Tujadili mshahara wa TGS D kwa watumishi wanaoishi kwenye majiji

Tutaoaje kwa take home hizi hatutaki kulaza njaa watoto wa watu. Ngoja tununue hadi hali itakapokaa sawa
Kama ni hivyo watu wasingeoana huku kitaaa.

Pesa hiyo haitoshi ila unatakiwa uishi kulingana na kipato chako.
 
Tatizo linaanzia hapa kwa sisi vijana tunaoajiriwa. Tunataka tupate ajira Leo mwakani tuanze kujenga. Na hapo lazima mshahara uwe mdogo tu. Kujenga ni process inatohitaji muda mrefu kidogo ikitegemeana na mshahara na majukumu mengine ya lazima.
Wengi wenye uhakika wa kulipa kodi hawana haraka ya kujenga mapema sababu wana uhakika
 
Kuna vitu hujaweka wazi hapa kama hii habari yako ni ya kweli
1. Hela ya kununua canter
2. Hela ya kujenga nyumba standard
Zimetoka wapi maana kwa maelezo yako una ng'ombe 6 na duka moja. Kuna kitu unatuficha hapa.
Tena cha kuongeza tu hapo anasema miaka mitano yoka 2015 ambayo ni 2020 alikuwa na madume ya ng'ombe ma 5 ameyatuma kijijini, sasa anasema leo ana canter na nyumba standard yaani ndani ya mwaka mmoja sio ?
 
Uliajiriwa mwaka 2015
~Mwaka wa tatu (means 2018) ulinunua ng'ombe
~Mwaka wa tano (means 2020) ulikua na ng'ombe 5 ukauza wote ukafungua duka
~Sasa hivi (means hii miezi miwili ya 2021) unamiliki duka kubwa,mashamba makubwa, nyumba standard na una canter. Kumbuka mshahara ni ule ule 249k

Mkuu unafaa kuwa motivational speaker



Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
 
Tena cha kuongeza tu hapo anasema miaka mitano yoka 2015 ambayo ni 2020 alikuwa na madume ya ng'ombe ma 5 ameyatuma kijijini, sasa anasema leo ana canter na nyumba standard yaani ndani ya mwaka mmoja sio ?
Huyu muongo tu, anafikiri kila mtu ni mjinga humu bei ya canter na nyumba standard ni zaidi ya milioni 100. Hao ng'ombe alikuwa analimisha au anauza maziwa?
 
MIMI nilikuwa ninapata laki 4 na nyumba nikawa nimepanga ya laki na nusu na sijawahi kuyumba, nilipanga jirani na kazini kuliko kupanga mbali kwa elfu 60 halafu nauli ukijumlisha kwa mwzi ni yaleyale bora upange jirani
 
MIMI nilikuwa ninapata laki 4 na nyumba nikawa nimepanga ya laki na nusu na sijawahi kuyumba, nilipanga jirani na kazini kuliko kupanga mbali kwa elfu 60 halafu nauli ukijumlisha kwa mwzi ni yaleyale bora upange jirani
Ulikuwa wilaya gani?
 
Hivi kumbe wafanyakazi wa Tanzania mnaishi maisha magumu kiasi hiki !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…