Gamba Jipya
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 401
- 80
Heshima mbele sana wakuu watu wazima na si vijana waliozaliwa 70s ukuta huu si wenu na wala msibandike kitu, acheni kaka zenu tujikumbushe raha za zamani!
Wakuu nataka tujikumbushe viwanja vya zamani jijini Dar, kama ulikuwa Arusha au Mwanza, Dodoma etc karibu sana, ni viwanja gani unavikumbuka na nini kilikuvutia tofauti na viwanja vya sasa vya kula raha kamili.
Mimi nakumbuka viwanja kama
Motel Agip
New Africa Hotel
Haile Selassie Club
Kilimanjaro
Railway Club
Msasani Club
Mbowe Club..........
Raha zilikuwa zamani bwana, totoz safi, challenge kuzipata, ngoma ilikuwa bado haijashika kasi, maduka yalikuwa hayauzi condoms, ukiingia club wote mnajuana, usalama wa kumwaga maisha bei haisumbui sana, ilikuwa raha sana enzi hizo.
Those we' days man...
Vipi wakuu kumbukumbu zozote......?
Wakuu nataka tujikumbushe viwanja vya zamani jijini Dar, kama ulikuwa Arusha au Mwanza, Dodoma etc karibu sana, ni viwanja gani unavikumbuka na nini kilikuvutia tofauti na viwanja vya sasa vya kula raha kamili.
Mimi nakumbuka viwanja kama
Motel Agip
New Africa Hotel
Haile Selassie Club
Kilimanjaro
Railway Club
Msasani Club
Mbowe Club..........
Raha zilikuwa zamani bwana, totoz safi, challenge kuzipata, ngoma ilikuwa bado haijashika kasi, maduka yalikuwa hayauzi condoms, ukiingia club wote mnajuana, usalama wa kumwaga maisha bei haisumbui sana, ilikuwa raha sana enzi hizo.
Those we' days man...
Vipi wakuu kumbukumbu zozote......?