Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,447
- 21,159
Hehehe jamaniiii ulimpa hi yangu??kibla tumeachana nae punde,
tmk sudani akitafuta <ngusujii>
Ngusujii ndio nini?? (in Joti's voice)
Hehehe jamaniiii ulimpa hi yangu??kibla tumeachana nae punde,
tmk sudani akitafuta <ngusujii>
mazalia ya maasaiHehehe jamaniiii ulimpa hi yangu??
Ngusujii ndio nini?? (in Joti's voice)
Nafasi ya pili ilienda kwa prof Jay na wimbo WA usinitengee
That was nonsense, ndio maana mashindano yalishindwa kuendelea
Marekebisho...inspekta hakuimba Kwenye ndege tunduni ailiimba Kwenye tatu bilaInspector hajawahi kuwa member wa Tmk wanaume family, yeye alijiunga wanaume halisi hata hiyo ndege tunduni hakutungiwa yeye pia kwanza naye pia kaimba kwenye hiyo ngoma
nitumieni wimbo wa nje ndani
Alitisha sana aiseeKwa mnao fuatilia bongo fleva toka kitambo nadhani mtakuwa mnamkumbuka sana huyu jamaa.
Haroun Rashid Juma Kahena.Almaarufu kama Inspector Haroun aliteka sana soko la muziki wa Bongo fleva miaka ya 2000 mwanzoni.
Tujikumbushe enzi za ufalme wa Inspector Haroun kwenye muziki wa Bongo Fleva
UmesahauNgoma zake kali
Asali wa moyo
Mtoto wa geti kali
Pamba nyepes
Rap katuni
hata PM kama vpNinao lakini nashindwa namna ya kuupakia hapa
Mbwa mkali, Geti kali,Usafiri wa kifahari. Chaser mayai ndani inakiyoyozii....Kwa kumpenda mtoto wa kikhalat, bambadi mweusi uso soft usio chunusi, natural colour chotara, mrefu mng'afung'afu maji ya kunde, kenda hewani sekunde, kwao obey oysterbay masaki binti huyu mtanashati...
Jinsi kijana anavyobadili tabia,Uko sahihi ndg. Wimbo wa kwanA wa Nature unaitwa "JINSI KIJANA".
Umetisha uncleJinsi kijana anavyobadili tabia,
Inavyoonekana amesahau mila ya mtanzania x2
Kijana mtwana mpana mwingi wa ufahamu,
Haifai kumwita dogo anaoneka ni mtu wa makamu,
Lakini haeleweki bwana we,
Mtundu, toto tundu, kukemea usisubutu,
Atakutoa mkuku, hana akiki timamu anaamua atakalo.
Haeleweki bwana wee,
Ugomvi wake mayai viza akibadilisha masalo
Ebwaaa eeeh imebid nkaudownload aiseeJinsi kijana anavyobadili tabia,
Inavyoonekana amesahau mila ya mtanzania x2
Kijana mtwana mpana mwingi wa ufahamu,
Haifai kumwita dogo anaoneka ni mtu wa makamu,
Lakini haeleweki bwana we,
Mtundu, toto tundu, kukemea usisubutu,
Atakutoa mkuku, hana akiki timamu anaamua atakalo.
Haeleweki bwana wee,
Ugomvi wake mayai viza akibadilisha masalo
Bila kusahau ile verse anataja vyakula balaa...Kwa kumpenda mtoto wa kikhalat, bambadi mweusi uso soft usio chunusi, natural colour chotara, mrefu mng'afung'afu maji ya kunde, kenda hewani sekunde, kwao obey oysterbay masaki binti huyu mtanashati...
.... hali yangu duni, halaf sina uspoon town,Nyimbo zake zilijaa sifa za madiko diko misosi nk
Msosi wa draft self service mbona saba kajishibia, kwetu ngangari dona bamiaBila kusahau ile verse anataja vyakula balaa
huu wimbo sijawahi kuuchoka...ANAEWEZA KUJUA NYIMBO YA "NGANGARI KINOMA"inapatikana wapi aniwekee link tafadhali.
apo nixawa awajawai kua mfalume ila walixhawai kufanya vzuli xna kwenye mziki wet wa kibongoMkuu hapo mwisho usije sababisha wasiojulika kukuwinda,maana umelitaja jina la malaika bure