Tujadili 50/50 ndani ya JWTZ

Jackbauer

JF-Expert Member
Oct 28, 2010
6,038
2,199
Baada ya rasimu kukamilika basi ni muda muafaka wa kuanza kujadili utekelezaji wa mambo muhimu yaliyomo katika rasimu.leo hii nimejikita kwenye suala nyeti la ulinzi na usalama hasa hasa tukilitazama jeshi letu la wananchi wa Tanzania.

Wanawake watapewa fursa ya kujiunga na jeshi kwa uwiano wa 50 kwa 50.

Je utekelezaji wa suala hili utakuwaje?

Utekelezaji wake utaanza lini?

Utekelezaji wake una athari gani kiusalama?

Utekelezaji wake una athari gani kisaikolojia?

Na maswali mengine yatakayojiri.

Tafadhali sana kwa mods,usiunganishe uzi huu.

Tafadhali sana wadau tusichangie kwa jazba.

cc: Pasco nguruvi Ritz
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hiyo futa kabisa tena delete futa kabisa, #JWTZ ni taasisi nyingine, ukitaka uamini hicho fatiliaa kama kuna Mwanamke aliwahi kumzidi #MEJA #GENERAL #MADAWILI cheo jwtz toka kabla ya mkoloni mpaka dk hii unayosoma hii kitu.....na sio kwamba wanawake hawapo jeshini wapo shazi tu ila sio rahisi hivyo kma unavyo dhani eti 50/50JWTZ....FUTA DELETE KABISA mkuu Jackbauer
 
Last edited by a moderator:
siasa inatupeleka pabaya sana katika taifa hili,,, tunaposema 50/50 ya uwiano wa jinsia katika jeshi letu tayari hapa tunaleta shida kubwa katika jeshi letu,,, ,iko wazi kabisa mwanamke na mwanamme kimaumbile tupo tofauti sana katika utendaji kazi hasa wa hizi kazi za nguvu... lazima tujue tunapoligusa jeshi tunazungumzia ulinzi wa taifa letu...

tunapokuwa na 50% ya akina mama jeshini lazima ujuwe katika suala la kwenda front line na mikiki ya front line hawa ndugu zetu ni ngumu sana kuhimili na kama kunawatakaohimili basi hapo unazungumzia 1% ukichanganya na wanaume 50% ambao kitaalamu hapo front line watakuwa kama 30% na 20% percent wanapigania vita kwenye makaratasi na keyboard kwa hiyo front line utakuwa na 30% + 1% = 31% JE UNATEGEMEA NA UPANDE WA ADUI ITAKUWA 31% ???

tuwe wakweli MUNGU alituumba kimaumbile tofauti sana sasa tunapotaka kuendekeza ujinga tutaingia kwenye matatizo.. tu jiulize maswali kadhaa humu ndani...

WAPI MWANAMKE AMEKATAZWA KUJIUNGA NA JESHI?
WAPI MWANAMKE AMEKATAZWA KUSOMA MASOMO YA SCIENCE.
WAPI MWANAMKE AKEKATAZWA KUFANYA KAZI NGUMU? mfano kubeba zege na mizigo??
WAPI WANAWAKE WAMEKATAZWA KUWA MAENGINEER??
MBONA MITIHANI SHULE IKO SAWA, MWANAMKE NA MWANAMME WANAFANYA MTIHANI SAWA??
 
Nina mke soldier na msomi ananipa stress ya kupokonywa na wakubwa ili wampe mawe begani.wakuu na hii 50/50 si ndiyo balaa!,maana ukimwona alivyo duh!
 
Nina mke soldier na msomi ananipa stress ya kupokonywa na wakubwa ili wampe mawe begani.wakuu na hii 50/50 si ndiyo balaa!,maana ukimwona alivyo duh!

Jeshi litakuwa na likizo ya Maternity , jeshi litakuwa na mimba miezi Tisa , .....
 
siasa inatupeleka pabaya sana katika taifa hili,,, tunaposema 50/50 ya uwiano wa jinsia katika jeshi letu tayari hapa tunaleta shida kubwa katika jeshi letu,,, ,iko wazi kabisa mwanamke na mwanamme kimaumbile tupo tofauti sana katika utendaji kazi hasa wa hizi kazi za nguvu... lazima tujue tunapoligusa jeshi tunazungumzia ulinzi wa taifa letu...

tunapokuwa na 50% ya akina mama jeshini lazima ujuwe katika suala la kwenda front line na mikiki ya front line hawa ndugu zetu ni ngumu sana kuhimili na kama kunawatakaohimili basi hapo unazungumzia 1% ukichanganya na wanaume 50% ambao kitaalamu hapo front line watakuwa kama 30% na 20% percent wanapigania vita kwenye makaratasi na keyboard kwa hiyo front line utakuwa na 30% + 1% = 31% JE UNATEGEMEA NA UPANDE WA ADUI ITAKUWA 31% ???

tuwe wakweli MUNGU alituumba kimaumbile tofauti sana sasa tunapotaka kuendekeza ujinga tutaingia kwenye matatizo.. tu jiulize maswali kadhaa humu ndani...

WAPI MWANAMKE AMEKATAZWA KUJIUNGA NA JESHI?
WAPI MWANAMKE AMEKATAZWA KUSOMA MASOMO YA SCIENCE.
WAPI MWANAMKE AKEKATAZWA KUFANYA KAZI NGUMU? mfano kubeba zege na mizigo??
WAPI WANAWAKE WAMEKATAZWA KUWA MAENGINEER??
MBONA MITIHANI SHULE IKO SAWA, MWANAMKE NA MWANAMME WANAFANYA MTIHANI SAWA??

Wapi mwanamke kakatazwa kuwa kiongozi wa kisiasa?hii ni fursa mkuu..kwani ilionekana mwanamke hana fursa
 
Hii katiba pendekezwa na mafisiem nimeshaipinga sana hivyo hata yale yaliyomo sina muda wa kuyajadili.
 
Mfano mzur ni jesh LA polis hasa traffic hawa Wa kike akikusimamisha ni kurembua tuu
 
50*50 TPDF!? You must be kidding.... Tuache siasa kwenye mambo nyeti. Wanawake tangu kale hatuwategemei kuwepo mstari wa mbele kwenye mapambano. Ni nature tu! Basi!
 
Wapi mwanamke kakatazwa kuwa kiongozi wa kisiasa?hii ni fursa mkuu..kwani ilionekana mwanamke hana fursa

Yah ni fulsa mkuu,, lakini kusiwe na favour iwe ni fair ground kwa maana washindanishwe kwenye taratibu zilezile sawa na wanaume...
 
Nchi kama Marekani, Uingereza na Ulaya yote kiujumla ndiyo wakongwe wa Demoktasia hawana upuuzi wa kulazisha 50-50, sasa Tanzania ambayo kutwa presidaa kutembeza bakuri kwao eti ndiyo nchi itasogea kweli au ndiyo tutuanza reverse ya maendeleo? Ishu ni kuwa kila mtu apambane kwa nguvu yake si kwanza kubebwa bebwa kipumbavu hapa. Haki sawa, sijui Nani mwenye haki yao hiyo. Inakera sana.
 
Mfano mzur ni jesh LA polis hasa traffic hawa Wa kike akikusimamisha ni kurembua tuu

sio tu kurembua kaka,, wakikuona umebeba mwanamke wanakuwa mpaka na wivu mkuu,,, kuna siku mmoja alinikamata mkoa fulani hivi alifikia hata kuniuliza eti nina mke nilimvyo mjibu ndio akaniuliza mkeo mzuri... nikamwambia mama niandikie niende!!! wacha anune...
 
Yah ni fulsa mkuu,, lakini kusiwe na favour iwe ni fair ground kwa maana washindanishwe kwenye taratibu zilezile sawa na wanaume...
Issue ya fair ground itakuwepo mkuu ila matakwa ya kikatiba itakuwa ni 50/50 yaani recruitment ya watu 100 ni lazima uwe na 50 wenye jinsia ya kike
 
Nchi kama Marekani, Uingereza na Ulaya yote kiujumla ndiyo wakongwe wa Demoktasia hawana upuuzi wa kulazisha 50-50, sasa Tanzania ambayo kutwa presidaa kutembeza bakuri kwao eti ndiyo nchi itasogea kweli au ndiyo tutuanza reverse ya maendeleo? Ishu ni kuwa kila mtu apambane kwa nguvu yake si kwanza kubebwa bebwa kipumbavu hapa. Haki sawa, sijui Nani mwenye haki yao hiyo. Inakera sana.

MapumbaaaffFf sana. Eti wanadai ktk historia Tz ndo moja ya nchi za kwanza kuwa na 50-50, mataifa makubwa sio kwamba hawakuiona, ila waliona ni upumbaffu. Sasa hapa Tz yaweka historia ya ujinga. Hapa kweli wamebugi. Kila mtu ajiunge na taasisi kwa nguvu zake. Upumbafffu wa 50-50 hamna. Nitapiga kura ya No, wakichakachua, fvck @ and every part of them. Pambaaaafhu zao sana, hawaoni mbele. Hivi hii ya 50-50 ilikuwapo kwenye rasimu ya Warioba?
 
Back
Top Bottom