muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 13,390
- 9,833
Looh poleni sana, nadhani jinamizi la kuwapoteza ndugu& rafiki halijakutoka mpaka leo...walale pema...ameen.nilipoteza classmates 26 kwenye hii meli, wapumzike kwa amani
Looh poleni sana, nadhani jinamizi la kuwapoteza ndugu& rafiki halijakutoka mpaka leo...walale pema...ameen.nilipoteza classmates 26 kwenye hii meli, wapumzike kwa amani
ameen. haikua rahisi hasa tuliporudi kufanya mtihani kwa mara nyingine kwa sababu ulizama kwenye meli.. gap ilikua kubwa kwa kweliLooh poleni sana, nadhani jinamizi la kuwapoteza ndugu& rafiki halijakutoka mpaka leo...walale pema...ameen.
Sio kila sehemu ina mita 80, mita 80 ni kina kirefu kabisa kwenye ziwa victoria kama sijakosea lakini unapokuwa karibu na fukwe zinapungua angalia jinsi kina chake kilivyo
View attachment 646271
Nani ataipanda? Hilo ni kaburi la wapendwa wetu. Waache wapumzike humo humo.Hivi ziwa Victoria lina urefu wa mita 80 kwenda chini, kwa nini wasingeitoa hiyo meli iendelee kupiga kazi??
Kweli kuna kitu hakipo sawa na sehemu ilipozamia km 30 toka bandarini ukiangalia ni chini ya m 10 kwa mujibu ya hivyo vipimo.....inamaana ilizama sehemu ambayo yenyewe ni ndefu kuliko kina?!
!
Kuna kitu halipo sawa hapo. Yaani kina cha ziwa viktoria hakuzidi urefu wa Uwanja mmoja wa mpira? Au haizidi up ana wa mbio za mita Mia?
Pole sana, wapumzike kwa amaninilipoteza classmates 26 kwenye hii meli, wapumzike kwa amani
Una uhakika kizazi hiki kingeendelea kuipanda pamoja na kumbukumbu mbaya?Hivi ziwa Victoria lina urefu wa mita 80 kwenda chini, kwa nini wasingeitoa hiyo meli iendelee kupiga kazi??
Tungechukua tu hata spea na vyuma chakavuUna uhakika kizazi hiki kingeendelea kuipanda pamoja na kumbukumbu mbaya?
Hatari, nasikia huyo jamaa alipigiwa simu na tajiri aliyekuwa kwenye meli kwamba huyo tajiri alikuwa na million 80 na ambaye angemuokoa angechukuwaa hizo pesa. Ndo jamaa wakapagawa wakabeba mitungi ya gesi wakaenda kutoboa ili wamtoe tajiri wapate pesa. Ttizo lilikuwa elimu maana walisombwa wote kungizwa kwenye meli maana maji yaliingia kwa pressure kali nao wakafa.!
!
Ila pamoja na yooote kuna yule mpumbavu ambaye alipanda juu ya Meli akatoboa ili aokoe watu. Yule mtu sijui alikuwa na akili gani.
Duh kumbe haikuwa deep kihivyo mie nlikuwa nafikiria sijui mtr 500 kwenda chini duh ahsante kwa taarifaSio kila sehemu ina mita 80, mita 80 ni kina kirefu kabisa kwenye ziwa victoria kama sijakosea lakini unapokuwa karibu na fukwe zinapungua angalia jinsi kina chake kilivyo
View attachment 646271
ameenPole sana, wapumzike kwa amani
pole sana, Pia sis wengine tulipata simanzi, kila mmoja kwa aina yake ; mimi ndiyo nilikuwa nimeajiriwa mwezi huo, boss wangu akapoteza maisha kwenye ile meli wakati akirudi Dar baada ya kukosa ndege; it was too sad hasa ukiwaona watoto wake na mama wakija ofisini pale lah.Hii ajali ilibadili kabisa mwelekeo WA maisha yangu maana nilimpoteza baba yangu kipenzi, yeye ndo alikuwa kila kitu katika kulea familia hivyo baada ya ajali kila kitu kikasimama ghafla. Shukrani kwa mama yetu aliyeweza kusimama kidete na kutupa nuru mpya.
UnachekeshaHii ilimkosakosa baba yangu mpenzi, nakumbuka siku hiyo alienda bandari ya bk kupanda hii meli kwa safari ya Mwanza......... na ilikua dingi akisafiri ni full shangwe nyumbani mixer kujiachia sana kwa makelele, ghafla tunasikia mtu anakohoa chumbani ile kuchungulia ni mshua kalala na hatukujua karudi saa ngapi jioni ile. Baadae akatuambia kwa masikitiko kwamba meli imejaa sana hivo hakupata usafiri. Kesho yake yakawa haya........
PoleniMv bukoba kuna kipindi miaka ya tisini mwanzoni ilikuwa inaenda musoma pia,tukiwa wadogo tuliipanda,nakumbuka kwenye meli walikuwa wanakataa watoto wachanga kulia eti itazama,sifa nyingine ilikuwa inasafiri kiupande upande kama imeelemea upande mmoja!
Siku inazama pale shule ya nyanza primary mapema tulipata taarifa,sie tuliokuwa tunakaa nera kando ya ziwa,kuna muda miili ilikuwa unaikuta ufukweni mwa ziwa ukienda kupiga mswaki "bichi"
Ilikuwa hatari sana tulimpoteza mwanafunzi mwenzetu wa nyanza ali mwarabu na familia yake wakitoka harusini,pia imam wa kwanza wa masjid al asais makongoro nae mauti yalimkuta humo!