SITABIRIKI
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 364
- 105
fikiri hata hata kidogo basi jamani!Huyo mleta mada anasema jamaa akikuomba smartphone umeumia. Sasa vipi akiamua kukuomba leso badala ya smartphone. Unaumia?
fikiri hata hata kidogo basi jamani!Huyo mleta mada anasema jamaa akikuomba smartphone umeumia. Sasa vipi akiamua kukuomba leso badala ya smartphone. Unaumia?
Lakini mkuu huoni kama unaua vipaji vya watu?Watu wabunifu sana hasa katika sehemu za uzuni ni rahisi sana kumtapeli mtu.
Me kuna siku nilipita katika hospitali akanifata jamaa ananiambia mtoto wake anaumwa ameshindwa kula chochote hivyo nimuongezee pesa amkanunulie mtori!nikatoa kumpa baada ya miezi nikamkuta yupo hospitali ingine tena anaongea na rafki vilevile km alivyonifanyia me!nikamuuliza mtt hajapona bado akajibu ndio nikamwambia twende tukamuone wote jamaa akaingiza upepo nikambana hapohapo nikamkwida shati twende tukamuone mtt tukaenda nae kishingo upande hadi wodini anatuelekeza kwa mbali yule nikamkaba twende mbona akaanza kuomba msamaha!nikamfanyia ukauzu nikamtoa ela zote alokuwa nazo nikampa mzee mmoja mlemavu pale!maana ndo alistaili ile ela sio huyu tapeli
Au akiomba 'wigi'Huyo mleta mada anasema jamaa akikuomba smartphone umeumia. Sasa vipi akiamua kukuomba leso badala ya smartphone. Unaumia?
Watu wabunifu sana hasa katika sehemu za uzuni ni rahisi sana kumtapeli mtu.
Me kuna siku nilipita katika hospitali akanifata jamaa ananiambia mtoto wake anaumwa ameshindwa kula chochote hivyo nimuongezee pesa amkanunulie mtori!nikatoa kumpa baada ya miezi nikamkuta yupo hospitali ingine tena anaongea na rafki vilevile km alivyonifanyia me!nikamuuliza mtt hajapona bado akajibu ndio nikamwambia twende tukamuone wote jamaa akaingiza upepo nikambana hapohapo nikamkwida shati twende tukamuone mtt tukaenda nae kishingo upande hadi wodini anatuelekeza kwa mbali yule nikamkaba twende mbona akaanza kuomba msamaha!nikamfanyia ukauzu nikamtoa ela zote alokuwa nazo nikampa mzee mmoja mlemavu pale!maana ndo alistaili ile ela sio huyu tapeli