myahudi wa gaza
Member
- Sep 30, 2014
- 96
- 24
Kitu hicho cha 50/50 jwtz hakiwezi kutokea kamwe!!
Kiukweli wanawake wanadai haki zao sawa lkn kimaumbile kuna baadhi ya sehemu wanatakiwa wakubali na kuwa wapole.
Kwa mfano mizinga mwanamke harusiwi kwa kwani ile shock wave huwaletea matatizo ktk viungo vyao vya uzazi.
So kiufupi wao ni kwa ajili ya kuwa ktk sector ambazo huwa hawaendi vitani.
Kiukweli wanawake wanadai haki zao sawa lkn kimaumbile kuna baadhi ya sehemu wanatakiwa wakubali na kuwa wapole.
Kwa mfano mizinga mwanamke harusiwi kwa kwani ile shock wave huwaletea matatizo ktk viungo vyao vya uzazi.
So kiufupi wao ni kwa ajili ya kuwa ktk sector ambazo huwa hawaendi vitani.