Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
Poa mwana ! enzi hizo Mchwampaka ! aliwakamata madogo wamewasha moto kiwanjani saa sita mchana wanaota! kumbe walikuwa wanakamua jani kiulaini walipomuona wakatupa vipisi kwenye moto!
Heri hao wana busara. Kuna wale waliokuwa wanakaa kwenye yale mapango kule mpakani na Jangwani. Hawa walimwambia Mchwa arudi alikotoka tena kinyumenyume. Hiyo kwata iliyotokea hapa ilikuwa ya aina yake. Hebu fikiria mzee mzima Mchwa akipiga ligwaride kinyumenyume mpaka maeneo ya bweni!Hii sidhani kama alimhadithia kaka!Hivi nani anaikumbuka na ile stori ya Mchwa kumwambia kaka kuwa ameriona rianafunzi rinatishia kumpiga kaka na bastora?