Japhet Davies
Member
- May 12, 2013
- 71
- 8
Mjomba kwani na wewe ni wa pugu boys mbona unawasemea si uwaache wajisemee wenyewe.Mbona unataka kutuletea shule za maporini wakati wewe ulisomea skuli ya Langoni.Na naomba unitajie kabila lako waweza kuwa mtani wangu ili nikutanie vizuri
Hahahahaaaaa