Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,627
- Thread starter
- #21
Tayari raia wanaojua kutetea mifumo ya udhulumishi wamefika kutetea huu ubadhilifu.......kama ninachokisema si sahihi......ni kwanini mabenki yamekatazwa kuwatoza wateja ongezeko la VAT ili wao waikwepe........tumia akili nyepesi tu utapata majibu.......usipende kujiaminisha upo sahihi kwa kutumia ushahidi wa vitu vinavyoendelea kimakosa........
Mfano mdogo ni hata rushwa kuna watu wameklemisha kuwa unapifanya kosa la balabalani basi ni utaratibu kumpatia trafiki kitu kidogo wakati kiuhalisia hilo ni kosa lakufungwa kabisa ila kuna watu huwa wanaona hii ni halali na ni haki kufanya.
Mfano mdogo ni hata rushwa kuna watu wameklemisha kuwa unapifanya kosa la balabalani basi ni utaratibu kumpatia trafiki kitu kidogo wakati kiuhalisia hilo ni kosa lakufungwa kabisa ila kuna watu huwa wanaona hii ni halali na ni haki kufanya.