Dahafrazeril
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 1,500
- 2,055
Acha ubashite.Mimi naanza na haya --- Sipendagi ujinga
--- Hainaga ushemeji
----Haijawahi kumwacha mtu salama
-----Muhenga
----- Pambana na hali yako
Nawewe ongezea maneno mengine ambayo unayakumbuka