Tujadili kuhusu mtandao wa Halotel

Tujadili kuhusu mtandao wa Halotel

kabla ya kusifia huo mtandao inakubidi ujiulize swali hili!

je, huo mtandao utaendeshwa kwa sheria na taratibu za nchi gani?
-maana kama na Tz Kampuni pekee inayoweza kutoa huduma kwa bei nafuu ni ile iliyo chini ya serikali (TTCL) haya mengine hawawezi kwani kufanya hivyo itakuwa hasara kwao.

Jembekillo umesoma hapa?
 
Last edited by a moderator:
Mitambo ipo on kwaiyo ili kujua kama wapo fanya manual seach ya operators eneo ulilopo utawaona wanatumia jina Hit TZ.
View attachment 297332View attachment 297332
LAKN pia huko Zanzibar ulishaona wanachimba mitaro na kutandaza nyaya? Maana huku bara wametandaza nyaya karibu nchi nzima.

Mtandao wao una nyaya Inapita ardhini, huwezi ona minara mingi, wana minara michache alafu mirefu sana ile myembamba. Sehemu nyingine wamenyanyua juu nguzo kama za ttcl.

Hao ndio halotel wengine tushaanza watumia kama freelancer

Je ndio hao hapo wasio kuwa na jina? Au huo ni mtandao gani
 

Attachments

  • Screenshot_2015-10-11-06-42-13.png
    Screenshot_2015-10-11-06-42-13.png
    21.7 KB · Views: 1,220
Mmenikumbusha ile kampuni nyingine ilikuja na same colour za orange hivi. Wakauza modem bei rahisi na watu wakabakia na modem Kama souvenir.

Shamba la bibi at your disposal, karibu Mgeni.

Sasa hiyo avatar yako na asubuhi asubui hii huwa unaitoa alafu mchana unairudisha mwee.

Usiogope hallotel naamini watafanya vizuri
 
Huo mtandao ni mkubwa kiasi gani kuweza kutoa huduma vijijini,njiani,mijini,maporini na baharini?maana yake umewafikia watu wote nchi nzima?

kama unaenda vijijini, jamaa wamejenga minara mingi sana. wanatumia pia mkonga wa taifa. wilayani wataunganisha net ya bure kwa taasis za serikali tena wireless.
 
Hata wao wataanza na bei ndogo ili kupenya kwenye soko.

Kisha watarudi mule mule
 
Mabadiliko ni muhimu,makampuni yanayo toa huduma kwasasa, yanadhurumu kwa kiwa wanasiasa hasa wa ccm wamepewa hisa na wengine ni viongozi humo hawana huruma na wananchi tuondoke kwa wingi ili wajue tumechoka
 
Kumbukeni wanakuwa regulated ma TCRA mmoja hawezi shusha bei zaidi ya ukomo wa bei labda wagawe line bure vinginevyo the legends will strive
 
Nahis me ntakuwa wa kwanza Kuhamia Halotel asee...
 
kama unaenda vijijini, jamaa wamejenga minara mingi sana. wanatumia pia mkonga wa taifa. wilayani wataunganisha net ya bure kwa taasis za serikali tena wireless.

Kama halotel wanaunga taasis za serikali na E-Goverment wanafanya kazi gani?
 
Kwa nchi hii labda lakini ninavyo jua lazima watalazimishwa kupandisha bei lasivyo watafungiwa
 
J5 sio mbali kama ni kweli mm nitakua wa kwanza sema nipo Arusha Mjini hapa watakuja lini????
 
Back
Top Bottom