Tujihadhali na huu wizi

SYENDEKE

Senior Member
Jul 18, 2011
169
26
Habari za majukumu jamani kuna wizi wa kwenye mtandaoni tuwe makini tusije kumbwa na kudondokea kwenye huo mkenge uko hivi


Inatokea unakuwa na urafiki na mtu wa kawaida mnakuwa mnachati naongelea international friends baada ya kuchati naye sana anakueleza shida zake kuwa yeye anaishi uhamishoni mfano Senegal kuwa huko alipelekwa na Umoja wa Mataifa kitengo cha Wakimbizi kuwa wamehifadhli kutokana na vita iliyo tokea huko kwao mfano Liberia kipindi cha Charles Tayor wakati wa vita kali, au SUDANI, DRC

Kutokana na hiyo vita yeye ni muanga mkubwa coz baba na familia nzima walilipuliwa nayeye akawa ndo mtu pekee aliye salimika ndo akafanikiwa kwenda huko uhamishoni.
Baada ya hapo anakwambia baba yake au mama yake alikuwa Director katika kampuni Fulani mfano kampuni za mafuta sudani na anakwambia huyo mzazi wake aliweka hela Fulani kwenye bank moja kwa jina la lake NEXT OF KIN kwa kuwa yeye hayupo huko na sehemu alipo hawezi kutransfer that kind of money kwa kuwa yeye ni mkimbizi na sheria za Wakimbiza zinawabana kufanya.
Sasa anakwambia kuna pastor yuko pale ndo huwa anawasaidia kupata huduma za internet na mambo mengine Baada ya hapo anakuomba uweze kumsaidia aweze kutransfer that kind of money coz amejitahidi kutransfer kwenda inchi aliko imeshindikana na ameshauliwa anatafute mtu kutoka nchi nyingine aweze kutransfer huko na akakuomba uwe mdhamini wa hiyo kazi
Na anakueleza kwa jinsi anavyo pata tabu huko uhamishoni na anatamani kuendelea na shule cozi aliacha shule na sasa haendelei tena . Na anakutumia Death certificate ya wazazi, bank ambako hizo hela zipo na Mkurugenzi wa bank ambako hela hizo za wazazi wake zimehifadhiwa ziko na mtu anaewasiliana naye kuhusu hiyo transaction. Anafanya kila juhudi anakuunganisha na huyo mkurugenzi .
SASA HAPO NDO WIZI UNAANZA WATATAKA PERSONAL DETAILS NA BANK DETAILS PAMOJA SWIFT CODE FOR INTERNATIONAL TRANSACTION UKIDHUBUTU KUWAPA TU NDO UMEUMIA. Wanao ongoza kwa huo wizi ni watu kutoka Nigeria na wako smart sana katika kazi zao full details katika kukushawishi kama hujui kuhusu international transaction lazima uingie mkenge. For more details nitafute ndo hayo to gud luck
 
Habari za majukumu jamani kuna wizi wa kwenye mtandaoni tuwe makini tusije kumbwa na kudondokea kwenye huo mkenge uko hivi


Inatokea unakuwa na urafiki na mtu wa kawaida mnakuwa mnachati naongelea international friends baada ya kuchati naye sana anakueleza shida zake kuwa yeye anaishi uhamishoni mfano Senegal kuwa huko alipelekwa na Umoja wa Mataifa kitengo cha Wakimbizi kuwa wamehifadhli kutokana na vita iliyo tokea huko kwao mfano Liberia kipindi cha Charles Tayor wakati wa vita kali, au SUDANI, DRC

Kutokana na hiyo vita yeye ni muanga mkubwa coz baba na familia nzima walilipuliwa nayeye akawa ndo mtu pekee aliye salimika ndo akafanikiwa kwenda huko uhamishoni.
Baada ya hapo anakwambia baba yake au mama yake alikuwa Director katika kampuni Fulani mfano kampuni za mafuta sudani na anakwambia huyo mzazi wake aliweka hela Fulani kwenye bank moja kwa jina la lake NEXT OF KIN kwa kuwa yeye hayupo huko na sehemu alipo hawezi kutransfer that kind of money kwa kuwa yeye ni mkimbizi na sheria za Wakimbiza zinawabana kufanya.
Sasa anakwambia kuna pastor yuko pale ndo huwa anawasaidia kupata huduma za internet na mambo mengine Baada ya hapo anakuomba uweze kumsaidia aweze kutransfer that kind of money coz amejitahidi kutransfer kwenda inchi aliko imeshindikana na ameshauliwa anatafute mtu kutoka nchi nyingine aweze kutransfer huko na akakuomba uwe mdhamini wa hiyo kazi
Na anakueleza kwa jinsi anavyo pata tabu huko uhamishoni na anatamani kuendelea na shule cozi aliacha shule na sasa haendelei tena . Na anakutumia Death certificate ya wazazi, bank ambako hizo hela zipo na Mkurugenzi wa bank ambako hela hizo za wazazi wake zimehifadhiwa ziko na mtu anaewasiliana naye kuhusu hiyo transaction. Anafanya kila juhudi anakuunganisha na huyo mkurugenzi .
SASA HAPO NDO WIZI UNAANZA WATATAKA PERSONAL DETAILS NA BANK DETAILS PAMOJA SWIFT CODE FOR INTERNATIONAL TRANSACTION UKIDHUBUTU KUWAPA TU NDO UMEUMIA. Wanao ongoza kwa huo wizi ni watu kutoka Nigeria na wako smart sana katika kazi zao full details katika kukushawishi kama hujui kuhusu international transaction lazima uingie mkenge. For more details nitafute ndo hayo to gud luck

so ease drag them to spam
 
ukiwa na tamaa (NGONO/PESA) halafu limbukeni, lazima uliwe. Hakuna senti 1 ya bure duniani.
Hakuna haja ya kujìhadhari na 'huu wizi' sababu kuna style kibao tu. ISHI KWA KANUNI. USIISHI KWA MATUKIO.
 
ukiwa na tamaa (NGONO/PESA) halafu limbukeni, lazima uliwe. Hakuna senti 1 ya bure duniani.
Hakuna haja ya kujìhadhari na 'huu wizi' ISHI KWA KANUNI.

ofcozi ukiwa na tamaa unakula mkenge kwa jinsi walivyo na wale ndugu zangu wakupenda vya bure
 
ukiwa na tamaa (NGONO/PESA) halafu limbukeni, lazima uliwe. Hakuna senti 1 ya bure duniani.
Hakuna haja ya kujìhadhari na 'huu wizi' sababu kuna style kibao tu. ISHI KWA KANUNI. USIISHI KWA MATUKIO.
Nimeipenda hii! Watanzania ni watu wa kupenda vya bwererebwerere tu hata ukiwaambia kuna bomu limeonekana sehemu badala ya kukimbia wao wanakimbilia!
 
Habari za majukumu jamani kuna wizi wa kwenye mtandaoni tuwe makini tusije kumbwa na kudondokea kwenye huo mkenge uko hivi


Inatokea unakuwa na urafiki na mtu wa kawaida mnakuwa mnachati naongelea international friends baada ya kuchati naye sana anakueleza shida zake kuwa yeye anaishi uhamishoni mfano Senegal kuwa huko alipelekwa na Umoja wa Mataifa kitengo cha Wakimbizi kuwa wamehifadhli kutokana na vita iliyo tokea huko kwao mfano Liberia kipindi cha Charles Tayor wakati wa vita kali, au SUDANI, DRC

Kutokana na hiyo vita yeye ni muanga mkubwa coz baba na familia nzima walilipuliwa nayeye akawa ndo mtu pekee aliye salimika ndo akafanikiwa kwenda huko uhamishoni.
Baada ya hapo anakwambia baba yake au mama yake alikuwa Director katika kampuni Fulani mfano kampuni za mafuta sudani na anakwambia huyo mzazi wake aliweka hela Fulani kwenye bank moja kwa jina la lake NEXT OF KIN kwa kuwa yeye hayupo huko na sehemu alipo hawezi kutransfer that kind of money kwa kuwa yeye ni mkimbizi na sheria za Wakimbiza zinawabana kufanya.
Sasa anakwambia kuna pastor yuko pale ndo huwa anawasaidia kupata huduma za internet na mambo mengine Baada ya hapo anakuomba uweze kumsaidia aweze kutransfer that kind of money coz amejitahidi kutransfer kwenda inchi aliko imeshindikana na ameshauliwa anatafute mtu kutoka nchi nyingine aweze kutransfer huko na akakuomba uwe mdhamini wa hiyo kazi
Na anakueleza kwa jinsi anavyo pata tabu huko uhamishoni na anatamani kuendelea na shule cozi aliacha shule na sasa haendelei tena . Na anakutumia Death certificate ya wazazi, bank ambako hizo hela zipo na Mkurugenzi wa bank ambako hela hizo za wazazi wake zimehifadhiwa ziko na mtu anaewasiliana naye kuhusu hiyo transaction. Anafanya kila juhudi anakuunganisha na huyo mkurugenzi .
SASA HAPO NDO WIZI UNAANZA WATATAKA PERSONAL DETAILS NA BANK DETAILS PAMOJA SWIFT CODE FOR INTERNATIONAL TRANSACTION UKIDHUBUTU KUWAPA TU NDO UMEUMIA. Wanao ongoza kwa huo wizi ni watu kutoka Nigeria na wako smart sana katika kazi zao full details katika kukushawishi kama hujui kuhusu international transaction lazima uingie mkenge. For more details nitafute ndo hayo to gud luck
Yupo mhanga mmoja pale SUA, Morogoro- simtaji jina-pamoja na usomi wake aliingizwa mkenge hivyo hivyo- 2009. Millioni 23 ziliyeyuka hivi hivi. Ogopa matapeli.
 
Hakuna kuchat wanakulenga mojakwa moja kama una tama\ ya hela za bure ndio unaingia mkenge.
Mimi alinitumia mail mdada anaitwa mercy anataka nimtumie ac aniwekee hizo hela nikamwambia mimi naitwa riz 1 aingie google atanijua kwa hiyo anitumie ac yake yeye nimpige na dola 25 elfu zimpooze machungu ya kufiwa na wazazi wake kwani alionekana tena?
 
ukiwa na tamaa (NGONO/PESA) halafu limbukeni, lazima uliwe. Hakuna senti 1 ya bure duniani.
Hakuna haja ya kujìhadhari na 'huu wizi' sababu kuna style kibao tu. ISHI KWA KANUNI. USIISHI KWA MATUKIO.
kichwat well wel welsaid mkuu .hakuna hata sent mmoja 1 ya bure duniani hii inaukweli asilimia 1000%
 
Last edited by a moderator:
Mm nilipata demu akanitumia picha maneno matamu ya mapz then akaniambia dingi yake alikuwa Md bank fulani Ethiopia na amekufa ktk machafuko na yy ndie mrith na yuko senegal kituo cha yatima na akaniunga na mchungaji akataka nimtumia 2000 dola aje Tz tuweze kutoa pesa.NILIMTUKANA KIMAKONDE hakurudi tena
 
Haya mwenye macho haambiwi tazama
tumeipokea tahadhari hiyo pamoja ni ya kizamani tusikukatishe tamaa
ili ukapata ukipata ya kisasa utujuze tena
 
Back
Top Bottom