Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,980
- 32,287
yaani RTD ilikuwa ni balaa.
Ukiachilia mbali watangazaji mahiri
pia pakawa na kipindi cha benki ya CRDB...
Jingle yake ilipigwa na Sikinde na kuna kipande murua anaunguruma Benovilla Antony anasema...
Watu binafsi na wakulimaa
Na wafanya biashara
Na vikundi vilivyoahinishwa
Mnaweza kukopa CRDB...
CRDB ni chombo
Kilichoundwa Madhubuti
Kinachotilia mkazo
Maendeleo ya Umma
Nani anamkumbuka mtangazaji aliyekuwa anaongoza kipindi hichi?
Kilikuwa kinaanza saa moja na robo mpaka saa moja na dakika 45 jioni.
Dah!
Gang Chomba, sikuelewielewi ati?
Au nawe ulikuwa mtangazaji?
Last edited by a moderator: