Tujikumbushe ILBORU

Tujikumbushe ILBORU

n1246250343_30239292_1874.jpg



n1246250343_30239293_2274.jpg



n1246250343_30239296_6681.jpg


n1246250343_30239297_7054.jpg



Picha ya Chini Kabisa hiyo ndiyo Golgota Wakuu
 
Wandugu,

Mmenikumbusha mbali sana. Mzulu na hotuba zake za two hours kwa form five and form ones kuwaeleza namna Ilboru ilivyo na kupata three is as good as kufeli. Mikate ya kwa Loning'o.... ukimuuliza mikate shs ngapi, anakuambia "..bia mbili" meaning mia mbili.

Machakura was the great, funny? guy i have ever met. I remember in one of the school baraza iliposemwa kwamba the only means of communication was in English, na ilipofika zamu yake kama kawaida yake kutoa matangazo he started with ...Aroo, after this exercise..." maneno yakamwishia na kicheko kilichofuata toka kwa wanafunzi kilitosha kuvunja baraza kabisa.

That school song:

Shule yangu Ilboru inasifika sana
Popote ninapokwenda inasifika sana
Kwa elimu (sijui na nini) inasifika sana
Shule yangu nakupenda...

Enzi za Mr. Msaki (Headmaster) kama tulivyo muita an object in the box, kwenye ile ofisi yake ambayo ilikuwa kama in hang vile...

Mambo ya half life, mbona ilikuwa raha? 94-96 kulikuwa na a crazy young man PCM anaitwa Frank, the guy was funny... Oh Ilboru!!!

Wakati wa kampeni za uchaguzi jamaa akawa anahutubia wananchi pale uwanja wa kanisani alisema "Ekenywa na Sekondari, oyeee" Jamaa wa Ekenywa wakawa offended kwa kuwa nao walikuwa ni secondary.

Zamu za kukuoboa mahindi kwenye mashine ya shule,

Natamani kuzuru Ilboru kuiona shule hii



Na haka ni kale ka wimbo katamu ka Ilboru, kama nimekosea
Mnisahihishe maana huu wimbo pamoja na kusoma miaka yote
Ilboru haukuwahi kukaa kichwani vizuri



Shule yangu Ilboru inasifika sana,
Kokote ninakokwenda inasifika sana,
Kujitegemea kwake inasifika sana,
Shule yangu Ilboruuuuu

Walimu wafanyakazi wanasifika sana,
Kwa Kazi za Darasani wanasifika sana,
Kwa Upendo na amani inasifika sana
Shule yangu Nakupendaaaaaaa
 
Hivi kwa nini hamna functions kama za old school boys meeting then at least tuchangie hii shule yetu jamani?
Maana the last time I was there imechakaa vibaya mno!
Inasikitisha kuona watu kama akina Sumaye,Isisdori Shirima na wengine wengi hawaipigii debe hii shule angalau ifanyiwe marekebisho!
 
Thanks for the pictures.

Mazingira ya navutia mpaka imebidi nilikumbuke winter la Ilboru. Nathani lilikuaga kali kuliko la AR town.

Picha nzuri sana mkuu hongera kwa kumbuka picha nzuri za mazingira, Your Target is very perfect one.
Picha si mpaka sura yako iwepo, mazingira tu ni ukumbusho tosha sana.
 
Ab-Tichaz, duh mkuu umemaliza mambo yote manake naiona "Bino Rodi", "Upper pitch pale basketball court" na mwisho ni pale "Lecture hall"..... ha ha haaaa

hivi wakuu mnakumbuka mambo ya "Kushika bomba" kule kwenye social evenings (KB, Weruweru etc?).... duh si utani manake ilikuwa maisha to another level..... zile late 80s na mwanzonio kabisa mwa 90s kulikuwa na wale wa "Kris Kros" manake ilikuwa ni jeans kubwa halafu inageuzwa mbele nyuma mwendo wa "KB".....
 
Mkuu Ab,
Salute!
If I may ask, hizi picha ni za lini? I mean is Ilboru still the same? Toka nineties?
 
Ab-Tichaz, duh mkuu umemaliza mambo yote manake naiona "Bino Rodi", "Upper pitch pale basketball court" na mwisho ni pale "Lecture hall"..... ha ha haaaa

hivi wakuu mnakumbuka mambo ya "Kushika bomba" kule kwenye social evenings (KB, Weruweru etc?).... duh si utani manake ilikuwa maisha to another level..... zile late 80s na mwanzonio kabisa mwa 90s kulikuwa na wale wa "Kris Kros" manake ilikuwa ni jeans kubwa halafu inageuzwa mbele nyuma mwendo wa "KB".....

Morani kumbe na wewe ni Ilboru? Mie nilimaliza mwaka 1989 pale Arusha Tech na akina Method Mogella. Nakumbuka miaka hiyo waliletwa watoto wa ma Diplomat na wakaja na nywele za ajabu (cut style). Ilboru wakazifunga timu zote za shule ya Secondary pale Arusha na wakaamua kujikakamua kuja kucheza na sisi. Wakachukua goli zao nzuri tu. Sisi tulikuwa na marehemu Mogella na marehemu Sonda.
Hivi huyu kijana aitwaye Killer, ni kweli alirusha mtu dirishani? Jamaa zangu waliotoka Tanga School walinipa hiyo story. Alikuwa akija watembelea pale ATC siku za weekend na hasa Ilboru walikuwa wanakuja wengi sana kuangalia VIDEO siku ya IJUMAA. Kiingilio Shillingi 5 sijui? Unawakuta akina Mhagama wamekaa mlangoni. Mlivyowatilia ngumu akina Bob Venny na Mwanza kuserebuka kwenye Graduation ya form 6, ukaanza ugomvi. Nakumbuka Ilboru wakawa hawaruhusiwi kuingia kuangalia Video. Utoto bwana??
Nilikuja siku moja hapo Ilboru. Jamaa yangu alikuwa na ndugu yake aitwaye John (Mnyamwezi wa Sikonge.) Huyu alikuwa akiimba kwaya kwa Mchungaji Mtangoo pale kanisa la Anglican. Huyu Mzee nimepata habari kawa Mzee na karudi kwao Dodoma. Pia alikuwepo Askofu Alpha na gari lake Alpha Romeo.
Kwa wale waliopo sasa, kuna kijana mmoja mtoto wa mshikaji wangu anaitwa Chagulla (Nusu Mzungu) ameshamaliza? Alikuwa akijisifu kuwa ni mchezaji mzuri sana wa mpira. Namfahamu huyu dogo tangu akiwa mdogo sanaa. Baba yake husema MAJAMBAZI YANGU. Kijana Chagulla kama umo ndani basi tuwasiliane, maana siku nyingi ati. Nakumbuka mwaka huu mwanzoni tulivyoenda kuangalia ile film ya 3D huku tumevaa miwani...🙂
Hiyo njia naikumbuka sana. Inaanzia pale Mianzini kuelekea Ilboru. Hapo unawapita akina Mama yeyo na Maharage yao, Ndizi na UGOLO.....🙂
 
Inashangaza shule ya the so called 'vipaji' haina alumni society. Igeni mfano wa Mlimani Primary School Alumni http://www.mlimani.org/. Wameungana na sasa wanafanya mabadiliko makubwa katika shule yao ya zamani. Why should students be in the same education environment as it were for you all 10, 20 years ago? Have an alumni society which supports the school's Maktaba, Tuition Sponsorship, Academic Prizes, Career advice/seminars, College applications assistance etc. Tanzanian School's Alumni societies should go beyond michango ya harusi and the like... Peruse at what the 'Ilboru' of Kenya is doing http://www.alliancealumni.org/
 
Mkuu Yourname....., unajua kwetu sisi wa zile 80s kulikuwa na mahali pale DT (down town kama tulivyozoea kuita mjini kati) lilikuwa pale clock tower, CAVE DISCO!!! si mchezo mwanangu palikuwa pametimia haswa......

Mkuu Sikonge, ile miiti ni pale ukitokea Ilboru shule na hiyo miti ya kushoto ni School Chapel.... hii njia haitokei mianzini bali ndiyo ilikuwa inaitwa Bino Rodi, orijino.... kuna njia nyingine ya mianzini, central line na pia kule sanawari.....

Epigen....., correction mkuu!! Ilboru wakati ikiwa Ilboru orijino haikuwa na vipaji... asante kwa ushauri, ila nakumbuka kulikuwa na vuguvugu flani miaka ya mwanzoni mwa 2000 lakini sikufuatilia!! wakuu wa Ilboru, this may be our best chalenge to start au kuendeleza (kama ilishaanzishwa) hii kitu wanaita Alumni... sijafika Ilboru since early 90s so sijui hata shule yetu ina muonekano gani!!

Shule yangu Ilboru inasifika sana....
 
Mkuu Yourname...., aisee hapo umesema kitu watu tulikuwa tunafukuzwa na mbwa lakini kusema inakuwa noma... ile njia ya mianzini giza likiingia basi ni noma unaanza nayo pale kwa Loning'o kuna vimbwa koko pale mchana usiku noma... soo hilo utaenda nalo mpaka uingie mianzini manake ni mbwa kwa kwenda mbele.... baada ya kiza kuingia wakati ule njia ya busara ilikuwaga Binno Rodi, mradi ukiona kuna taa zinachomoza basi ni mwendo wa kahawani (kwenye mikahawa pembezoni mwa barabara) manake ikiwa Bino au Medukenya soo utabebana nayo parade ground asubuhi manake Bino lazima akutafute tuu.... Mzee alikuwa na memory kama mjusi wallahi!!
 
Ulikuwa ukisimama hapo juu yaani mpaka Njiro unapaona!Ilboru Ulaya Bwana na kale kakipupwe!
I miss that place!


Sure umenikumbusha mbali mkuu. Ilboru ulaya ulaya,The Best in Tanzania
 
....hawana lolote hawa mbele ya Umbwe.....tumewakimbiza kutoka weruweru, kibosho mpaka wameishia kwa wamenye wenzao Enaboishu duh!!!

Umbwe wapi! hakuna lolote zaidi ya kulewa mbege! Ilboru pale tulikuwa ni BUNDIATA COMPLICATAE! Acha hii ilboru iliyokuja kuharibiwa na kina Kitemangu
 
Duh hii kitu imenikumbusha mbali sana!Nimekumbuka magazeti huu msemo ulikuwa ukimaanisha ukoko wa ugali, ambao duh ulikuwa mtamu kweli. Enzi hizo ilikuwa afadhali upate gazeti kuliko ugali wenyewe
 
Tena kuna jamaa nimewacheki kwenye Home - Graduates.com - Reuniting School Friends Around the World. -- alumni classmates reunion high school college university. wameweka picha ya pale school chapel, imenikumbusha mbali sana. Ukicheki ile picha vizuri kama ulikuwepo ilboru enzi hizo za 1997 utaweza kuwatambua jamaa wote kwenye picha. Nimejaribu kuulizia nimeambiwa mmoja alienda Makerere, mwingine Muhimbili, mwingine SUA, na wawili UD. Kuna mmoja alienda Sweden/Norway habari zake sijawahi kuzipata tena
 
Duh hii kitu imenikumbusha mbali sana!Nimekumbuka magazeti huu msemo ulikuwa ukimaanisha ukoko wa ugali, ambao duh ulikuwa mtamu kweli. Enzi hizo ilikuwa afadhali upate gazeti kuliko ugali wenyewe

Duh, mkuu Kwetuni..... yaani hapo mpaka mbavu zimekaribia kunivunjika manake mambo ya magazeti na ukiweza daka "TOP LAYER" siku za nyama basi hata "DH" hakuna tena faida ya kwenda...........

Shule yangu Ilboru inasifika sana....................
 
Hivi Ilboru bado ni Special School mpaka leo?
 
Back
Top Bottom