Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,193
Huyo jamaa amekuwa akijifanya mwana mapinduzi na mfuasi wa sera za Hayati baba wa Taifa letu mzee Julius Lakini ukimtazama kwa matendo yake hakika ni mtu asiye muwazi wa maslahi yake kwa watu/makampuni ambao huwa anawatetea kwa baadhi ya nyakati.
Binafsi siuoni uaminifu na uzalendo wa Zitto kwa Taifa letu. Amekaa kipigaji zaidi!
Anyway, if kama jukwaa huru nawaalika tuudadavue uaminifu wake katika Taifa letu kama ni kweli ni mwaminifu ama la.
Binafsi siuoni uaminifu na uzalendo wa Zitto kwa Taifa letu. Amekaa kipigaji zaidi!
Anyway, if kama jukwaa huru nawaalika tuudadavue uaminifu wake katika Taifa letu kama ni kweli ni mwaminifu ama la.