Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,414
- 6,574
- Thread starter
- #21
wewe huko kwenu mbozi hakuna network? Morata kashaanza kuaga stamford bridge, siku hizi hata nafasi yake anacheza Giroud.sawa kwani morata nae anafunga? mbna usemi kurudi kwake spain? acheni kujishusha wabongo
Wazungu sio wababaifu kama sisi, kazi yako ikiwa ni straika basi tupia magoli au tengeneza wenzako wafunge kinyume na hapo utarudi ulikotoka maana hamna namna.