Aliwagomea wazee wa intel kumletea daily repots ndeefu badala yake wamletee page moja au nusuWatu waliandamana, nisikiavyo Trump alikua ndani ya nyumba yake akichungulia dirishani. Baada ya kumuonyesha shit holes zao waliondoka. Ni baada ya kusema developing countries are shit hole countries.
Daah kusema kweli mpk roho inaumaHii ndo mipasho ya Trump kwa BidenView attachment 1622034