Tujadili kuhusu "VAT"

Kwa kuongezea, VAT ni Added Value Tax kwa maana kuwa. Kuna TAX ya kawaida na VAT.
Mfano TAX ya kawaida 5% ya unga wa sembe ulio dukani na VAT 10%.
Sasa tuseme dukani umeenda kununua kila 10 kwa sh 1000 na Hapo dukani ndo kwa mara ya kwanza unga umeingia sokoni. Basi,TAX ya mwanzo mwenye duka analipa 10%X1000 , ambayo ni sawa ni sh 100.

Sasa Na wewe unaenda tena kuuza huu unga gulioni kwa sh 1500. Hapo umeongeza sh 500 ya bei ya awali, hiki ulichokiongza ndo kinaitwa ADDED VALUE. Na added Value hapo ni sh 500 na hivyo utalipa VAT ya 500 X10% sawa na sh50. Hii sh 50 ndo VAT maana umeongeza bei na ongezeko la bei kutoa ile principal ndo VAT.
 
Wewe unaongelea scenario gani hii ya sisi kukosea katika mfumo tunaoishi au kwa jinsi inavyotakiwa kuwa........tangu lini mteja anaye nunua bidhaa ndiye analipishwa kodi ya VAT?!

Hebu mtafute mtaalam wa TRA akuelekeze na kama utaona kazi ingia online......google utapata notes then utaelewa.

Bila shaka wewe ni aina ya raia ambao mnasema hata benki wanayohaki ya kuzitoza akaunti za akiba.....wakati kikanuni hizi akaunti huwa hazitozwi
Wewe unaongelea scenario gani hii ya sisi kukosea katika mfumo tunaoishi au kwa jinsi inavyotakiwa kuwa........tangu lini mteja anaye nunua bidhaa ndiye analipishwa kodi ya VAT?!

Hebu mtafute mtaalam wa TRA akuelekeze na kama utaona kazi ingia online......google utapata notes then utaelewa.

Bila shaka wewe ni aina ya raia ambao mnasema hata benki wanayohaki ya kuzitoza akaunti za akiba.....wakati kikanuni hizi akaunti huwa hazitozwi[/QUOTE


yupo sahihi wew ndyo huelew
 
Neno VAT ni neno la kiuchumi au la kibiashara la lugha ya kiingereza(english) ikiwa ni ufupisho wa maneno "VALUE ADDED TAX yaani kwa kiswahili ni kodi ya ongezeko la thamani.

VAT ni aina ya kodi ambayo hutozwa kwenye mapato yatokanayo na mauzo ya bidhaa ya aina yeyote kubwa kwa ndogo lakini pia kwa malipo ya huduma zozote! Kwa kifupi ni kiasi ambacho hutozwa kwa muamala wowote na hutozwa kwa yule anayepokea tu na si mtoaji.

Kwa muda mrefu serikali yetu imekuwa ikitoza aina hii ya kodi kwenye malipo yanayofanyika katika manunuzi ya bidhaa na huduma hapa nchini(si mauzo yote hufanikiwa kuchajiwa kwasababu ya ukwepaji kodi na mifumo isiyokidhi mahitaji pamoja na biashara nyingi kutokuwa rasmi). Aina hii ya kodi hukadiriwa kulingana naongezeko la thamani au kushuka kwa thamani ya bidhaa au huduma usika.......tafsiri yake ni kuwa kama bidhaa au huduma itapanda au kushuka bei then kiwango cha kodi inayochajiwa nacho kitapanda au kushuka kulingana na asilimia ambayo hutozwa.....( kwasasa ni asilimia 18).

Kuna kasumba ambayo imejengeka katika akili za watanzania (wasomi na hata wasio wasomi) kuwa tozo la kodi ya V.A.T huwa inatakiwa kulipwa na mnunuaji wa bidhaa pale anapokwenda dukani kwa maana ya kwamba hii kodi tokea bidhaa ina nunuliwa basi kila anayeuza hii bidhaa humtupia mzigo wa kulipa anayenunua bidhaa kitu ambacho si sahihi. Ntakupa mfano ili unielewe vema.......Tutachukulia kiwango cha VAT ni asilimia kumi (10%) ili kurahisisha mahesabu........ila kiwango halisi cha VAT kwa sasa ni asilimia kumi na nane (18%).
mfano,


bakhresa anazalisha juice ya azam mango Juice hii hutengenezwa na maembe. Bakhresa anakwenda shambani kwa mkulima ambaye tutachukulia anamiembe ambayo ni ya asili hivyo hakuna gharama yeyote ya uzalishaji hapo ila tu ameisimamia miembe yake imekuwa na imezaa kwahiyo pesa ya kwanza katika hii scenario ni wakati bakhresa analipia maembe kwaajiri ya kupeleka kiwandani kwake kwaajiri ya kukamua juice.

Tuchukulie bakhresa amechukua tani 10 ambazo ni kwa ujumla wake amemlipa mkulima shilingi laki mbili (200,000/=). Sasa hapa ndio habari ya VAT huanza........kwa maana huu ni muamala wa kwanza wa malipo ya kifedha unafanyika kutoka kwa bakhressa kwenda kwa mkulima.

Hivyo basi.....mkulima hypothetically anatakiwa kuwa na ile mashine na TRA ili amuandikie risiti bakhresa na kuwapatia serikali kupitia wakala wake (TRA) mapato yao ya asilimia kumi (10%) kodi ya tozo la ongezeko la thamani kutoka sifuri (0) hadi laki mbili (200,000) ambayo itakuwa ni shilingi elfu ishirini (20,000). Hivyo basi bakhresa hatotakiwa kulipa zaidi ya 200,000/= kwa mkulima na hatolipa chochote kwa serikali maana yeye hajapokea chochote ila ametoa. Mkulima atatakiwa kubaki na 180,000/= baada ya kutoa 20,000/= ya VAT

Bakhressa atasafirisha huu mzigo kwenda kiwandani kwake kwakutumia fuso ya mtu binafsi anaetoa huduma hiyo.......tuchukulie atalipia 30,000 kama gharama ya usafiri. Pia huyu msafirishaji anatakiwa kuwa na Kifaa cha risiti cha tra ili aweze kulipa vat kila wakati mtu anapofanya malipo kwake. Hivyo basi katika hatua hii pia msafirishaji atatakiwa kulipa 10% ya 30,000 kama VAT bakhressa hatalipia zaidi ya 30,000 na VAT haimuhusu maana hajapokea ametoa.
Baada ya mzigo kufika kiwandani bakressa ataanza kutengeneza juice yake.......tuchukulie kwamba maembe yanatoa juice nyingi kiasi kwamba anaweza kupanga bei ya sh.2500/= kwenda kwa muuzaji wa jumla shilingi 2000 /= ni kufidia gharama alizoingiza na 500 ni faida kwaajiri yake. Tuchukulie Mangi mwenye duka la jumla amekuja kununua boksi 100 za juice ya bakhressa ambazo zitamgharimu sh. 250,000/= .....bakhressa atatakiwa kulipa VAT kwasababu katika muamala huu yeye ndiye anapokea Mangi hatotakiwa kulipa zaidi ya 250,000/= kwa bakhressa ili kupata hizo boksi 100.Hivyo basi bakhressa atapokea sh. 250,000/= na atakata VAT ambayo ni 10% ya 250,000/= ambayo ni sh.25,000/= iende serikalini na yeye atabaki na 225,000/=.
Mangi atakwenda na mzigo dukani kwake ili akauze reja reja kwa wauzaji wa reja reja. Mangi atalipia usafiri wa bajaji kubeba hizi boksi 100. Tufanye bajaji ni sh.5000/=. Huyu jamaa wa bajaji anatakiwa kuwa na kile kifaa cha TRA pia ili alipe kodi. Hivyo tuchukulie anacho hivyo basi atalipa vat pia 10% ya sh.5000/= ambayo ni shiling 500/= Mangi hatolipia chochote zaidi ya 5000 hapa........Mzigo utafika dukani kwa Mangi tayari kwaajiri ya mauzo.
Mangi atauza kila boksi kumi kwa bei ya sh. 3000 kila boksi hivyo bei yake ya jumla ni sh. 30,000/=. Muuzaji wa rejareja anayeitwa Faki atakwenda dukani kwa Mangi kununua mzigo wake ili apeleke dukani kwake kuuza reja reja. Faki atamlipa Mangi shilingi 30,000 kwa boski kumi. Faki hatolipia VAT hapa na hatomlipa Mangi zaidi ya sh. 30,000/= .......Mangi atakiwa anatakiwa ampe Faki risiti ya TRA kutoka katika kifaa cha tra ambayo itaonyesha kuwa amelipia VAT (10% ya sh. 30,000/=) ambayo ni sh. 3000/= kwenda serikilini kupitia TRA. Faki atakwenda na hii bidhaa dukani kwake ili akauze reja reja kwa boksi moja moja kwa mtumiaji wa mwisho ambaye ni mimi au wewe. Faki atapanda Boda boda pia atalipia gharama ya sh. 3000/=. Boda boda atatakiwa ampatie risiti ya TRA Faki kwa malipo yaliyofanyika ambapo bodaboda atalipia VAT kwa serikali kupitia kifaa cha TRA(Tanzania bado havijaletwa ila tunatakiwa kuwa navyo) boda boda atalipa sh.300/= kwenda serikalini kupitia TRA.Faki hatolipia VAT hapa na hatolipia zaidi ya sh.3000/= kwaajiri ya gharama za usafiri. Faki atafika dukani pake na kuweka maboksi ya juice tayari kwa kuuza. Mimi nitakwenda dukani kwa faki kununua juice boksi moja. Faki anauza boksi moja ya juice kwa bei ya sh.3500/=. Mimi nitanunua hii box kwa shilingi 3500/= hiyo hiyo. Faki atalipia VAT 10% ya 3500/=ambayo ni 350/= iende serikalini kupitia tra. Mimi hapa sitotakiwa kulipia zaidi ya sh.3500/= na sitolipia VAT kamwe kwasababu nimelipia na sitauza ninakwenda kuitumia hii juice. Hapa ndipo kodi aina ya Vat hukomea kwa muuzaji wa mwisho. Kama umefuatilia vizuri huo mtiririko basi utakuwa umejifunza mambo mengi kuhusu VAT. Mojawapo ni kuwa....
(1)VAT hailipwi na anayenunua bidhaa au huduma ila anayeuza ndiye hulipa..
(2)Vat huchajiwa kama tozo ya ongezeko la thamani na hivyo basi huchatozwa pale tu ambapo kuna muamala mpya unafanyika yaani mauziano mapya.
(3)VAT kwa tanzania kiuhalisia tofauti na kwenye mfano hapo juu huwa inarushwa au hukwepwa na wanaouza bidhaa au huduma kwa kuificha ndani ya bei wanayokupa na ukiwahoji wanakwambia vat imepanda ndio maana na bei imepanda .....hili ni kosa kubwa kisheria na wengi huwa wanalifanya wakijua ni haki yao kumbe si halali hata kidogo kwa wao kulipa vat halafu ile vat wanairudisha kijanja kwenye bei ya vitu wanavyouza au huduma mfano hapo faki angeniuzia mimi juice kwa bei ya sh. 3,850/= badala ya 3500 ili ndani ya hiyo bei akwepe Kodi ya ongezeko la thamani yaani VAT nimlipie mimi.
Nakaribisha maswali.........uchangiaji........na pia nyongeza kama kuna kitu kimepungua au hakipo sawa.
Umejitahidi kufafanua mkuu hata hivyo mfanyabiashara anayekuuzia mzigo huwa bei yake ya mwisho tayari INA VAT ndio maana wewe unaona hujachajiwa kumbe kiuhalisia umechajiwa. Ndio maana ukienda dukani kariakoo kununua bidhaa wanakupa bei mbili, yenye. VAT na isiyo na vat. Utakuta wanakuuliza kama unataka risiti bei ni hii na bila risiti bei inakuwa chini. Ki msingi anayekuuzia mzigo au huduma ni Wakala wa TRA katika kukusanya vat mkuu.
 
Peleka p
Neno VAT ni neno la kiuchumi au la kibiashara la lugha ya kiingereza(english) ikiwa ni ufupisho wa maneno "VALUE ADDED TAX yaani kwa kiswahili ni kodi ya ongezeko la thamani.

VAT ni aina ya kodi ambayo hutozwa kwenye mapato yatokanayo na mauzo ya bidhaa ya aina yeyote kubwa kwa ndogo lakini pia kwa malipo ya huduma zozote! Kwa kifupi ni kiasi ambacho hutozwa kwa muamala wowote na hutozwa kwa yule anayepokea tu na si mtoaji.

Kwa muda mrefu serikali yetu imekuwa ikichaji aina hii ya kodi kwenye malipo yanayofanyika katika manunuzi ya bidhaa na huduma hapa nchini(si mauzo yote hufanikiwa kuchajiwa kwasababu ya ukwepaji kodi na mifumo isiyokidhi mahitaji pamoja na biashara nyingi kutokuwa rasmi).
Aina hii ya kodi hukadiriwa kulingana naongezeko la thamani au kushuka kwa thamani ya bidhaa au huduma usika.......tafsiri yake ni kuwa kama bidhaa au huduma itapanda au kushuka bei then kiwango cha kodi inayochajiwa nacho kitapanda au kushuka kulingana na asilimia ambayo hutozwa.....( kwasasa ni asilimia 18).

Kuna kasumba ambayo imejengeka katika akili za watanzania (wasomi na hata wasio wasomi) kuwa tozo la kodi ya V.A.T huwa inatakiwa kulipwa na mnunuaji wa bidhaa pale anapokwenda dukani kwamaana ya kwamba hii kodi tokea bidhaa ina nunuliwa basi kila anayeuza hii bidhaa humtupia mzigo wa kulipa anayeishia wa mwisho kitu ambacho si sahihi. Ntakupa mfano ili unielewe vema.......

Mfano:

Tutachukulia kiwango cha VAT ni asilimia kumi (10%) ili kurahisisha mahesabu........ila kiwango halisi cha VAT kwa sasa ni asilimia kumi na nane (18%).


mfano, bakhresa anazalisha juice ya azam mango
Juice hii hutengenezwa na maembe. Bakhresa anakwenda shambani kwa mkulima ambaye tutachukulia anamiembe ambayo ni ya asili hivyo hakuna gharama yeyote ya uzalishaji hapo ila tu ameisimamia miembe yake imekuwa na imezaa kwahiyo pesa ya kwanza katika hii scenario ni wakati bakhresa analipia maembe kwaajiri ya kupeleka kiwandani kwake kwaajiri ya kukamua juice.

Tuchukulie bakhresa amechukua tani 10 ambazo ni kwa ujumla wake amemlipa mkulima shilingi laki mbili (200,000/=). Sasa hapa ndio habari ya VAT huanza........kwa maana huu ni muamala wa kwanza wa malipo ya kifedha unafanyika kutoka kwa bakhressa kwenda kwa mkulima. Hivyo basi.....mkulima hypothetically anatakiwa kuwa na ile mashine na TRA ili amuandikie risiti bakhresa na kuwapatia serikali kupitia wakala wake (TRA) mapato yao ya asilimia kumi (10%) kodi ya tozo la ongezeko la thamani kutoka sifuri (0) hadi laki mbili (200,000) ambayo itakuwa ni shilingi elfu ishirini (20,000). Hivyo basi bakhresa hatotakiwa kulipa zaidi ya 200,000/= kwa mkulima na hatolipa chochote kwa serikali maana yeye hajapokea chochote ila ametoa. Mkulima atatakiwa kubaki na 180,000/= baada ya kutoa 20,000/= ya VAT.

Bakhressa atasafirisha huu mzigo kwenda kiwandani kwake kwakutumia fuso ya mtu binafsi anaetoa huduma hiyo.......tuchukulie atalipia 30,000 kama gharama ya usafiri. Pia huyu msafirishaji anatakiwa kuwa na Kifaa cha risiti cha tra ili aweze kulipa vat kila wakati mtu anapofanya malipo kwake. Hivyo basi katika hatua hii pia msafirishaji atatakiwa kulipa 10% ya 30,000 kama VAT bakhressa hatalipia zaidi ya 30,000 na VAT haimuhusu maana hajapokea ametoa.
Baada ya mzigo kufika kiwandani bakressa ataanza kutengeneza juice yake.......tuchukulie kwamba maembe yanatoa juice nyingi kiasi kwamba anaweza kupanga bei ya sh.2500/= kwenda kwa muuzaji wa jumla shilingi 2000 /= ni kufidia gharama alizoingiza na 500 ni faida kwaajiri yake.

Tuchukulie Mangi mwenye duka la jumla amekuja kununua boksi 100 za juice ya bakhressa ambazo zitamgharimu sh. 250,000/= .....bakhressa atatakiwa kulipa VAT kwasababu katika muamala huu yeye ndiye anapokea Mangi hatotakiwa kulipa zaidi ya 250,000/= kwa bakhressa ili kupata hizo boksi 100.
Hivyo basi bakhressa atapokea sh. 250,000/= na atakata VAT ambayo ni 10% ya 250,000/= ambayo ni sh.25,000/= iende serikalini na yeye atabaki na 225,000/=.

Mangi atakwenda na mzigo dukani kwake ili akauze reja reja kwa wauzaji wa reja reja. Mangi atalipia usafiri wa bajaji kubeba hizi boksi 100. Tufanye bajaji ni sh.5000/=. Huyu jamaa wa bajaji anatakiwa kuwa na kile kifaa cha TRA pia ili alipe kodi. Hivyo tuchukulie anacho hivyo basi atalipa vat pia 10% ya sh.5000/= ambayo ni shiling 500/= Mangi hatolipia chochote zaidi ya 5000 hapa........
Mzigo utafika dukani kwa Mangi tayari kwaajiri ya mauzo. Mangi atauza kila boksi kumi kwa bei ya sh. 3000 kila boksi hivyo bei yake ya jumla ni sh. 30,000/=.
Muuzaji wa rejareja anayeutwa Faki atakwenda dukani kwa Mangi kununua mzigo wake ili apeleke dukani kwake kuuza reja reja.
Faki atamlipa Mangi shilingi 30,000 kwa boski kumi. Faki hatolipia VAT hapa na hatomlipa Mangi zaidi ya sh. 30,000/= .......Mangi atakiwa anatakiwa ampe Faki risiti ya TRA kutoka katika kifaa cha tra ambayo itaonyesha kuwa amelipia VAT (10% ya sh. 30,000/=) ambayo ni sh. 3000/= kwenda serikilini kupitia TRA.
Faki atakwenda na hii bidhaa dukani kwake ili akauze reja reja kwa boksi moja moja kwa mtumiaji wa mwisho ambaye ni mimi au wewe.
Faki atapanda Boda boda pia atalipia gharama ya sh. 3000/=. Boda boda atatakiwa ampatie risiti ya TRA Faki kwa malipo yaliyofanyika ambapo bodaboda atalipia VAT kwa serikali kupitia kifaa cha TRA(Tanzania bado havijaletwa ila tunatakiwa kuwa navyo) boda boda atalipa sh.300/= kwenda serikalini kupitia TRA.Faki hatolipia VAT hapa na hatolipia zaidi ya sh.3000/= kwaajiri ya gharama za usafiri.

Faki atafika dukani pake na kuweka maboksi ya juice tayari kwa kuuza.
Mimi nitakwenda dukani kwa faki kununua juice boksi moja.
Faki anauza boksi moja ya juice kwa bei ya sh.3500/=. Mimi nitanunua hii box kwa shilingi 3500/= hiyo hiyo. Faki atalipia VAT 10% ya 3500/=ambayo ni 350/= iende serikalini kupitia tra.
Mimi hapa sitotakiwa kulipia zaidi ya sh.3500/= na sitolipia VAT kamwe kwasababu nimelipia na sitauza ninakwenda kuitumia hii juice. Hapa ndipo kodi aina ya Vat hukomea kwa muuzaji wa mwisho.

Kama umefuatilia vizuri huo mtiririko basi utakuwa umejifunza mambo mengi kuhusu VAT. Mojawapo ni kuwa....
(1)VAT hailipwi na anayenunua bidhaa au huduma ila anayeuza ndiye hulipa..

(2)Vat huchajiwa kama tozo ya ongezeko la thamani na hivyo basi huchatozwa pale tu ambapo kuna muamala mpya unafanyika yaani mauziano mapya.

(3)VAT kwa tanzania kiuhalisia tofauti na kwenye mfano hapo juu huwa inarushwa au hukwepwa na wanaouza bidhaa au huduma kwa kuificha ndani ya bei wanayokupa na ukiwahoji wanakwambia vat imepanda ndio maana na bei imepanda .....hili ni kosa kubwa kisheria na wengi huwa wanalifanya wakijua ni haki yao kumbe si halali hata kidogo kwa wao kulipa vat halafu ile vat wanairudisha kijanja kwenye bei ya vitu wanavyouza au huduma
mfano
hapo faki angeniuzia mimi juice kwa bei ya sh. 3,850/= badala ya 3500 ili ndani ya hiyo bei akwepe Kodi ya ongezeko la thamani yaani VAT nimlipie mimi.



Nakaribisha maswali.........uchangiaji........na pia nyongeza kama kuna kitu kimepungua au hakipo sawa.

Peleka pumba zako Lumumba.

Mlijifungia BUNGE la katika mkaja na katiba ya hovyo.
Mmejifungia BUNGE la bajeti mmekuja na bajeti ya hovyo.
 
Umeeleza vyema kama hawataki kuelewa basi waache waendelee kukamuliwa ili mradi serikali inapata 18%.
 
Mtoa mada ungekuwa darasani unge-score 70%, inaelekea hujui practicability yake. kuna kitu kinakutatiza nikipata muda nitakusaidia
 
uzi wa upotoshaji huuu.

What is your aim mtoa mada, kuwafanya watanzania wajinga zaidi badala ya kuwaelimisha.

Au kwasbabu unajua ni wavivu wa kusoma na kujitafutia ukweli ndo maana unawaambia vitu vya upotoshaji namna hii??

Bila kukuchosha kuleta reference hapa, embu nenda kwenye google type neno V. A. T halafu ndo ujue maana yake nini na burden ya kulipa mwisho wa siku inaangukia kwa nani.

Kwa definition ndogo ya kukusaidia, angalia definition ya V. A. T kutoka mamlaka ya kodiView attachment 362597
Asante mkuu kwa ufafanuzi. I concur with you 100%
 
Neno VAT ni neno la kiuchumi au la kibiashara la lugha ya kiingereza(english) ikiwa ni ufupisho wa maneno "VALUE ADDED TAX yaani kwa kiswahili ni kodi ya ongezeko la thamani.

VAT ni aina ya kodi ambayo hutozwa kwenye mapato yatokanayo na mauzo ya bidhaa ya aina yeyote kubwa kwa ndogo lakini pia kwa malipo ya huduma zozote! Kwa kifupi ni kiasi ambacho hutozwa kwa muamala wowote na hutozwa kwa yule anayepokea tu na si mtoaji.

Kwa muda mrefu serikali yetu imekuwa ikichaji aina hii ya kodi kwenye malipo yanayofanyika katika manunuzi ya bidhaa na huduma hapa nchini(si mauzo yote hufanikiwa kuchajiwa kwasababu ya ukwepaji kodi na mifumo isiyokidhi mahitaji pamoja na biashara nyingi kutokuwa rasmi).
Aina hii ya kodi hukadiriwa kulingana naongezeko la thamani au kushuka kwa thamani ya bidhaa au huduma usika.......tafsiri yake ni kuwa kama bidhaa au huduma itapanda au kushuka bei then kiwango cha kodi inayochajiwa nacho kitapanda au kushuka kulingana na asilimia ambayo hutozwa.....( kwasasa ni asilimia 18).

Kuna kasumba ambayo imejengeka katika akili za watanzania (wasomi na hata wasio wasomi) kuwa tozo la kodi ya V.A.T huwa inatakiwa kulipwa na mnunuaji wa bidhaa pale anapokwenda dukani kwamaana ya kwamba hii kodi tokea bidhaa ina nunuliwa basi kila anayeuza hii bidhaa humtupia mzigo wa kulipa anayeishia wa mwisho kitu ambacho si sahihi. Ntakupa mfano ili unielewe vema.......

Mfano:

Tutachukulia kiwango cha VAT ni asilimia kumi (10%) ili kurahisisha mahesabu........ila kiwango halisi cha VAT kwa sasa ni asilimia kumi na nane (18%).


mfano, bakhresa anazalisha juice ya azam mango
Juice hii hutengenezwa na maembe. Bakhresa anakwenda shambani kwa mkulima ambaye tutachukulia anamiembe ambayo ni ya asili hivyo hakuna gharama yeyote ya uzalishaji hapo ila tu ameisimamia miembe yake imekuwa na imezaa kwahiyo pesa ya kwanza katika hii scenario ni wakati bakhresa analipia maembe kwaajiri ya kupeleka kiwandani kwake kwaajiri ya kukamua juice.

Tuchukulie bakhresa amechukua tani 10 ambazo ni kwa ujumla wake amemlipa mkulima shilingi laki mbili (200,000/=). Sasa hapa ndio habari ya VAT huanza........kwa maana huu ni muamala wa kwanza wa malipo ya kifedha unafanyika kutoka kwa bakhressa kwenda kwa mkulima. Hivyo basi.....mkulima hypothetically anatakiwa kuwa na ile mashine na TRA ili amuandikie risiti bakhresa na kuwapatia serikali kupitia wakala wake (TRA) mapato yao ya asilimia kumi (10%) kodi ya tozo la ongezeko la thamani kutoka sifuri (0) hadi laki mbili (200,000) ambayo itakuwa ni shilingi elfu ishirini (20,000). Hivyo basi bakhresa hatotakiwa kulipa zaidi ya 200,000/= kwa mkulima na hatolipa chochote kwa serikali maana yeye hajapokea chochote ila ametoa. Mkulima atatakiwa kubaki na 180,000/= baada ya kutoa 20,000/= ya VAT.

Bakhressa atasafirisha huu mzigo kwenda kiwandani kwake kwakutumia fuso ya mtu binafsi anaetoa huduma hiyo.......tuchukulie atalipia 30,000 kama gharama ya usafiri. Pia huyu msafirishaji anatakiwa kuwa na Kifaa cha risiti cha tra ili aweze kulipa vat kila wakati mtu anapofanya malipo kwake. Hivyo basi katika hatua hii pia msafirishaji atatakiwa kulipa 10% ya 30,000 kama VAT bakhressa hatalipia zaidi ya 30,000 na VAT haimuhusu maana hajapokea ametoa.
Baada ya mzigo kufika kiwandani bakressa ataanza kutengeneza juice yake.......tuchukulie kwamba maembe yanatoa juice nyingi kiasi kwamba anaweza kupanga bei ya sh.2500/= kwenda kwa muuzaji wa jumla shilingi 2000 /= ni kufidia gharama alizoingiza na 500 ni faida kwaajiri yake.

Tuchukulie Mangi mwenye duka la jumla amekuja kununua boksi 100 za juice ya bakhressa ambazo zitamgharimu sh. 250,000/= .....bakhressa atatakiwa kulipa VAT kwasababu katika muamala huu yeye ndiye anapokea Mangi hatotakiwa kulipa zaidi ya 250,000/= kwa bakhressa ili kupata hizo boksi 100.
Hivyo basi bakhressa atapokea sh. 250,000/= na atakata VAT ambayo ni 10% ya 250,000/= ambayo ni sh.25,000/= iende serikalini na yeye atabaki na 225,000/=.

Mangi atakwenda na mzigo dukani kwake ili akauze reja reja kwa wauzaji wa reja reja. Mangi atalipia usafiri wa bajaji kubeba hizi boksi 100. Tufanye bajaji ni sh.5000/=. Huyu jamaa wa bajaji anatakiwa kuwa na kile kifaa cha TRA pia ili alipe kodi. Hivyo tuchukulie anacho hivyo basi atalipa vat pia 10% ya sh.5000/= ambayo ni shiling 500/= Mangi hatolipia chochote zaidi ya 5000 hapa........
Mzigo utafika dukani kwa Mangi tayari kwaajiri ya mauzo. Mangi atauza kila boksi kumi kwa bei ya sh. 3000 kila boksi hivyo bei yake ya jumla ni sh. 30,000/=.
Muuzaji wa rejareja anayeutwa Faki atakwenda dukani kwa Mangi kununua mzigo wake ili apeleke dukani kwake kuuza reja reja.
Faki atamlipa Mangi shilingi 30,000 kwa boski kumi. Faki hatolipia VAT hapa na hatomlipa Mangi zaidi ya sh. 30,000/= .......Mangi atakiwa anatakiwa ampe Faki risiti ya TRA kutoka katika kifaa cha tra ambayo itaonyesha kuwa amelipia VAT (10% ya sh. 30,000/=) ambayo ni sh. 3000/= kwenda serikilini kupitia TRA.
Faki atakwenda na hii bidhaa dukani kwake ili akauze reja reja kwa boksi moja moja kwa mtumiaji wa mwisho ambaye ni mimi au wewe.
Faki atapanda Boda boda pia atalipia gharama ya sh. 3000/=. Boda boda atatakiwa ampatie risiti ya TRA Faki kwa malipo yaliyofanyika ambapo bodaboda atalipia VAT kwa serikali kupitia kifaa cha TRA(Tanzania bado havijaletwa ila tunatakiwa kuwa navyo) boda boda atalipa sh.300/= kwenda serikalini kupitia TRA.Faki hatolipia VAT hapa na hatolipia zaidi ya sh.3000/= kwaajiri ya gharama za usafiri.

Faki atafika dukani pake na kuweka maboksi ya juice tayari kwa kuuza.
Mimi nitakwenda dukani kwa faki kununua juice boksi moja.
Faki anauza boksi moja ya juice kwa bei ya sh.3500/=. Mimi nitanunua hii box kwa shilingi 3500/= hiyo hiyo. Faki atalipia VAT 10% ya 3500/=ambayo ni 350/= iende serikalini kupitia tra.
Mimi hapa sitotakiwa kulipia zaidi ya sh.3500/= na sitolipia VAT kamwe kwasababu nimelipia na sitauza ninakwenda kuitumia hii juice. Hapa ndipo kodi aina ya Vat hukomea kwa muuzaji wa mwisho.

Kama umefuatilia vizuri huo mtiririko basi utakuwa umejifunza mambo mengi kuhusu VAT. Mojawapo ni kuwa....
(1)VAT hailipwi na anayenunua bidhaa au huduma ila anayeuza ndiye hulipa..

(2)Vat huchajiwa kama tozo ya ongezeko la thamani na hivyo basi huchatozwa pale tu ambapo kuna muamala mpya unafanyika yaani mauziano mapya.

(3)VAT kwa tanzania kiuhalisia tofauti na kwenye mfano hapo juu huwa inarushwa au hukwepwa na wanaouza bidhaa au huduma kwa kuificha ndani ya bei wanayokupa na ukiwahoji wanakwambia vat imepanda ndio maana na bei imepanda .....hili ni kosa kubwa kisheria na wengi huwa wanalifanya wakijua ni haki yao kumbe si halali hata kidogo kwa wao kulipa vat halafu ile vat wanairudisha kijanja kwenye bei ya vitu wanavyouza au huduma
mfano
hapo faki angeniuzia mimi juice kwa bei ya sh. 3,850/= badala ya 3500 ili ndani ya hiyo bei akwepe Kodi ya ongezeko la thamani yaani VAT nimlipie mimi.



Nakaribisha maswali.........uchangiaji........na pia nyongeza kama kuna kitu kimepungua au hakipo sawa.
UMEPAMBANUA vizuri sana swala la tax...ila kwangu mimi navyojua ndio maana utakuta katika kila mkoa kuna mageti ambayo yanazuia mazao kutoka na lazima kulipia..huyu mkulima wa maembe kama ataweza kula yote hawezi kulipa tax lakini kama akiuza haya maembe mnunuzi lazima akalipie TAX unless kama atauza kidogo kidogo lakini kama akiuza kama fuso must kulipia...kwenye point ambazo zipo barabarani na anapewa risiti.
1)VAT...value added tax....vat inalipwa na anayenunua bidhaa ila muuzaji anaisaidia serikali kukusanya ile kodi...mark up price lazima iwe zaidi ya tax ili nayeye apate faida na VAT ya TRA

2)bakhresa kuuza bidhaa yake lazima aangalie haya maembe aliyonunua amelipia sh ngapi, production cost,usafirishaji na anaweja mark up price ili apate faida pia

3) bidhaa zinaweza panda bei kutokana na costs ya vitu vingine zaidi ya VAT...mafuta,usafirishaji na production costs kitu ambacho upandisha bidhaa bei juu na ndipo muuzajia anapopandisha bei juu pia.
 
Mtoa mada tafadhali usipotoshe umma wa watanzania. Biblia inasema tafuta ukweli utakuweka huru. Naomba watanzania wenzangu kabla ya ku comment na kushukuru tufanye utafiti angalau kidogo ili kupanua ufahamu wetu wa mambo na kukwepa upotoshaji. VAT ni kodi ya ongezeko la thamani na kamwe hailipwi na mfanyabiashara ila mnunuzi. Swali linaweza kuja mbona kuna wafanyabiashara wananua bidhaa zinazotozwa VAT ni vipi hawailipi? Kama hawalipi VAT ni nani hasa analipa? Inatokea nini mpaka mfanyabiashara anaidai serikali arudishiwe VAT aliyolipa?

Ili tuelewe nitaleta mfano rahisi unaowahusisha wafanyabiashara wawili ambao wasajiliwa kutoza VAT. Mfanyabiashara akinunua bidhaa kwa mfanyabiasha mwingine ambayo bei tuchukulie bei ya bidhaa ni tshs 2,000 bila vat. Kwakuwa mfanyabiashara wa amesajiliwa kutoza vat ataongeza asilimia 18 kwenye bei aliyopanga na hivyo bei ya bidhaa hiyo itakuwa Tshs 2,360 kwa maana ya bei ya muuzaji tshs 2,000 + 18% ya tshs 2,000 ambayo ni tshs 360. Kama nilivyosema awali huyu aliyenunua pia anaenda kuuza. Bei yake ya kuuza ni tshs 3,000 bila vat yaani ameweka margin ya tshs 1,000. Sasa bei ya kuuza itakuwa tshs 3,540 yaani bei yake ya tshs 3,000 + 18% ya vat ambayo inatozwa kwenye tshs 3,000 bei ya muuzaji.

Sasa kwanini mfanyabiashara halipi vat? Kila mwisho wa mwezi mfanyabiashara aliyesajiliwa anatakiwa kupeleka return au repoti ya kodi ya vataliyokusanya. Mfanyabiashara huyu ataonyesha kodi aliyokusanya ni tshs 540 wakati huohuo ataonyesha kodi aliyolipa ya vat ya tshs 360. Kwakuwa alichokusanya ni kingi kuliko alicholipa basi tofauti ambayo ni tshs 180 atailipa tra. Kama alichokusanya ni kidogo kuliko alicholipa tra itatakiwa kumrudishia mfanyabiashara hicho alicholipa zaidi. Kwa mfano huu mfupi mtakuwa mmepata mwanga kwamba kodi hii inalipwa na mlaji wa mwisho.
 
Kwa mawazo yangu finyu kwenye mambo ya kifedha, natabiri mabenki yatapandisha gharama za huduma zake ili kufidia makato ya kodi. wakilazimishwa lazima watatoa sababu ya kupandisha bei ya huduma kwa maelezo ya kuweza kujiendesha. WATEJA KAMWE HATUTAEPUKA KUUBEBA MSALABA HUU!
 
Mtoa mada mfanyabiashara ni TAX COLLECTOR anakusanya kodi kwa niaba ya TRA , kama umefanya biashara au umejaza tender yoyote au quotation lazima kuna kipengele cha Add 18% VAT so usipotoshe uma.
Na pia mfanyabiashara nae pia analipa VAT anapoenda kununua malighafi so Bakhresa akienda kununua maembe shambani ni bakhresa ndie anaelipa kodi yule mkulima anaipeleka TRA na vivyo hivyo Mangi akienda kununua juice kwa bakhresa ni Mangi anayelipa hiyo VAT na sio bakhresa tena anachofanya mfanyabiashara ni Ku add 18% VAT
Wewe ndiye unayepotosha. Kama huelewi it's better ukakaa kimya.
 
Sasa hapa ndio watanzania mjue kuwa wanaotufilisi hii nchi ni wasomi na masomo yao kuklemisha na si mataifa ya nje.............mimi hapo nimeonyesha mfumo ambao VAT inatakiwa kuwa na serikali iweze kupata mapato yake inavyotakiwa......na nikaandika kabisa kuwa huo ni mfano........na hata hivyo namna serikali wanavyokokotoa VAT si kama hapo juu maana hata ningekuwa sijui chochote ningeenda online halafu ningekuja kupaste tu vitu nilivyosoma...........lakini nilichofanya hapo ni kutoa namna ambayo ingekuwa nzuri ya kukusanya kodi ya serikali........

Ila tatizo ni kuwa wasomi wengi tanzania wapo vizuri kwenye kumeza vitu kama vilivyo bila kuvitoa dosari...........iwe ni mambo ya benki upande wa riba na makato au inshu za kodi kama hivi........hili taifa linahitaji wasomi ambao wanahoji mifumo na sio watu wanaokwenda shule wanajua tu kumeza hesabu halafu wanakuja kutumia walichojifunza kurudusha taifa nyuma kwa kuwanyonya wananchi kupitia mifumo ambayo sio rafiki kwa maendeleo ya wananchi achilia mbali ya taifa.............

So kwa wale ambao mnasema nilichosema sio kitu cha kueleweka wekeni mfumo halisi wa VAT halafu mtaona kama kuna mjumbe atawaelewa au ataona tija ya huo mfumo halisi.........



Ifike wakati wasomi tuwe watu wa kuhoji mifumo ambayo haitusaidii kuleta maendeleo.......leo hii raia wa kawaida kwanza hata haelewi nini maana ya kodi maana hajui inamaana gani zaidi anahofia itamzulumu........


WITH MY SOCIETY I STAND.
Usomi wako unanitia shaka, au labda tuseme mambo ya kodi sio fani yako, umeongea tu kama mtanzania wa kawaida, sasa kosa lako ni kuwa unataka kufundisha na wewe huyajui hayo mambo so unaishia kupotosha. siku nyingine fanya karesearch kidogo kwanza.
 
Wewe ndiye unayepotosha. Kama huelewi it's better ukakaa kimya.
1467820535322.jpg
 
Usomi wako unanitia shaka, au labda tuseme mambo ya kodi sio fani yako, umeongea tu kama mtanzania wa kawaida, sasa kosa lako ni kuwa unataka kufundisha na wewe huyajui hayo mambo so unaishia kupotosha. siku nyingine fanya karesearch kidogo kwanza.
Sasa wewe uliyeelewa utuambie kama huu mfumo ni rafiki kwa maendeleo ya taifa letu na kwa raia.......maana wasomi wa tanzania huwa mnasahau kitu kimoja hii elimu ni ya mkoloni.......na alikuwa anaitumia kumnyonya raia mzawa leo tumerithi bado mnaona ni ujanja........kwa kifupi ukisha maliza degree yako unajiona mzungu ili hali ni mtu mweusi hadi unyayo.....

Soma vizur uelewe hoja niliyoleta sio unaruka tiki taka kwenye sakafu yenye utelezi utatulia kisogo uumie.....

Na hii mifumo ya kurithi haiishii kwenye kodi tu hata kwenye ulinzi na usalama mtaona mambo ni yale yale......askari anapewa mafunzo ya ukatili dhidi ya raia sio mafunzo ya kumtetea ...kumlinda....na kumuelekeza raia ...ila ni kumkung'uta kama ngoma iwe kwa kosa dogo au kubwa........na bado ukikosoa bado watakuja wanaojua zaidi watakwambia hapana askari wanavyofanya ni sahihi hapa nchini......

Inaboa sana watu mnavyeti halafu vimewavimbisha akili tu na manotes ya kumeza na hamjajifunza ili kuibadili direction nchi yetu iende kuzuri........tumia jicho la tatu
 
Mleta maada unaposha umma. kwanza unaonekana kujaisoma hiyo sheria ya kodi ya VAT. kwa kukuelimisha tu ni kuwa katika sheria ya kodi ta VAT kuna majedwali ambayo yanatoa ruhusu kwa baadhi ya bidhaa kutozwa kodi ya VAT. mfano ni unprocessed goods kama maembe. kwa hiyo kuna level ambayo VAT huanza kutozwa. mfano uliotoa wa maembe hauendani na kile ambacho watanzania wanalamikia hii serikali ya rais wetu mwema.

Gavana alieleza uhalisi wa sheria yenyewe ya VAT na jinsi inavyofanya kazi.
 
Naombeni ufafanuzi kwanini juzi serikali wamepiga marufuku taasisi za kifedha kuongeza gharama za miamala ingawa kwamba wameiongezea VAT ya 18%.......na bado mlichosema kuwa mtu wa mwisho ndiye analipia VAT..........

Marekani yenyewe na uchumi kuwa vizuri vile huu mfumo wa VAT hawautumii.......wanatumia sales tax..........


Kama haujaelewa nilichomaanisha katika huu uzi basi narudia tena kwa faida yako.....

Huo mfano na maelezo niliyotoa hapo juu si kitu kinachotokea Tanzania.....ila ni format ambayo ingekuwa nzuri kwaajili ya kupata kodi katika kila malipo yanayofanyika aidha yawe ya huduma au bidhaa.......

I hope vilaza wa BRN mtanielewa hapo ......maana m'meklemisha notes za sekondari na chuo ila kuzichambua ili muangalie ni nini kinafaa na hali yetu ya uchumi vichwa vimekuwa ni vigumu kama nazi za mkomazi.....
 
Mtoa mada, nenda kwanza kajiandikishe pale chuo cha kodi (usome diploma, degree au masters ya taxation), mimi nitalipa ada.
 
Back
Top Bottom