Tujadili: Ilipaswa iweje?????????

Tujadili: Ilipaswa iweje?????????

Kaunga

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2010
Posts
12,529
Reaction score
13,501
Jackson ni mtu wa Njombe lakini anaishi Dar es Salaam, kijana mtanashati tu na mwenye kazi yake nzuri. Lily ni mdada wa njombe lakini anafanya kazi Mafinga (ni nurse); vijana hao wawili wanajuana na familia zao zinajuana. Mawasiliano kati yao ni ya simu na barua pepe, wamependana na kuamua kuwa wachumba.

Baada ya taratibu zote, hatimaye wamefunga ndoa ya kikristu kanisani (mpaka kifo kiwatenganishe). Usiku wa harusi, ambapo ndipo haswaa ndoa ilipopaswa kutimia (uchumba wao ulikuwa wa kikristu, hakuna tendo la ndoa kabla ya ndoa), ndipo tatizo lilipotokea. Bwana harusi, ana deformation kwenye penis yake; yaani uume umegawanyika kichwani hivyo kuufanya kuwa mpana sana kiasi kwamba ikawa vigumu kumuingia mkewe (hakuwa bikira).

BInti alipata maumivu makubwa sana, hadi kutoka damu (nafikiri alichanika); kiasi kwamba tendo la ndoa halikuwa la furaha tena. Bibi harusi hakukubali tena kushiriki tendo la ndoa na mumewe, na akamlaumu sana, na bwana harusi akasema yeye kazaliwa hivyo na alifikiri mkewe atamvumilia na kumtunzia siri. Baada ya fungate (hawakoDO tena) bwana harusi alirudi kwake Dar na bibi harusi akaenda kwenye kituo chake cha kazi.

Recently wameongea, na mume amempa go ahead mke in case anataka aanze upya na mtu mwingine. So mke ameongea na mshenga (ambaye ndio alisimulia) afanyaje?

Maswali niliyojiuliza:-
1. Kwanini mwanaume hakumuambia mchumbaye hali yake kabla?
2. Kiapo cha ndoa kimepoteza maana kiasi kwamba unaweza fanya majaribio ya kuingia na kutoka just like that?
3. Hivi mdada ameshindwa kweli kumvumilia (anyway sijui hiyo deformation ni mbaya kiasi gani), lakini nina imani angeweza kuishi naye some how.
4. Poor Jackson, wazazi wake hawakuweza kufanya kitu alivyokuwa mdogo.

Anyway karibuni kuchangia.
NB This is true story
 
Jackson ni mtu wa Njombe lakini anaishi Dar es Salaam, kijana mtanashati tu na mwenye kazi yake nzuri. Lily ni mdada wa njombe lakini anafanya kazi Mafinga (ni nurse); vijana hao wawili wanajuana na familia zao zinajuana. Mawasiliano kati yao ni ya simu na barua pepe, wamependana na kuamua kuwa wachumba.

Baada ya taratibu zote, hatimaye wamefunga ndoa ya kikristu kanisani (mpaka kifo kiwatenganishe). Usiku wa harusi, ambapo ndipo haswaa ndoa ilipopaswa kutimia (uchumba wao ulikuwa wa kikristu, hakuna tendo la ndoa kabla ya ndoa), ndipo tatizo lilipotokea. Bwana harusi, ana deformation kwenye penis yake; yaani uume umegawanyika kichwani hivyo kuufanya kuwa mpana sana kiasi kwamba ikawa vigumu kumuingia mkewe (hakuwa bikira).

BInti alipata maumivu makubwa sana, hadi kutoka damu (nafikiri alichanika); kiasi kwamba tendo la ndoa halikuwa la furaha tena. Bibi harusi hakukubali tena kushiriki tendo la ndoa na mumewe, na akamlaumu sana, na bwana harusi akasema yeye kazaliwa hivyo na alifikiri mkewe atamvumilia na kumtunzia siri. Baada ya fungate (hawakoDO tena) bwana harusi alirudi kwake Dar na bibi harusi akaenda kwenye kituo chake cha kazi.

Recently wameongea, na mume amempa go ahead mke in case anataka aanze upya na mtu mwingine. So mke ameongea na mshenga (ambaye ndio alisimulia) afanyaje?

Maswali niliyojiuliza:-
1. Kwanini mwanaume hakumuambia mchumbaye hali yake kabla?
2. Kiapo cha ndoa kimepoteza maana kiasi kwamba unaweza fanya majaribio ya kuingia na kutoka just like that?
3. Hivi mdada ameshindwa kweli kumvumilia (anyway sijui hiyo deformation ni mbaya kiasi gani), lakini nina imani angeweza kuishi naye some how.
4. Poor Jackson, wazazi wake hawakuweza kufanya kitu alivyokuwa mdogo.

Anyway karibuni kuchangia.
NB This is true story

Kuna umhimu wa kujuana kabla ya ndoa
 
Hali hii mimi naiita rushwa/ulaghai katika uchumba/mapenzi...
Jackson alikuwa m'binafsi, laghai kwa sababu kama hawakutaka kufanya mapenzi kabla ya ndoa(which is really good) basi angemwambia mchumba wake ili akubali kusuka au kunyoa.

Kwa hali hiyo (sababu hatujui hiyo deformation iko je) huyo dada ana haki kabisa kwenda huripoti hali ya mumewe ili waachane.( kisheria/kiimani pia inakubalika)
 
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaa! (Its not a laughing matter and im ASHAMED of myself! Seriously)

Ila MAMBO YA KUNUNUA MBUZI KWENYE GUNIA NIKIYAPINGA NAONEKANA SINA DINI!!!!!!!! Ona sasa yaliyomkuta huy bibie!

Bck to Topic

Mimi naungana na mdada 80% sio kwa ushabiki maandazi kutiwa amira kidogo kuumuka beseni zima, bali kwa hoja nzito!

1. Ndoa ni kwa kufurahia tendo la ndoa! Sasa kama tendo mtihani WHY SHOULD SHE DENY HERSELF THE BIGGEST PLEASURE OF THIS WORLD? Hapana Mumewe kuwa na matatizo ni kazi ya Mungu, ila yeye kujinyima another opportunity ya kufaidi maisha NI KAZI YAKE BINAFSI!!!!!! Everbody deserves a second chance! Afterall SHE WAS TRICKED IN THE 1st PLACE!

2. Ndoa ni MAKUBALIANO (OKAY FINE! BLESSED BY GOD) Na kuvunja ndoa ni ZAMBI 1, tena inatubika, Ila kubakia kwenye mfano wa ndoa na KUCHEAT CONTINUOUSLY NI ZAMBI 100, hapo sijahesabia zambi zingine za KUDANGANYA, KUSENGENYA,KUTOKUSHUKURU, KUZUGA ETC ambzo na ACCESSORY YA CHEATTING! Heri shoka moja mbuyu chini unaanza upya! Na atapata mtu mwengine atamuoa.

3.IT IS ALWAYS ABOUT YOU AND WHAT YOU WANT! As long as huyo dada kajirizisha hahitaji ndoa Baaaaaaaaaaaaaass its all up to her! Sisi wengine we can knock ourselves out kwa kusema posibilities zote na ushauri angefanya hivi hvi! Ila yote hayo angefanya it would have made US Happy! Not her! Muhimu ni furaha yake tu! Baaaaaaaaass!

4. Kwanini Mdada ndo avumilie? Thats not FAIR! Mkaka ndo avumilie kuachika! Mdada since God blessed her with all parts of the body to be well and sound, it means God wants her TO BE HAPPY AND LIVE A NORMAL LIFE!!!!!!!!! Since huyo mkaka yuko hivo, he should PRAY HARDER, God definitely has a solution for him! Its just that people arround him havent figured it out yet! But mdada with all being well with her can never blame the gods for being unhappy! They will be like WHAT DID WE DENY OR DO TO YOU? Ila mkaka can cry to the gods, for his un happines, and they will show him MERCY!

Naenda kazini, Ntarudi hapa.
 
Jackson ni mtu wa Njombe lakini anaishi Dar es Salaam, kijana mtanashati tu na mwenye kazi yake nzuri. Lily ni mdada wa njombe lakini anafanya kazi Mafinga (ni nurse); vijana hao wawili wanajuana na familia zao zinajuana. Mawasiliano kati yao ni ya simu na barua pepe, wamependana na kuamua kuwa wachumba.

Baada ya taratibu zote, hatimaye wamefunga ndoa ya kikristu kanisani (mpaka kifo kiwatenganishe). Usiku wa harusi, ambapo ndipo haswaa ndoa ilipopaswa kutimia (uchumba wao ulikuwa wa kikristu, hakuna tendo la ndoa kabla ya ndoa), ndipo tatizo lilipotokea. Bwana harusi, ana deformation kwenye penis yake; yaani uume umegawanyika kichwani hivyo kuufanya kuwa mpana sana kiasi kwamba ikawa vigumu kumuingia mkewe (hakuwa bikira).

BInti alipata maumivu makubwa sana, hadi kutoka damu (nafikiri alichanika); kiasi kwamba tendo la ndoa halikuwa la furaha tena. Bibi harusi hakukubali tena kushiriki tendo la ndoa na mumewe, na akamlaumu sana, na bwana harusi akasema yeye kazaliwa hivyo na alifikiri mkewe atamvumilia na kumtunzia siri. Baada ya fungate (hawakoDO tena) bwana harusi alirudi kwake Dar na bibi harusi akaenda kwenye kituo chake cha kazi.

Recently wameongea, na mume amempa go ahead mke in case anataka aanze upya na mtu mwingine. So mke ameongea na mshenga (ambaye ndio alisimulia) afanyaje?

Maswali niliyojiuliza:-
1. Kwanini mwanaume hakumuambia mchumbaye hali yake kabla?
2. Kiapo cha ndoa kimepoteza maana kiasi kwamba unaweza fanya majaribio ya kuingia na kutoka just like that?
3. Hivi mdada ameshindwa kweli kumvumilia (anyway sijui hiyo deformation ni mbaya kiasi gani), lakini nina imani angeweza kuishi naye some how.
4. Poor Jackson, wazazi wake hawakuweza kufanya kitu alivyokuwa mdogo.

Anyway karibuni kuchangia.
NB This is true story

looks like cook story..
 
kuna kitu kinaitwa 'consummation of marriage' yaani kukamilika kwa ndoa lazima kuwepo tendo la ndoa, kama hamna tendo la ndoa then ndoa haijakamilika. kwa sheria za kanisa (katoliki) kama hakuna consummation, ndoa inatenguliwa na kanisa.

all in all ni vizuri kumwambia mwenzi wako udhaifu ulionao kabla ili aamue kunyoa au kusuka kuliko kuja kuleteana usumbufu baadae.
 
Huyo bwana harusi katoa Go ahead now alikuwa wapi siku zote
kujielezea hali halisi ili ajue mbele ingekuwaje!!!!!!!!!

SEX IS NOT SUPPOSED HURT ikifika muda wa ku DO unafikiria
leo itakuwaje!!!!!!Mwache tu aende as the guy was not open since day 1!!!!!!
 
^^
Kuna mafundisho fulani ya ndoa yanayoitwa FUNGULIANA MIOYO.
Hapa wanandoa watarajiwa wanapaswa kuelezana ukweli ili mtu aamue kusuka au kunyoa.
Tatizo la kizazi cha sasa ni mtu ana nini na sio yuko vipi.
Let them depart..walikosa semina.
^^
 
Lawama zote kwa wazazi. Samaka mkunje angali m'bichi! Sidhani kama kijana wao atafurahia maisha coz maisha bila ile kitu, aagh ufe tu...!
 
the Lady is hundred percent right and just,there is no way a marriage institution should be founded on grounds of lies and selfishness and yield good results,huyo mkaka angekuwa wazi kwa nafsi yake na nafsi ya mwenzi wake mapema pengine huyo dada angekuja na solution za hii kitu after all she is a nurse.lady is fair and just on legal and religious grounds!
 
Ndio maana mimi siku zote napingana na mafundisho yetu ya Dini,.......ati nisikutane na mwenza wangu mpaka ndoa.
Kwangu hiyo itakuwa ni BIG NOOOOO!!!!1
Matokeo yake ndio haya sasa Kaunga.
........Ntarudi.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo deformation kwanini wazazi wasiishughulikie wakati ni mtoto, nafikiri inaweza hata kumfanya asiweze kupata watoto. Pili jamaa kwanini asiseme matatizo yake..............

Anyway sioni tatizo kwa mdada inataka roho hasa ikiwa hilo jambo kuelezwa mwanzo
 
Duuuuh inasikitisha sana.......!bi dada yupo sahihi kabisa maana tu hiyo advertise yakuchanwa tu ni noma,haiwez vumilika kabisaa.Huyo kaka alikosea kuficha ukwel.
 
Dah!Inasikitisha sana
'
Uwazi ni jambo la muhimu sana,lakini hapo ndoa haipo tena
'
Ndoa ni furaha bana!
 
looks like cook story..

Ila kuna somo hapa la kujifunza hasa kwa wale wanaoamini hakuna kufanya mapenzi mpaka ndoa hivyo mnapokuwa katika mahusiano kama haya na mengine utafanyaje, je umwambie, je usimwambie au taratibu za dini zinasemaje!
 
Jackson ni mtu wa Njombe lakini anaishi Dar es Salaam, kijana mtanashati tu na mwenye kazi yake nzuri. Lily ni mdada wa njombe lakini anafanya kazi Mafinga (ni nurse); vijana hao wawili wanajuana na familia zao zinajuana. Mawasiliano kati yao ni ya simu na barua pepe, wamependana na kuamua kuwa wachumba.

Baada ya taratibu zote, hatimaye wamefunga ndoa ya kikristu kanisani (mpaka kifo kiwatenganishe). Usiku wa harusi, ambapo ndipo haswaa ndoa ilipopaswa kutimia (uchumba wao ulikuwa wa kikristu, hakuna tendo la ndoa kabla ya ndoa), ndipo tatizo lilipotokea. Bwana harusi, ana deformation kwenye penis yake; yaani uume umegawanyika kichwani hivyo kuufanya kuwa mpana sana kiasi kwamba ikawa vigumu kumuingia mkewe (hakuwa bikira).

BInti alipata maumivu makubwa sana, hadi kutoka damu (nafikiri alichanika); kiasi kwamba tendo la ndoa halikuwa la furaha tena. Bibi harusi hakukubali tena kushiriki tendo la ndoa na mumewe, na akamlaumu sana, na bwana harusi akasema yeye kazaliwa hivyo na alifikiri mkewe atamvumilia na kumtunzia siri. Baada ya fungate (hawakoDO tena) bwana harusi alirudi kwake Dar na bibi harusi akaenda kwenye kituo chake cha kazi.

Recently wameongea, na mume amempa go ahead mke in case anataka aanze upya na mtu mwingine. So mke ameongea na mshenga (ambaye ndio alisimulia) afanyaje?

Maswali niliyojiuliza:-
1. Kwanini mwanaume hakumuambia mchumbaye hali yake kabla?
2. Kiapo cha ndoa kimepoteza maana kiasi kwamba unaweza fanya majaribio ya kuingia na kutoka just like that?
3. Hivi mdada ameshindwa kweli kumvumilia (anyway sijui hiyo deformation ni mbaya kiasi gani), lakini nina imani angeweza kuishi naye some how.
4. Poor Jackson, wazazi wake hawakuweza kufanya kitu alivyokuwa mdogo.

Anyway karibuni kuchangia.
NB This is true story

Hii ni kasheshe aisee ila hapo namba moja kumwambia inakuwa ngumu kutokana na misingi yenyewe ya mahusiano maana once atakapomwambia huyo mchumba yake atakuwa na picha tu kichwani na si kuona kiuhalisia (katika hali ya imagination kwa kuwa hawezi kusema embu nione kwani tayari hapo itakuwa wanaelekea kwenye kungonoka), lakini pia kwa upande mwingine hapo namba tatu (3) ndio msingi wenyewe wa ndoa labda angevumilia for the second time huenda angezoea maana kuna wanaume ambao hawapo katika hali kama hiyo lakini siku za mwanzo mwanzo huwa ni ngumu kumeza but muda unavyokwenda anazoea

Somo hapa nililolipata hapa kuna changamoto katika mahusiano kabla ya ndoa na viongozi wa dini wanatakiwa wajue namna ya kuwafundisha wauumini wao namna ya kuvunja ukimya
 
ukweli siku zote humfanya mtu awe huru, alitakiwa awe mkweli kabla maan alikuwa nalijua tatizo lake.

Ukweli unauma....ni wachache sana wanaoweza kufunua siri zao kabla ya ndoa
.VIkojozi kitandani
.wenye uume usioweza kupenya kwenye mwanya (ulio ka utambi wa taaa)
.Wasio na uwezo wa kuzaa
etc
 
Kaunga hiyo deformity ikoje au wataalamu wamemwambia inaitwaje?........... i smell a rat in here.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom