Tujikumbushe Mabasi ya abiria ya zamani tokea tupate uhuru

Captain22

JF-Expert Member
Aug 25, 2011
623
279
Wadau haswa lale lalioenda umri kidogo, hebu tukumbushane mabasi yetu ya zamani. Mengi yalikuwa ni Leyland.
Nakumbuka Njuweni, Masama Clif na Masama Safari, Yarabi Salama na Yarabi Toba.

RELWE%5B1%5D.jpg


Vacation+151.jpg



IMG_6542.JPG


UDA.jpg

UDA

sikinde.jpg


attachment.php
 
Back
Top Bottom