Kwa kuongezea, VAT ni Added Value Tax kwa maana kuwa. Kuna TAX ya kawaida na VAT.
Mfano TAX ya kawaida 5% ya unga wa sembe ulio dukani na VAT 10%.
Sasa tuseme dukani umeenda kununua kila 10 kwa sh 1000 na Hapo dukani ndo kwa mara ya kwanza unga umeingia sokoni. Basi,TAX ya mwanzo mwenye duka analipa 10%X1000 , ambayo ni sawa ni sh 100.
Sasa Na wewe unaenda tena kuuza huu unga gulioni kwa sh 1500. Hapo umeongeza sh 500 ya bei ya awali, hiki ulichokiongza ndo kinaitwa ADDED VALUE. Na added Value hapo ni sh 500 na hivyo utalipa VAT ya 500 X10% sawa na sh50. Hii sh 50 ndo VAT maana umeongeza bei na ongezeko la bei kutoa ile principal ndo VAT.
Mfano TAX ya kawaida 5% ya unga wa sembe ulio dukani na VAT 10%.
Sasa tuseme dukani umeenda kununua kila 10 kwa sh 1000 na Hapo dukani ndo kwa mara ya kwanza unga umeingia sokoni. Basi,TAX ya mwanzo mwenye duka analipa 10%X1000 , ambayo ni sawa ni sh 100.
Sasa Na wewe unaenda tena kuuza huu unga gulioni kwa sh 1500. Hapo umeongeza sh 500 ya bei ya awali, hiki ulichokiongza ndo kinaitwa ADDED VALUE. Na added Value hapo ni sh 500 na hivyo utalipa VAT ya 500 X10% sawa na sh50. Hii sh 50 ndo VAT maana umeongeza bei na ongezeko la bei kutoa ile principal ndo VAT.