Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

Umenikumbusha sana Bw. Angalieni Mpendu. Kipindi chake cha "Hisia na Muziki" kimenifanya naupenda sana muziki wa zamani hadi leo! Sijui aliishia wapi huyu jamaa!
 
-Deborah Mwenda

-Elizabeth Chalamila(Betty Mkwasa)

-Omar Jongo

-Geofrey Erneo

-Enock Ngombale Mwiru-Handsome boy wa Club Raha Leo Show

-Idrissa Sadallah

-Hendrick Michael Libuda

-Nswima Errrrrrnest

-Richard Leo

-Malima Ndelema

-Mohammed Kisengo

-Rosemary Mkangara

-Nathan Rwehabura

-Nkwabi Ng'wanakilala

-STZ alikuwepo mzee Yusuph Omar Chunda

-Abisai Steven

-Charles Martin Hilary Nkwanga(alivyokuwa Radio one akaanza kujiita Bwana Nkwanga)

-Abdallah Idrissa Majura

-Halima Kihemba


Hah hah hah nimemsikia Malima Ndelema leo...dah
 
Kwa vijana wa zamani. Unakumbuka nini unapopitia majina haya? Je, yuko wapi kwa sasa? Unamkumbuka katika kipindi kipi kilichokufurahisha?

1. Bujaga Izengo Kadago
2. Debora Mwenda
3. Sarah Dumba
4. Julius Nyaisanga
5. Charles Hillary
6. Eshe Mhidini
7. Frolian Kaiza
8. Tumbo Risasi
9. David Wakati
10. Halima Kihemba
11. Betty Mkwasa
12. January Costantine
13. Lando Mabula
14. Ben kiko
15. Abubakary Lyongo
16. Sued Mwinyi
17. Abisai Stevin
18. Nswima Ernest
19. Malima Ndelema
20. Richard Leo
21. Ahmed Jongo
22. Christina Chokunogela
23. Shaban Kissu
24. Jacob Tesha
25. Sallim Mbonde
26. Sekion Kitojo
27. Omary Jongo
28. Abdalla Majura
 
1. Bujaga Izengo Kadago-Michezo lakini alikuwa anakera habari nzuri anaweka mwisho; pia matukio
2. Debora Mwenda-Mama na mwana
3. Sarah Dumba-majira
4. Julius Nyaisanga-DJ Show, sjui pia na kile Starehe na BP
5. Charles Hillary-
6. Eshe Mhidini-Chaguo la msikilizaji
7. Frolian Kaiza-Pia habari za uchambuzi wa nje(not sure)
8. Tumbo Risasi-Huyu sjui Ruvuma vile
9. David Wakati-Mtalaam huyu
10. Halima Kihemba-Morogoro
11. Betty Mkwasa
12. January Costantine
13. Lando Mabula-Chaguo la msikilizaji
14. Ben kiko-Kanda ya Kati/Dodoma
15. Abubakary Lyongo-Michezo sjui na burudan not sure
16. Sued Mwinyi-Nini palee, Penaaaaat, hapana, hapana ni Kona
17. Abisai Stevin-Huyu sjui ni Rukwa au Ruvuma
18. Nswima Ernest-Huyu Mbeya na Rukwa; maarufu Nswima Eeeerrrrnest
19. Malima Ndelema-Mkoa kwa Mkoa, masihara meeeengi
20. Richard Leo-Kanda ziwa/Kigoma
21. Ahmed Jongo-Goooooooooooooooooooooooh, lalaalalala, gooooooooooooh; nini, Goal Kick!
22. Christina Chokunogela-Habari ila hovyo
23. Shaban KIssu-Mazungumzo baada ya Habari na mwenziwe Angaliani Mpendu
24. Jacob Tesha-Habari murua, na External Service
25. Sallim Mbonde-Majira na Matukio
26. Sekion Kitojo-Taarifa ya Habari na Habari za matukio ya nje kama vita ya Kuwait na Iraq
27. Omary Jongo.

Ongeza na Hawa:
28. Fauzia T. Ismail Aboud-Taarifa ya Habari
29. Dominick Chilambo-kwa wana T.P. lindanda
30. Siwatu Luanda
31. Halima Mchuka
32. Titus Philipo
33. Yusuf Omar Chunda-Zanzibar huyu
34. Sjui ni nani alikuwa anaendesha kile cha Club raha leo show; Full uzalendo kipindi hicho,
Haya bwana wacha wajuzi waje wakuchambulie hapa. Ila ilikuwa inapendeza sana, as if uzalendo ulikuwapo kidogo
 
Halima Mchuka, Hassan Mkumbya hawa walishafariki.
David Wakati,

Hvi Julius Nyaisanga yuko wapi jama?
kipaji chake kakimalizia wapi...
 
Kwa vijana wa zamani. Unakumbuka nini unapopitia majina haya? Je, yuko wapi kwa sasa? Unamkumbuka katika kipindi kipi kilichokufurahisha?

1. Bujaga Izengo Kadago
2. Debora Mwenda
3. Sarah Dumba
4. Julius Nyaisanga
5. Charles Hillary
6. Eshe Mhidini
7. Frolian Kaiza
8. Tumbo Risasi
9. David Wakati
10. Halima Kihemba
11. Betty Mkwasa
12. January Costantine
13. Lando Mabula
14. Ben kiko
15. Abubakary Lyongo
16. Sued Mwinyi
17. Abisai Stevin
18. Nswima Ernest
19. Malima Ndelema
20. Richard Leo
21. Ahmed Jongo
22. Christina Chokunogela
23. Shaban Kissu
24. Jacob Tesha
25. Sallim Mbonde
26. Sekion Kitojo
27. Omary Jongo
28. Abdalla Majura

Umenikumbusha mbali sana kaka wakati huo sh. mia inaitwa nyanga. Anyways mnayakumbuka na matangazo ya biashara na vipindi yaliyokuwa yanarushwa RTD kipindi hicho?

1. TANGAZO LA PEDI ZA JESI:
Wanawake kuweni na furahaaa, furahaaa, wakati wote popote na jesi,
Jesi, pedi mpya za kike za njano, ni nyororo raha kuvaa wakati wote......

2. TANGAZO LA DAWANOL
Mgongo wangu waniuma maumivu teleee, dawa ya maumivu dawa yenye nguvu dawa ni dawanol

3. TANGAZO LA SABUNI YA MSHINDI. n.k

MATANGAZO YA VIPINDI:

1. MASHIRIKA YA TAIFA: Mashirika ya taifa Tanzania yapo Mengi... na matangazo mengine mengi. Huwa natamani sana siku moja niende pale RTD nikaombe nipewe hayo matangazo niwe nayasikiliza tu mwenyewe ili niwe nakumbuka utotoni...DA INANIKUMBUSHA MBALI SANA
 
Halima Mchuka, Hassan Mkumbya hawa walishafariki.
David Wakati,

Hvi Julius Nyaisanga yuko wapi jama?
kipaji chake kakimalizia wapi...

kweli hata mimi najiuliza wapiyupo anko J? kuna wakati alikuwa radio one na ITV alikuwa akiendesha kipindi cha hizi nazo, labda isac gamba atufahamishe.
 
Anko Nyaisanga yuko Morogoro na Aboud TV

kweli hata mimi najiuliza wapiyupo anko J? kuna wakati alikuwa radio one na ITV alikuwa akiendesha kipindi cha hizi nazo, labda isac gamba atufahamishe.
 
Dah, kitambo sana enzi za kina Hendrick Maiko Libuda, lakini nasahau jina la yule
Mtangazaji alitangaza mechi ya simba na Atletico sports Aviacao ya Angola ambayo
ilikuwa na wachezaji wakali kama Kanka wemba, Abilio Amanali, Gito, Libenge, Bravo
Yanda, Nero sijui nelo n.k


Wakati huo simba ilikuwa ni kina Abdul Mashine, Mohammed Mwameja, Hussein Masha, Yamadhani Leny
Damian Kimti, Mteze John Rungu, Malota Soma, Edward Chumila n.k


Umenifanya nivikumbuke vipindi maarufu kama HISIA NA MUZIKI, MAHOKA, PWAGU NA PWAGUZI
PITIO LA KITABU NA SAIF D KIANGO N.K

Debora mwenda sitamsahau kamwe kwa kukifanya kipindi cha mama na Mwana
kipendwe hata na watu wazima......... acha Bwana hadithi tamu kama Ua Jekundu,
Binti chura, Kibibi jitu n.k Enzi zimepita sasa watoto wanacheza viduku.

Pia ninawakumbuka waigizaji kama Mzee MUNDU, Mshamu, Matuga n.k
 
Umenikumbusha mbali sana kaka wakati huo sh. mia inaitwa nyanga. Anyways mnayakumbuka na matangazo ya biashara na vipindi yaliyokuwa yanarushwa RTD kipindi hicho?

1. TANGAZO LA PEDI ZA JESI:
Wanawake kuweni na furahaaa, furahaaa, wakati wote popote na jesi,
Jesi, pedi mpya za kike za njano, ni nyororo raha kuvaa wakati wote......

2. TANGAZO LA DAWANOL
Mgongo wangu waniuma maumivu teleee, dawa ya maumivu dawa yenye nguvu dawa ni dawanol

3. TANGAZO LA SABUNI YA MSHINDI. n.k

MATANGAZO YA VIPINDI:

1. MASHIRIKA YA TAIFA: Mashirika ya taifa Tanzania yapo Mengi... na matangazo mengine mengi. Huwa natamani sana siku moja niende pale RTD nikaombe nipewe hayo matangazo niwe nayasikiliza tu mwenyewe ili niwe nakumbuka utotoni...DA INANIKUMBUSHA MBALI SANA
Umesahau tangazo la Revola/
 
1. Bujaga Izengo Kadago-Michezo lakini alikuwa anakera habari nzuri anaweka mwisho; pia matukio
2. Debora Mwenda-Mama na mwana
3. Sarah Dumba-majira
4. Julius Nyaisanga-DJ Show, sjui pia na kile Starehe na BP
5. Charles Hillary- "Amepiga kimo cha mbuzi pale lakini Iddi Pazi ameinyaka"
6. Eshe Mhidini-Chaguo la msikilizaji
7. Frolian Kaiza-Pia habari za uchambuzi wa nje(not sure)
8. Tumbo Risasi-Huyu sjui Ruvuma vile
9. David Wakati-Mtalaam huyu
10. Halima Kihemba-Morogoro
11. Betty Mkwasa
12. January Costantine
13. Lando Mabula-Chaguo la msikilizaji
14. Ben kiko-Kanda ya Kati/Dodoma
15. Abubakary Lyongo-Michezo sjui na burudan not sure
16. Sued Mwinyi-Nini palee, Penaaaaat, hapana, hapana ni Kona
17. Abisai Stevin-Huyu sjui ni Rukwa au Ruvuma
18. Nswima Ernest-Huyu Mbeya na Rukwa; maarufu Nswima Eeeerrrrnest
19. Malima Ndelema-Mkoa kwa Mkoa, masihara meeeengi
20. Richard Leo-Kanda ziwa/Kigoma
21. Ahmed Jongo-Goooooooooooooooooooooooh, lalaalalala, gooooooooooooh; nini, Goal Kick!
22. Christina Chokunogela-Habari ila hovyo
23. Shaban KIssu-Mazungumzo baada ya Habari na mwenziwe Angaliani Mpendu
24. Jacob Tesha-Habari murua, na External Service
25. Sallim Mbonde-Majira na Matukio
26. Sekion Kitojo-Taarifa ya Habari na Habari za matukio ya nje kama vita ya Kuwait na Iraq
27. Omary Jongo.

Ongeza na Hawa:
28. Fauzia T. Ismail Aboud-Taarifa ya Habari
29. Dominick Chilambo-kwa wana T.P. lindanda
30. Siwatu Luanda
31. Halima Mchuka
32. Titus Philipo
33. Yusuf Omar Chunda-Zanzibar huyu
34. Sjui ni nani alikuwa anaendesha kile cha Club raha leo show; Full uzalendo kipindi hicho,
Haya bwana wacha wajuzi waje wakuchambulie hapa. Ila ilikuwa inapendeza sana, as if uzalendo ulikuwapo kidogo
35. Michael Katembo - RIP

Umenikumbusha mbali sana kaka wakati huo sh. mia inaitwa nyanga. Anyways mnayakumbuka na matangazo ya biashara na vipindi yaliyokuwa yanarushwa RTD kipindi hicho?

1. TANGAZO LA PEDI ZA JESI:
Wanawake kuweni na furahaaa, furahaaa, wakati wote popote na jesi,
Jesi, pedi mpya za kike za njano, ni nyororo raha kuvaa wakati wote......

2. TANGAZO LA DAWANOL
Mgongo wangu waniuma maumivu teleee, dawa ya maumivu dawa yenye nguvu dawa ni dawanol

3. TANGAZO LA SABUNI YA MSHINDI. n.k

MATANGAZO YA VIPINDI:

1. MASHIRIKA YA TAIFA: Mashirika ya taifa Tanzania yapo Mengi... na matangazo mengine mengi. Huwa natamani sana siku moja niende pale RTD nikaombe nipewe hayo matangazo niwe nayasikiliza tu mwenyewe ili niwe nakumbuka utotoni...DA INANIKUMBUSHA MBALI SANA

Tangazo la "ubwabwa huu, unanikumbusha mbali sana masikini, mawka 47..."
 
Kwa vijana wa zamani. Unakumbuka nini unapopitia majina haya? Je, yuko wapi kwa sasa? Unamkumbuka katika kipindi kipi kilichokufurahisha?

1. Bujaga Izengo Kadago
2. Debora Mwenda
3. Sarah Dumba
4. Julius Nyaisanga
5. Charles Hillary
6. Eshe Mhidini
7. Frolian Kaiza
8. Tumbo Risasi
9. David Wakati
10. Halima Kihemba
11. Betty Mkwasa
12. January Costantine
13. Lando Mabula
14. Ben kiko
15. Abubakary Lyongo
16. Sued Mwinyi
17. Abisai Stevin
18. Nswima Ernest
19. Malima Ndelema
20. Richard Leo
21. Ahmed Jongo
22. Christina Chokunogela
23. Shaban Kissu
24. Jacob Tesha
25. Sallim Mbonde
26. Sekion Kitojo
27. Omary Jongo
28. Abdalla Majura

1. Bujaga Izengo Kadago yupo SUA TV-Morogoro,
2. Julius Nyaisanga kwa sasa ni Mkurugenzi wa Abood Media -Morogoro,
3. Sarah Dumba kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya,
4. Halima Kihemba nae ni Mkuu wa Wilaya,
5. Betty Mkwasa ni Mkuu wa Wilaya Bahi Dodoma,
waliobaki endeleeni kutujuza.
 
Back
Top Bottom