aminiusiamini
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,577
- 2,220
najiuliza mbona wale wote waliomtusi lowassa wanaipata sana. Acha waliokufa tu. Diallo anasoma namba,huyu shigongo naye .Mungu wa lowassa achana nae aise
Kweli ngoja akome kwani anapolia eti anamwaga machozi Waitii, mnafiki tu huyo, je na mke wa mtoto wa dandu atasemaje tangu mtoto wa dandu afariki??? Inamaa yeye hajui km baado tuna uchungu nae, tena aanze kumuomba lowasa na dini ya waisilaam, na wakristo msamaha na ajulishe vile vile kuomba msamaha family ya mtoto wa dandu bila hivyo ataendelea kuutesa alicho kitesa, nyambavu kabsa