Msambichaka Mkinga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 1,649
- 2,911
Hii ni nadharia nzuri sana kuisoma lakini ukweli ni kwamba kila utakapokwenda, Duniani kote, VAT hulipwa na mlaji na siyo mwuzaji.
Hivi pale bandarini, uleagiza gari lako, unalipishwa VAT, anayelipa ni yule aliyekuuzia gari au wewe uliyenunua?
Habari ni ndefu lakini ya kupotosha wasiojua. Kwenye nchi nyingi za wenzetu bei zote unazoambiwa, hazina VAT, wakati wa malipo ndiyo utaongezewa VAT. Kwenye risiti ya malipo, hata kwenye zile mashine, inaonesha bei ya kitu, halafu VAT, ambacho ni kiasi ambacho umeongezewa wewe mnunuzi baada ya kulipia ile bidhaa.
Huyu mwenzetu ameamua kuwafurahisha watu.
Hivi pale bandarini, uleagiza gari lako, unalipishwa VAT, anayelipa ni yule aliyekuuzia gari au wewe uliyenunua?
Habari ni ndefu lakini ya kupotosha wasiojua. Kwenye nchi nyingi za wenzetu bei zote unazoambiwa, hazina VAT, wakati wa malipo ndiyo utaongezewa VAT. Kwenye risiti ya malipo, hata kwenye zile mashine, inaonesha bei ya kitu, halafu VAT, ambacho ni kiasi ambacho umeongezewa wewe mnunuzi baada ya kulipia ile bidhaa.
Huyu mwenzetu ameamua kuwafurahisha watu.