Tujiajiri kwa kupitia wazo hili

Tujiajiri kwa kupitia wazo hili

Afu wanaona laki tatu nyingi wakati naamini waliowengi humu wanalewa bar na kwa siku wanatumia zaidi ya laki tatu ikiwemo kukodi k..m kwa siku afu wanaleta habar za kishamba
 
Nipo tayari

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
acha mawazo finyu kama hujakubaliana na hlo wazo c unyamaze kwan umelazimishwa???
 
Wazo zuri, mtakapo kaa msijibane kifikra kuna ideas nyingi nyingine mnaweza jadili mfano mdau mmoja kasema kufuga kuku huko juu, pia ni wazo zuri.
 
Wakuu
heshima kwenu, naomba vijana kumi, wenye laki tatu kila mmoja, lengo ni
kuunganisha nguvu ya mtaji kwa kuanzisha vyuo vinavyotoa certificate
kama vile zoom, the genesis n.k.

Naamini tutapata milion tatu, pia tukipambana huenda tukapata million
mbili na kufikisha tano hii ianaweza saidia kwa kuanzisha chuo. kumbuka
walimu tutakuwa sisi wenyewe na uongozi tutakuwa sisi wenyewe, hii
itategemea na proffesional yako.

Tutategeme kuanzisha ndani ya Dar au nje kidogo ya Dar hii inawezekana
kama tukiamua. kwa mawasiliano nipigie kwa 0757950376;kisha tutapanga
wapi pa kukutana tuweze kujadiliana juu ya kujiajiri sisi wenyewe,
asanteni.
UPDATE
kweli jf ni zaid ya ujuavyo..... ... mimi nilitegemea wadau mngekuja kuboresha wazo hili na kuweza kupata upana zaidi kwa lengo la kufanikiwa vijana wenzeni... nyinyi mnakuja kuponda na kutukana...eboo.... kwa hari hii vijana tutaendelea kuwa watumwa wa wachina na wahindi, na kamwe hatutauwona ufalme wa kaisari.kumbe nimegundua kitu kimoja... baadhi yetu huwa wanafurahi sana kuona vijana wenzao wanaangaika mitaani, ila kumbuka leo upo hapo, kesho haupo. anyway...kesho tunakutana na baadhi ya wadau, kujadili hili wazo. mida ya kukutana ni saa kumi kamili-hadi saa kumi na moja kamili jioni, tunakutana chuo cha udsm-maeneo ya nkrumah hall. TUTATHUBUTU ,TUTAWEZA NA TUTASONGA MBELE....OKOA TANZANIA.

kaka hivi kweli unaweza kuanzisha chuo kwa 5mils!!! hcho chuo kweli au tuition! chuo kinasajiliwa au unajisajili mwenyewe! venue moja ya lecture unapanga kwa sh ngap? ofisi za walimu je? au una uwanja? nyenzo za kufundishia! matangazo! manake vyuo vya siku hizi kujitangaza! hivi kweli umekaa chini ukaona hiyo bajeti inatosha?? Idea nzuri ila mtaji unaosema kwa walimu kumi sijui mnakaa ofisi moja! lazima mkamatwe na WHO! Good idea, andika loan proposal bank utapata mtaji mzuri but mind you vyuo siku hizi kibao hadi vinajitangaza
 
Iyo pesa inatosha kabisa...kusajiri mtaala ni million 1...kusajiri brela mpaka kufungua akaunti plus tra haizidi laki mbili.....ukishakuwa na usajili brela na umepitishiwa mtaala,unapewa usajiri wa majaribio....hapo unaruhusiwa kuoperate na kuwa na wanafunzi.....So iyo million 3 iliyobaki mnaweza kukodishia jengo na kuweka miundombinu....Hapo unaanza kukusanya laki nane zao.

Fanyeni kama mna nia msiogope.

mchanganuo wa revenue unakuwaje mkuu?

malipo kwa wakufunzi na mpaka faida kubaki inakuwaje?
 
Wakuu
heshima kwenu, naomba vijana kumi, wenye laki tatu kila mmoja, lengo ni
kuunganisha nguvu ya mtaji kwa kuanzisha vyuo vinavyotoa certificate
kama vile zoom, the genesis n.k.

Naamini tutapata milion tatu, pia tukipambana huenda tukapata million
mbili na kufikisha tano hii ianaweza saidia kwa kuanzisha chuo. kumbuka
walimu tutakuwa sisi wenyewe na uongozi tutakuwa sisi wenyewe, hii
itategemea na proffesional yako.

Tutategeme kuanzisha ndani ya Dar au nje kidogo ya Dar hii inawezekana
kama tukiamua. kwa mawasiliano nipigie kwa 0757950376;kisha tutapanga
wapi pa kukutana tuweze kujadiliana juu ya kujiajiri sisi wenyewe,
asanteni.
UPDATE
kweli jf ni zaid ya ujuavyo..... ... mimi nilitegemea wadau mngekuja kuboresha wazo hili na kuweza kupata upana zaidi kwa lengo la kufanikiwa vijana wenzeni... nyinyi mnakuja kuponda na kutukana...eboo.... kwa hari hii vijana tutaendelea kuwa watumwa wa wachina na wahindi, na kamwe hatutauwona ufalme wa kaisari.kumbe nimegundua kitu kimoja... baadhi yetu huwa wanafurahi sana kuona vijana wenzao wanaangaika mitaani, ila kumbuka leo upo hapo, kesho haupo. anyway...kesho tunakutana na baadhi ya wadau, kujadili hili wazo. mida ya kukutana ni saa kumi kamili-hadi saa kumi na moja kamili jioni, tunakutana chuo cha udsm-maeneo ya nkrumah hall. TUTATHUBUTU ,TUTAWEZA NA TUTASONGA MBELE....OKOA TANZANIA.
Mkuu,

vipi kama mtu atataka kumiliki share kenu angalau kwa 40%?
 
Mkuu kitaa wazo lako ni zuri sana nakupongeza.wenye nia wataku pm.mi kutokana na wazo kama lako sasa nina miliki shule mkuu.
 
Back
Top Bottom