Tujifunze kuingia katika mahusiano ya kudumu, inapotokea hali ya kutofautiana tuache fikra za kujitazama nini tunataka

TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

JF-Expert Member
Dec 1, 2010
5,712
10,209
Nawashauri kuwa muda tulio nao hapa duniani wa kuishi ni so valuable,
Tusikae sehemu moja tukijutia na kusononeka....
Tusiogope kuanza upya na kukosea ili kujifunza.

Tutumie muda vizuri kusoma na kutazama vitu positive ili vijenge vichwa vyetu kwa mawazo mazuri ya kujenga. Tufanye kile moyo wetu unatuambia linapokuja swala la ajira na sio kile ambacho watu wanataka tufanye au tunachoambiwa.....

Follow your dreams.......

Katika mahusiano tujifunze kuingia katika mahusiano ya kudumu, inapotokea hali ya kutofautiana tuache fikra za kujitazama nini tunataka sisi kwanza bali tujiulize yule uliyenae anakosa nini hadi analeta shida huu ndio upendo,

Ukimjali mwenzako nyakati ambazo ungeweza kuvunja uhusiano na yeye atakujali siku atapokuwa na sababu ya kuvunja uhusiano na itakuwa ngumu kuachana. Tuache visa na mahusiano ya voda fasta bali tuingie nahusiano ya kudumu.

Kwenye maisha tufanye kazi na kujituma kubuni shughuli za kuitoa jamii yetu hapa ilipo ili iwe na maendelo kwa kufungua kampuni na taasisi muhimu za kudeal na hayo matatizo.
 
Give thanks for the words of wisdom brother.

It takes a lot of courage to be yourself in the society that encourage negativity, self hate, misunderstanding, bad eating habits etc.

Everything is everything. It's all connected.

Until people truly love themselves the society won't know peace

My advise is simple.

People should go back to the basics.

Learn to eat better, workout regularly, read more, travel more

The real revolution rises from within.

Until you get better everything will get better for you.

Each one teach one.

Namaste
 
Umeongea vizuri, ila sijaipenda avatar yako tu ''nina allergy nao ''
 
Give thanks for the words of wisdom brother.

It takes a lot of courage to be yourself in the society that encourage negativity, self hate, misunderstanding, bad eating habits etc.

Everything is everything. It's all connected.

Until people truly love themselves the society won't know peace

My advise is simple.

People should go back to the basics.

Learn to eat better, workout regularly, read more, travel more

The real revolution rises from within.

Until you get better everything will get better for you.

Each one teach one.

Namaste
Namaste brother
 
Ujumbe mzuri sana sifikiirii kabisa kuachana na G na wala hatutaki itokee kabisa tumekutana wote wavumilivu ma kila mmoja anamsikiliza mwenzie
love u boo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom