SYENDEKE
Senior Member
- Jul 18, 2011
- 169
- 26
Habari za majukumu jamani kuna wizi wa kwenye mtandaoni tuwe makini tusije kumbwa na kudondokea kwenye huo mkenge uko hivi
Inatokea unakuwa na urafiki na mtu wa kawaida mnakuwa mnachati naongelea international friends baada ya kuchati naye sana anakueleza shida zake kuwa yeye anaishi uhamishoni mfano Senegal kuwa huko alipelekwa na Umoja wa Mataifa kitengo cha Wakimbizi kuwa wamehifadhli kutokana na vita iliyo tokea huko kwao mfano Liberia kipindi cha Charles Tayor wakati wa vita kali, au SUDANI, DRC
Kutokana na hiyo vita yeye ni muanga mkubwa coz baba na familia nzima walilipuliwa nayeye akawa ndo mtu pekee aliye salimika ndo akafanikiwa kwenda huko uhamishoni.
Baada ya hapo anakwambia baba yake au mama yake alikuwa Director katika kampuni Fulani mfano kampuni za mafuta sudani na anakwambia huyo mzazi wake aliweka hela Fulani kwenye bank moja kwa jina la lake NEXT OF KIN kwa kuwa yeye hayupo huko na sehemu alipo hawezi kutransfer that kind of money kwa kuwa yeye ni mkimbizi na sheria za Wakimbiza zinawabana kufanya.
Sasa anakwambia kuna pastor yuko pale ndo huwa anawasaidia kupata huduma za internet na mambo mengine Baada ya hapo anakuomba uweze kumsaidia aweze kutransfer that kind of money coz amejitahidi kutransfer kwenda inchi aliko imeshindikana na ameshauliwa anatafute mtu kutoka nchi nyingine aweze kutransfer huko na akakuomba uwe mdhamini wa hiyo kazi
Na anakueleza kwa jinsi anavyo pata tabu huko uhamishoni na anatamani kuendelea na shule cozi aliacha shule na sasa haendelei tena . Na anakutumia Death certificate ya wazazi, bank ambako hizo hela zipo na Mkurugenzi wa bank ambako hela hizo za wazazi wake zimehifadhiwa ziko na mtu anaewasiliana naye kuhusu hiyo transaction. Anafanya kila juhudi anakuunganisha na huyo mkurugenzi .
SASA HAPO NDO WIZI UNAANZA WATATAKA PERSONAL DETAILS NA BANK DETAILS PAMOJA SWIFT CODE FOR INTERNATIONAL TRANSACTION UKIDHUBUTU KUWAPA TU NDO UMEUMIA. Wanao ongoza kwa huo wizi ni watu kutoka Nigeria na wako smart sana katika kazi zao full details katika kukushawishi kama hujui kuhusu international transaction lazima uingie mkenge. For more details nitafute ndo hayo to gud luck
Inatokea unakuwa na urafiki na mtu wa kawaida mnakuwa mnachati naongelea international friends baada ya kuchati naye sana anakueleza shida zake kuwa yeye anaishi uhamishoni mfano Senegal kuwa huko alipelekwa na Umoja wa Mataifa kitengo cha Wakimbizi kuwa wamehifadhli kutokana na vita iliyo tokea huko kwao mfano Liberia kipindi cha Charles Tayor wakati wa vita kali, au SUDANI, DRC
Kutokana na hiyo vita yeye ni muanga mkubwa coz baba na familia nzima walilipuliwa nayeye akawa ndo mtu pekee aliye salimika ndo akafanikiwa kwenda huko uhamishoni.
Baada ya hapo anakwambia baba yake au mama yake alikuwa Director katika kampuni Fulani mfano kampuni za mafuta sudani na anakwambia huyo mzazi wake aliweka hela Fulani kwenye bank moja kwa jina la lake NEXT OF KIN kwa kuwa yeye hayupo huko na sehemu alipo hawezi kutransfer that kind of money kwa kuwa yeye ni mkimbizi na sheria za Wakimbiza zinawabana kufanya.
Sasa anakwambia kuna pastor yuko pale ndo huwa anawasaidia kupata huduma za internet na mambo mengine Baada ya hapo anakuomba uweze kumsaidia aweze kutransfer that kind of money coz amejitahidi kutransfer kwenda inchi aliko imeshindikana na ameshauliwa anatafute mtu kutoka nchi nyingine aweze kutransfer huko na akakuomba uwe mdhamini wa hiyo kazi
Na anakueleza kwa jinsi anavyo pata tabu huko uhamishoni na anatamani kuendelea na shule cozi aliacha shule na sasa haendelei tena . Na anakutumia Death certificate ya wazazi, bank ambako hizo hela zipo na Mkurugenzi wa bank ambako hela hizo za wazazi wake zimehifadhiwa ziko na mtu anaewasiliana naye kuhusu hiyo transaction. Anafanya kila juhudi anakuunganisha na huyo mkurugenzi .
SASA HAPO NDO WIZI UNAANZA WATATAKA PERSONAL DETAILS NA BANK DETAILS PAMOJA SWIFT CODE FOR INTERNATIONAL TRANSACTION UKIDHUBUTU KUWAPA TU NDO UMEUMIA. Wanao ongoza kwa huo wizi ni watu kutoka Nigeria na wako smart sana katika kazi zao full details katika kukushawishi kama hujui kuhusu international transaction lazima uingie mkenge. For more details nitafute ndo hayo to gud luck