Tujikumbushe Mabasi ya abiria ya zamani tokea tupate uhuru

the big mayai
bazuu-alaaa wasalaam saitama japan
kiswele
widambe
mirji
tanzania railways corp.
KAMATA
 
Kwa wale Wanama wa kibosho manlike burka makereshoo! Nyuma lilikua limeandikwa lay mungo huyooooooo!
 
Mabasi haya yalikuwa yanatoka wapi kwenda wapi? Kwa anayejua anijibu.
1. Kyindokyakombe
2. Kyindokyakosembe.
Na hili je Mungete trans
 
Walosoma kanda ya ziwa tabora huo, HINDOCHA, DATANIZI, MZALENDO, MAMLO, SUDEN
 
Kulikuwa na basi moja linaitwa United likitoka Bunda kwenda Serengeti those times 90s. Nakumbuka nilipandishwa na mama but sikulipa nauli, nikajiona bonge la mjanjaaaaaaaa.
 
Back
Top Bottom