barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,726
- 32,818
Niliposoma andiko la Shigongo nikatabasamu sana.Nikavuta picha ya Erick ambaye huwa anasimama kwenye mimbari na kuhamasisha vijana wasikate tamaa wala kulia hovyo,wapambane.
Nilivuta picha ya Erick Mhamasishaji ambaye huongea kwa kujiamini sana mbele za watu.Nikaumia kuona kuwa kumbe hata Shigongo na yeye anahitaji semina licha ya kuwa yeye huwa mtoa semina nyingi za vijana juu ya kujitambua.
Hasa pale Erick amaposema alilia mbele ya wafanyakazi wake,alilia mbele ya mke wake.Kumbe kweli kila mtu hajakamilika.Katika wale anaowapa semina ya maisha "Street University",kumbe miongoni mwao pia wanatakiwa wampe Erick semina pia juu ya maisha.
Mpaka leo Erick alikuwa hajaijua CCM vizuri,mpaka pale msg zake zilipokuwa hazipokelewi na kujibiwa na Kinana na pale alipopewa chupa ya Maji na Zakia Meghji badala ya pesa yake.Kumbe bado Erick hajahitimu vizuri Street University.
Shigongo anahitaji pia Semina....Pole sana Erick
Nilivuta picha ya Erick Mhamasishaji ambaye huongea kwa kujiamini sana mbele za watu.Nikaumia kuona kuwa kumbe hata Shigongo na yeye anahitaji semina licha ya kuwa yeye huwa mtoa semina nyingi za vijana juu ya kujitambua.
Hasa pale Erick amaposema alilia mbele ya wafanyakazi wake,alilia mbele ya mke wake.Kumbe kweli kila mtu hajakamilika.Katika wale anaowapa semina ya maisha "Street University",kumbe miongoni mwao pia wanatakiwa wampe Erick semina pia juu ya maisha.
Mpaka leo Erick alikuwa hajaijua CCM vizuri,mpaka pale msg zake zilipokuwa hazipokelewi na kujibiwa na Kinana na pale alipopewa chupa ya Maji na Zakia Meghji badala ya pesa yake.Kumbe bado Erick hajahitimu vizuri Street University.
Shigongo anahitaji pia Semina....Pole sana Erick