Tujadili kijasusi ya Captain Tesha

Tujadili kijasusi ya Captain Tesha

Inatakiwa ujue cheo cha Captain kina nguvu gani Jeshini.

Inatakiwa ujue kuwa nje ya kuw Captain pia ni MKUFUNZI.

Inatakiwa ujue taratibu za Kijeshi si za kwenye Mitandao, mambo yao huisha kimya kimya.. ndani kwa ndani.

Inatakiwa ujue ule uvumi wa yule Kamanda anayedaiwa kuuliwa hivi karibuni ameacha maswali.. na ndani ya hayo mswali kuna watu wameumia na hao watu wapo nyuma ya mtu.
Kamanda gani huyo ameuliwa?
 
Salaam kwenu Wana great thinker.

Naomba niwashirikishe kwenye mijadala huu KIJASUSI zaidi kwasababu jamii forum ni hom of great thinkers,hatuchukulii jambo juu juu.

Wakuu,Jana,sote tunatambua alijitokeza mtu aliyejitambulisha kama afisa wa JW mwenye cheo Cha captain kwa jina anaitwa TESHA. Captain huyu aliongea mambo mazito mno kuhusu Mwenendo mbaya wa Taifa letu na akaenda mbali zaid kutaka jeshi letu pendwa lichukue udhibiti wa nchi kunusuru hali hyo mbaya ya Taifa letu inayoweza kusababisha madhara makubwa kama itaachwa bila ya kuchukuliwa hatua na jeshi.

Mambo yaliyonistua kiasi Cha kutaka TULIJADILI KIJASUSI.

1/ Jeshi letu halijakanusha chochote katika hotuba ya captain TESHA. Halijasema kama TESHA ni askari wao au alikuwa ni wao lkn kafukuzwa au kasimamishwa au vip

2/ Mpaka Sasa hatujui TESHA amechukuliwa hatua Gani na bado jeshi lipo kimya

3)Kuna tetesi zimezagaa kuwa Kuna maafisa wengi Wana msimamo kama wa TESHA baadhi Yao picha mjongeo zinasambazwa kwenye mitandao zikiwaonesha wakiwa na bunduki bila ya kuonesha sura zao wakieleza misimamo Yao waziwazi.

Sasa tujadili KIJASUSI: Katika hali kama hii iliyopo nchini mwetu,utekaji na mauaji,hali ngumu ya maisha kweli inawezkana vip mtu mwenye kazi Tena anacheo kikubwa jeshini achezee ajira yake vile huku akijua kitendo kile ni kuweka rehani maisha yake kwakua ni uhaini wa wazi na adhabu yake ni kifo? Mwenzenu Imani inanituma kuwa huko jeshini hakuko sawa na Hadi Sasa unaona kimya husikii hatua zozote zilizochukuliwa dhidi ya TESHA kwakua Kuna nguzo kubwa na muhimu TESHA ameiegemea na ndo ambayo imempa ujasiri wa kuchezea ajira yake na uhai wake.

Tusaidiane kudadavua hili kwa jicho la KIJASUSI,wenzetu mnalionaje?
Huo sio uhaini. Sana sana unaweza kuuita utovu wa nidhani.

Press conference ya Msemaji wa TPDF inafikirisha; maswali ni mengi kuliko majibu!

Assuming Captain Tesha is in active service kweli, sio rahisi sana kuamua haraka haraka kumuadhibu. Lazima tukubali, hali ya hewa nchini sio nzuri kwa sasa. Captain Tesha hawezi kuwa pekee yake. Wakimuendea kwa pupa wanaweza kujikuta wamewasha moto ambao hawawezi kuuzima!
 
Huyuuu jamaaa kazingua yey kama captain wa anga angechukua ndege angeenda mpaka ikulu apige mabomu mawili mama akikimbia yeye anachukuwa anasema nchi iko chini ya jeshi sasa kuongea ongea nonsense tuuu mwanajeshi anafanya haongei sanaaa kazingua
 
Huyo mwanajeshi fake Tesha hutamuona tena yuko kwenye mikono salama.
Na useme kabisa akitokea tena kuja kuzungumza upigwe dole la kati kabla ya kutatiliwa malinda kwa mara nyingine tena maana alisema atarudi tena kuongea
 
Na useme kabisa akitokea tena kuja kuzungumza upigwe dole la kati kabla ya kutatiliwa malinda kwa mara nyingine tena maana alisema atarudi tena kuongea
Nyumbu tuliza tako lako.
 
Kama umesomea cuba utagundua jeshi letu limefurahishwa sana na kitendo cha Captain wake kukubali kuliwakilisha vyema kwa wananchi.

Jeshi limeahidi kulinda wananchi kwenye maandamano, jeshi limeahidi kuwafumua polisi watakaojaribu kubugudhi wananchi. Asanteni sana JWTZ
😁😁😁😁
 
  • Kicheko
Reactions: UCD
Kama umesomea cuba utagundua jeshi letu limefurahishwa sana na kitendo cha Captain wake kukubali kuliwakilisha vyema kwa wananchi.

Jeshi limeahidi kulinda wananchi kwenye maandamano, jeshi limeahidi kuwafumua polisi watakaojaribu kubugudhi wananchi. Asanteni sana JWTZ
Ponjoro wa Kinondoni vipi habari za Kinondoni!!? 🤣🤣
 
Back
Top Bottom