Muhimbili yabeba jukumu la matibabu ya Dismas Jackson

Muhimbili yabeba jukumu la matibabu ya Dismas Jackson

Hospitali ya Taifa Muhimbili

Public Institution
Joined
Apr 9, 2026
Posts
11
Reaction score
33
Hospitali ya Taifa Muhimbili imeendelea kuwafikia watu mbalimbali wasiokuwa na uwezo ili kuwapatia huduma za matibabu, ikiwa ni kutimiza azma ya Mheshimiwa Rais katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ya kuhakikisha huduma za afya zinakuwa jumuishi, bora na zinazoweza kufikiwa na kila mwananchi, hususan wasiojiweza.

Katika kutekeleza maelekezo hayo kwa vitendo, Muhimbili imefika nyumbani kwa Magdalena Andrew Vuga, bibi wa kijana Dismas Jackson mwenye umri wa miaka tisa (9), kwa ajili ya kumchukua na kuanza kumpatia matibabu yatakayofadhiliwa na hospitali hiyo.
 
Back
Top Bottom