Tujikumbushe kidogo Primary School.

Tujikumbushe kidogo Primary School.

comfix

Member
Joined
Feb 15, 2014
Posts
59
Reaction score
11
Mamboz, unakumbuka nini ambacho huwezi kusahau kipindi ukiwa msingi?
 
Kuna mwingine ulikuwa unapigwa wakati wa inspection - uliitwa baba paka alisema......
 
Kanga kwa kiingereza sijui aitwavyo, ila korongo ni flamingo. Kwa jicho langu mzuri korongo.
Maudhui ya wimbo huo yatengeneze mwenyewe, mtunzi alitumia sanaa na kuamua kuiachia hadhira itafsiri kwa mapana yake
 
Kuna wimbo huu 'mchaka mchaka chinja...' kuna maneno yanayo fuata ndo mtihani kwangu.Yaani "alinselema halija" Sijui yalikuwa ni sahihi?Ila nimeuimba hivyo hadi form four.
 
Aliselema alija, hiyo nilifuatilia maana yake ni "Polepole ndio mwendo"
 
Mi nakumbuka zaidi wombo wa kwenda nyumban.."sasa saa ya kwenda kwetu..."
 
Wimbo wa. Lingoma mama lingoma ukilala chali utaliwa lingoma vole vile
 
aaaalisemaaaa,alisemaa,alisema nyerere alisema vijana wangu oote mmelegea sasa jifunzeni mchakakamchaka(duu mpaka leo sielewi alisema maneno hayo kwa hutuba ya mwaka gani,Na mimi nijuzeni hapo)
nyengine hii,,,,
mbuga za wanyama wa Tanzania,,,ya kwanza ni serenget,Ngorongoro manyara na mikumiii hoooo,,,,,,,,,,talalila hoeeee
Gwaride sasa.....
Kushoto,kulia,kushoto,kulia tena kwa sauti kuu Moja mbili,tatu,moja
parade ukaguzi wa usafi utaskia wimbo wa band
"kama mchafuuu,pita mbelee,usingojeee,kutolewaaa,,,
hiyo ni kila siku ya jumatatu na Alhamis asbhi.
Duuu primary bana Achaaaaa
 
aaaalisemaaaa,alisemaa,alisema nyerere alisema vijana wangu oote mmelegea sasa jifunzeni mchakakamchaka(duu mpaka leo sielewi alisema maneno hayo kwa hutuba ya mwaka gani,Na mimi nijuzeni hapo)
nyengine hii,,,,
mbuga za wanyama wa Tanzania,,,ya kwanza ni serenget,Ngorongoro manyara na mikumiii hoooo,,,,,,,,,,talalila hoeeee
Gwaride sasa.....
Kushoto,kulia,kushoto,kulia tena kwa sauti kuu Moja mbili,tatu,moja
parade ukaguzi wa usafi utaskia wimbo wa band
"kama mchafuuu,pita mbelee,usingojeee,kutolewaaa,,,
hiyo ni kila siku ya jumatatu na Alhamis asbhi.
Duuu primary bana Achaaaaa
Hapo kwenye red ni Tanzania hoooyeee
 
Nakumbuka pale Kilindoni Primary School 1992 Mwalimu Shomari Tugawane,Mwalimu Mapande,Stewart Mmari,Khalfan Omari,Isaya Mwakatundu,Zuwena Shabani,Mama Nchimbi.
 
Aliselema alija, hiyo nilifuatilia maana yake ni "Polepole ndio mwendo"

Chinja…kamata…tupa…kuleeeeee!!! alisemaaa alisema, alisema nyerere alisema vijana wangu wote mshikamane!
 
vijana mpooo, tupooo, tupoo kabisa jeuri ya chama chini ya umoja vijana wa ccm yeba waa
 
Mimi nilikuwa napenda vipindi vya Mapumziko,Dini,Michezo na kuwaangalia wakina Power Mabula na mazingaombwe ya joka la kibisa.
 
Back
Top Bottom