Tujadili uaminifu wa Zitto kwa Taifa letu

Mimi nakumbuka wakati wa sakata la fao la kujitoa la NSSF,wakati huo nikifanya kazi Geita Gold Mining na nikiwa mwana Chadema haswa ngazi ya wilaya,tulimpigia simu Slaa na Mbowe watusaidie,Mbowe akatuahidi wanalifanyia kazi,kesho yake Jafo akawa kawakilisha pendekezo hiyo sheria inayozuia wafanyakazi kuchukua mafao yao wanaopoachishwa kazi irejeshwe bungeni ijadiliwe upya,wakati Jaffo akiwa mbunge tu wa CCM,mjadala ukawa mkali sana bungeni na dalili zote zikionesha hiyo sheria kufutwa,Zitto akasimama akaomba kamati ya uongozi ya bunge wakutane kujadiliana,mchana walivyorudi bungeni wakasema sheria itabaki hivyo hivyo ila waziri anaombwa aandae kanuni,Zitto akawa katudumkiza,kesho yake tukampigia simu tena Slaa na Mbowe tukamwambia mbona Zitto anaonekana yuko upande wa Serekali,wakatuambia hata wao wanajua na wameona,ila wakatuahidi watajitahidi,ilibidi mwakilishi wetu aende kuonana na Jenister Mhagama na yule dada Isihaka wa SSRA,wakasema hili swala kuna baadhi ya wabunge hata wa upinzani wamepewa hela kuhakikisha sheria inaendelea kuwepo ya kuzuia fao la kujitoa.
Baada ya hapo tukawa na mkutano wa wadau wa NSSF pale AICC Arusha na Zitto pia alikuwepo,nakumbuka alisimama na kusema fao la kujitoa halifai na lifutwe
Hapa alizingua sana
 
Wanasiasa wapo kwa maslahi yao, ni unaive kufikiri ni wazalendo nk. Hili lisemwe mara ngapi ndiyo lieleweke?
 
2991488_images_7.jpeg
 
Mimi nakumbuka wakati wa sakata la fao la kujitoa la NSSF,wakati huo nikifanya kazi Geita Gold Mining na nikiwa mwana Chadema haswa ngazi ya wilaya,tulimpigia simu Slaa na Mbowe watusaidie,Mbowe akatuahidi wanalifanyia kazi,kesho yake Jafo akawa kawakilisha pendekezo hiyo sheria inayozuia wafanyakazi kuchukua mafao yao wanaopoachishwa kazi irejeshwe bungeni ijadiliwe upya,wakati Jaffo akiwa mbunge tu wa CCM,mjadala ukawa mkali sana bungeni na dalili zote zikionesha hiyo sheria kufutwa,Zitto akasimama akaomba kamati ya uongozi ya bunge wakutane kujadiliana,mchana walivyorudi bungeni wakasema sheria itabaki hivyo hivyo ila waziri anaombwa aandae kanuni,Zitto akawa katudumkiza,kesho yake tukampigia simu tena Slaa na Mbowe tukamwambia mbona Zitto anaonekana yuko upande wa Serekali,wakatuambia hata wao wanajua na wameona,ila wakatuahidi watajitahidi,ilibidi mwakilishi wetu aende kuonana na Jenister Mhagama na yule dada Isihaka wa SSRA,wakasema hili swala kuna baadhi ya wabunge hata wa upinzani wamepewa hela kuhakikisha sheria inaendelea kuwepo ya kuzuia fao la kujitoa.
Baada ya hapo tukawa na mkutano wa wadau wa NSSF pale AICC Arusha na Zitto pia alikuwepo,nakumbuka alisimama na kusema fao la kujitoa halifai na lifutwe
Maisha yako yatabaki kuwa mikononi mwako. Usipotumia akili yako utaburuzwa kama msukule maisha yako yote.


Mifuko ya hifadhi ya Jamii hakuna mwanasiasa atakutetea.

Maana wote ni wanufaika.

Mbowe mwenyewe alikopa kwenye hiyo mifuko na hajarudisha. Zitto kanufaika sana na NSSF enzi za Dau, wakati huo akiwa mwenyekiti wa POAC.

Serikali imekopa na wanasiasa wamekopa.

Mifuko haina kitu.

Mwisho wa siku, Wanasiasa wote huwa wanapewa mafao makubwa sana kila baada ya miaka 5, tena ambayo siyo makato kutoka kwenye mishahara yao na hawajawahi kupinga hilo.

Utaambiwa CCM imekufanya masikini ila wao wanatajirika kila kukicha.
 
Zitto alikuwa mwenyekiti wa kamati ya bunge ya mashirika ya umma POAC wakati yuko CHADEMA. Kwa muda huo alishiriki kuiuza ATC kwa makaburu. Baada ya kuungana, abiria (weupe) wa South Africa wakawa hawana imani na marubani (weusi) waWatanzania. Mashirika mengi ya fedha yakajenga actuarial deficits zinawala hadi leo. Kwa unono wa POAC majamaa ya CHADEMA yalimfukuzilia mbali mara tu alipohama, tundulissu meenyewe aliipata hukumu kabla Jaji kuisoma. Ni kasheshe, lakini uzalendo ni zero.
Huna unalojua. Kamati ya Bunge inahusika vipi na kuuza mali za Serikali kupitia ubinafsishaji. Akili ndogo kweli.
 
Huyo jamaa amekuwa akijifanya mwana mapinduzi na mfuasi wa sera za Hayati baba wa Taifa letu mzee Julius Lakini ukimtazama kwa matendo yake hakika ni mtu asiye muwazi wa maslahi yake kwa watu/makampuni ambao huwa anawatetea kwa baadhi ya nyakati.

Binafsi siuoni uaminifu na uzalendo wa Zitto kwa Taifa letu. Amekaa kipigaji zaidi!

Anyway, if kama jukwaa huru nawaalika tuudadavue uaminifu wake katika Taifa letu kama ni kweli ni mwaminifu ama la.
Uanzishwaji wa chama chake ulifadhiliwa na taasisi nyeti za dola, unategemea nini zaidi
 
Huyo jamaa amekuwa akijifanya mwana mapinduzi na mfuasi wa sera za Hayati baba wa Taifa letu mzee Julius Lakini ukimtazama kwa matendo yake hakika ni mtu asiye muwazi wa maslahi yake kwa watu/makampuni ambao huwa anawatetea kwa baadhi ya nyakati.

Binafsi siuoni uaminifu na uzalendo wa Zitto kwa Taifa letu. Amekaa kipigaji zaidi!

Anyway, if kama jukwaa huru nawaalika tuudadavue uaminifu wake katika Taifa letu kama ni kweli ni mwaminifu ama la.
Nini inakufanya kuamini ana maslahi kwa makampuniI
1. makampuni gani? (majina!)
2. Ushahidi (pamoja na vyanzo!)

Ukiwa na ushuhuda, lete. kama huna, tusichafushe majina ya watu.
 
Back
Top Bottom