Kongosho ni kweli, maisha hayawezi kwenda bila imani? Simaanishi mambo ya Mungu.Kuna mtu kutokumuamini mtu mwingine kwasababu yeye hajui kuamini
Kuna kutokumwamini mtu kwakuwa haaminiki
Usichanganye hayo
Kwasababu maisha hayawezi kwenda bila Imani
Kwasababu ni hitaji la kimaisha
Yaani unatakiwa uamini unamuamini mtu kwakuwa unatakiwa kufanya hivyo ili maisha yaende
Not always, kuna trust ambazo ni zinaambikiza kuna zingine haziambukiziki
Each case will be treated differently. Na kumuamini mtu katika jambo A, haimaanishi utamuamini katika mambo yote. Kuna mtu unamwamini katika jambo A 100%, lakini unamwambini katika jambo B 40%.
Mfano, kuna mtu unaweza mkabidhi mamilioni yako ayapeleke nyumbani, na yakafika bila hiyana lakini mtu huyo huyo huwezi mkabidhi mkeo wala binti yako hata kumfikisha mlango wa chumba ulichopo, atamtongoza tu, iwe kwa maneno au vitendo.
Haya ni maneno yangu piaKongosho ni kweli, maisha hayawezi kwenda bila imani? Simaanishi mambo ya Mungu.
HapanaNa Eiyer, unasemaje; ninahitaji kuearn trust yako kwanza ndipo unitrust au unaweza kunitrust kwakuwa sijakupa sababu bado za kutonitrust?
eeeh?????sema ndo nani???
rafiki, huu ni uchokozi wa wazi kabisaaaaaa!Not always, kuna trust ambazo ni zinaambikiza kuna zingine haziambukiziki
Each case will be treated differently. Na kumuamini mtu katika jambo A, haimaanishi utamuamini katika mambo yote. Kuna mtu unamwamini katika jambo A 100%, lakini unamwambini katika jambo B 40%.
Mfano, kuna mtu unaweza mkabidhi mamilioni yako ayapeleke nyumbani, na yakafika bila hiyana lakini mtu huyo huyo huwezi mkabidhi mkeo wala binti yako hata kumfikisha mlango wa chumba ulichopo, atamtongoza tu, iwe kwa maneno au vitendo.
Kaunga ninavojua trust ni vurtue...na kama virtue nyingine, imeshakuwa eroded with time kutokana na muingiliano wa kitamaduni unaoshabihishwa na utandawazi.
Matokeo yake ndo kila kitu kwa machale......
Kaunga apo underline hebu nifafanulie bana sijaelewa....sredi ya kamusi naikumbuka...inahusiana na hii au umemuunda 'kaizer' wako wa namna flaniSikutegemea maoni tofauti especially kutoka kwako maana nakumbuka mchango wako kwa kamusi. Kwa maneno mengine unataka kuniambia machale ni silaha muhimu kwa zama hizi za muingiliano mkubwa wa kitamaduni? Lakini ni tamaduni zipi mfano zilizotuingilia ambazo zimetufanya tushindwe kuaminiana?
Mimi nisingelaumu sana tamaduni, rather ningelaumu ugumu wa maisha na ubinafsi wa kupindukia kama wadau karibu wote walivyochangia.
Unaposema maisha hayawezi kwenda bila imani labda sijakuelewa, lakini kuna watu hawaamini wenzao na wanaishi kama kawaida.
yani umeniacha porini...
Unaposema maisha hayawezi kwenda bila imani labda sijakuelewa, lakini kuna watu hawaamini wenzao na wanaishi kama kawaida.
Kuna mtu hata kuwa wapenzi tu, anakusainisha mkataba, ila ni dalili ya kutokuwa na imani na wewe. Lakini anaishi kama kawaida.
Labda useme kuwa maisha bila kuamini watu kadhaa yanachosha, kila saa inabidi uwe umejilinda.
Nafikiri Eiyer alimaanisha maisha yanakuwa magumu usipoamini watu, usipoamini huyu dreva atakufikisha salama kazini, usipoamini hayo maembe uliyonunua hayajadungwa sindano za sumu, usipoamini kuwa housegirl hajakojolea mkojo kwenye chai yako, usipoamini nyama choma uliyokula huenda ni nyama ya mbwa etc. Labda hii nimeexagerate lakini ofcourse as you said huwezi muamini kila mtu kwa baadhi ya mambo lakini you got to trust someone, awe mume, mke, dada, rafiki haijalishi. It is okay kuwa na siri walau moja au mbili lakini zile zisizo na madhara makubwa.
Kaunga apo underline hebu nifafanulie bana sijaelewa....sredi ya kamusi naikumbuka...inahusiana na hii au umemuunda 'kaizer' wako wa namna flani
Hapo bold, ndicho ninachosema, kutokuwa mbinafsi pia ni virtue, na ugumu wa maisha unaletwa partly na aina ya mfumo wa maisha tuliouchukua kwa maana ya mfumo wa kibepari, unaowajali wachache kunufaika huku wengi wakielea kwenye lindi la umaskini (ugumu wa maisha)
So kwa mtazamo wangu kama tunalenga ile kuaminiana, huko kumepotea siku hizi sio kama zamani, enzi za mababu zetu
Ukishaumwa nyoka ukiona mjusi lazima ushtuke.
Unaweza kumwamini mtu kumbe yeye ana lake jambo; likishakutokea jambo baya kwa sababu ya kumwamini mtu - inakuwa vigumu kuendelea kuwaamini wengine. Binafsi nilowahi kuyaona kwa umri huu ni mengi, hivyo kwa lolote inabidi kutanguliza uwazi mbele - ukishakuwa muwazi kwa mtu unayetaka kushirikiana naye kwa lolote lile - we unakuwa salama zaidi kwani kila kitu unakijengea mazingira ya kutoleta madhara mbeleni. Hapa maandishi ya makubaliano / mikataba iliyo wazi ni muhimu sana.
mi nafikiri watu wanaaminiana sana, wapo wengi tu wanaingia kwenye biashara bila hata makubaliano ya kimaandishi, hapo wanaongozwa na kuaminiana.
tuna wapenzi wetu na tunashiriki nao sex, ni imani hiyo mpaka kuoneshana viungo vyenu vya uzazi.
trust ipo sana sema tu kinachosumbua wengi ni hofu ya kutendwa lakini huwezi ukafanya yote hayo bado useme huwaamini watu wako.
Mlikuwa mmeenda huko kufanya nini?
...................lolllll!!!!!!!!!