Wandugu,
Mmenikumbusha mbali sana. Mzulu na hotuba zake za two hours kwa form five and form ones kuwaeleza namna Ilboru ilivyo na kupata three is as good as kufeli. Mikate ya kwa Loning'o.... ukimuuliza mikate shs ngapi, anakuambia "..bia mbili" meaning mia mbili.
Machakura was the great, funny? guy i have ever met. I remember in one of the school baraza iliposemwa kwamba the only means of communication was in English, na ilipofika zamu yake kama kawaida yake kutoa matangazo he started with ...Aroo, after this exercise..." maneno yakamwishia na kicheko kilichofuata toka kwa wanafunzi kilitosha kuvunja baraza kabisa.
That school song:
Shule yangu Ilboru inasifika sana
Popote ninapokwenda inasifika sana
Kwa elimu (sijui na nini) inasifika sana
Shule yangu nakupenda...
Enzi za Mr. Msaki (Headmaster) kama tulivyo muita an object in the box, kwenye ile ofisi yake ambayo ilikuwa kama in hang vile...
Mambo ya half life, mbona ilikuwa raha? 94-96 kulikuwa na a crazy young man PCM anaitwa Frank, the guy was funny... Oh Ilboru!!!
Wakati wa kampeni za uchaguzi jamaa akawa anahutubia wananchi pale uwanja wa kanisani alisema "Ekenywa na Sekondari, oyeee" Jamaa wa Ekenywa wakawa offended kwa kuwa nao walikuwa ni secondary.
Zamu za kukuoboa mahindi kwenye mashine ya shule,
Natamani kuzuru Ilboru kuiona shule hii