I don't see my self kama naweza kufugika na kusubiri kuletewa chakula kwa kutumwa tena na yeyote no matter who s/he is!.
Pascal.
Mkuu Pasco nakupata vilivyo. Kipindi fulani niliwahi kuuza mafuta kwenye kituo cha njia panda ya kwenda Tanga na Morogoro Chalinze ulikuwa unapita na LIPIKIPIKI lako kuuubwa. Nimekuuzia sana wese ukawa unasema unakwenda na pikipiki South Africa ukawa unabeba totoz za chalinze kwa kasi ya kutisha. Ulikuwa best yangu sana
Last edited by a moderator: