Tujadili 50/50 ndani ya JWTZ

Tujadili 50/50 ndani ya JWTZ

siasa inatupeleka pabaya sana katika taifa hili,,, tunaposema 50/50 ya uwiano wa jinsia katika jeshi letu tayari hapa tunaleta shida kubwa katika jeshi letu,,, ,iko wazi kabisa mwanamke na mwanamme kimaumbile tupo tofauti sana katika utendaji kazi hasa wa hizi kazi za nguvu... lazima tujue tunapoligusa jeshi tunazungumzia ulinzi wa taifa letu...

tunapokuwa na 50% ya akina mama jeshini lazima ujuwe katika suala la kwenda front line na mikiki ya front line hawa ndugu zetu ni ngumu sana kuhimili na kama kunawatakaohimili basi hapo unazungumzia 1% ukichanganya na wanaume 50% ambao kitaalamu hapo front line watakuwa kama 30% na 20% percent wanapigania vita kwenye makaratasi na keyboard kwa hiyo front line utakuwa na 30% + 1% = 31% JE UNATEGEMEA NA UPANDE WA ADUI ITAKUWA 31% ???

tuwe wakweli MUNGU alituumba kimaumbile tofauti sana sasa tunapotaka kuendekeza ujinga tutaingia kwenye matatizo.. tu jiulize maswali kadhaa humu ndani...

WAPI MWANAMKE AMEKATAZWA KUJIUNGA NA JESHI?
WAPI MWANAMKE AMEKATAZWA KUSOMA MASOMO YA SCIENCE.
WAPI MWANAMKE AKEKATAZWA KUFANYA KAZI NGUMU? mfano kubeba zege na mizigo??
WAPI WANAWAKE WAMEKATAZWA KUWA MAENGINEER??
MBONA MITIHANI SHULE IKO SAWA, MWANAMKE NA MWANAMME WANAFANYA MTIHANI SAWA??

Hivi ni viti maalumu vilivyopitiliza. Yaonyesha walivyo 'walemavu'. 50-50 my ass, damn it!
 
50/50 haiwezekani popote, huyu Rais wa Tz kasoma dini gani? Tena alikua anaichekelea kama hajui athari yake.

Tunaleta usanii mpaka kwenye mambo ya msingi kabisa

Sasa ni kuwa waruhusiwe hata kuoa na watoe mahari itakua hivo
 
Very sad kuwa na maviongozi yanayowaza kutumia makalio. Unajua hizi Sifa za kijinga zitatupeleka pabaya. Tunayo mifano ya kutosha tu kwa hawa hawa wanawake walivyoharibu mathalani; Makinda, R. Migiro et all. Hili taifa nimegundua hawa ccm wanataka waonekane wema kwa wanawake(Kundi dogo) kwa vile ni wepesi kurubunika, yanarudi yake ya mkuu wa kaya 2005 ambapo mpaka Leo wnalilia while it was too late.
 
Upo sahihi mkuu. Hakuna dini inayoruhusu mwanamke kuwa wapo sawa na mwana ume na dini ndiyo Serikali ya Mungu.
 
aiseee babayangu huwa naambiwa madawil ni wamorali tu jeshin na si vingenevyo
 
nadhani hata nafasi ya rais iwe kwa zamu kila five yrs 50/50 mpango mzima
katiba ya ccm oyeee
 
Nchi kama Marekani, Uingereza na Ulaya yote kiujumla ndiyo wakongwe wa Demoktasia hawana upuuzi wa kulazisha 50-50, sasa Tanzania ambayo kutwa presidaa kutembeza bakuri kwao eti ndiyo nchi itasogea kweli au ndiyo tutuanza reverse ya maendeleo? Ishu ni kuwa kila mtu apambane kwa nguvu yake si kwanza kubebwa bebwa kipumbavu hapa. Haki sawa, sijui Nani mwenye haki yao hiyo. Inakera sana.

Mfano mzuri kuwa 50/50 bado ni vigelegele vya hovyo vilivyokuwa vinapigwa wakati wa BMK. Wako wanawake wachache serious na wanatumia vichwa vyao vizuri but not the majority. Bado wengi hawajiamini. Wale wenye uwezo kama Tibaijuka sina shida nao.
 
Kikubwa tunachotaka kila mmoja wetu apate hiyo nafasi kwa kuipigania na si kubebwa at least unaweza kuwa commited. Hii mambo ya kubebwa ni kuliua taiga ndiyo kama akina Mary Mwanjelwa wale hopeless kabisa.
 
nadhani hata nafasi ya rais iwe kwa zamu kila five yrs 50/50 mpango mzima
katiba ya ccm oyeee

Katiba ya CCM majanga matupu. Ulimaanisha 50/50 hii hapa chini?
 

Attachments

  • 1412965897886.jpg
    1412965897886.jpg
    31.2 KB · Views: 302
  • 1412965915385.jpg
    1412965915385.jpg
    130.4 KB · Views: 295
sio tu kurembua kaka,, wakikuona umebeba mwanamke wanakuwa mpaka na wivu mkuu,,, kuna siku mmoja alinikamata mkoa fulani hivi alifikia hata kuniuliza eti nina mke nilimvyo mjibu ndio akaniuliza mkeo mzuri... nikamwambia mama niandikie niende!!! wacha anune...
ha ha hahaaaaa mkuu kwanza hii ni moja kati ya taaliuma ya kudharaulika sana nina mdogo wangu kamaliza mwka jana eti leo trafick sasa najiliza hivi anajua hata maadili ya kazi kweli afuuu kuna watotooo wazuuuuriiii humoooooo
 
Hayo yatakuwa masikhara kabisa, napinga kabisa hii 50/50 iciwepo, mbona usa, uk, germany haipo na ambapo ndo strong democracy. Raisi anatakiwa aliangalie hili kwa umakini sana.
 
Baada ya rasimu kukamilika basi ni muda muafaka wa kuanza kujadili utekelezaji wa mambo muhimu yaliyomo katika rasimu.leo hii nimejikita kwenye suala nyeti la ulinzi na usalama hasa hasa tukilitazama jeshi letu la wananchi wa Tanzania.

Wanawake watapewa fursa ya kujiunga na jeshi kwa uwiano wa 50 kwa 50.

Je utekelezaji wa suala hili utakuwaje?

Utekelezaji wake utaanza lini?

Utekelezaji wake una athari gani kiusalama?

Utekelezaji wake una athari gani kisaikolojia?

Na maswali mengine yatakayojiri.

Tafadhali sana kwa mods,usiunganishe uzi huu.

Tafadhali sana wadau tusichangie kwa jazba.

cc: Pasco nguruvi Ritz

Mkuu hiyo kitu haipo katika practical life ndani ya army,nitakupa mfano mmoja ili uone hata maumbile yao hayaruhusu kuwa ndani ya army especialy on special forces,at one particular time kuna mwanasiasa alishinikiza wanawake wa take part kwenye training kule ngerengere,so they went there na siku ya kwanza ya training ilikuwa ni kwenye batsims za nguvu,woooote(i mean all of them) walitoka porini wanableed kwa ajili ya mshtuko,unajua what happened thereafter?to date hakuna mwanamama anae serve hapa kama soldier au officer
 
Wanawake wote jeshini ni viburudisho vya wakubwa yaani ni nyumba ndogo zao. Wenyewe wanaziita ration
 
50/50 inawezekana kwa mazuzu tu. Ni mpango maalum wa kuchakachua maamuzi katika jamii kwa faida ya mafisadi wachache! Wanawake by nature ni wepesi kushawishiwa, waoga na rahisi kufuata mawazo ya wengine hata kama ya kipuuzi!
 
Baada ya rasimu kukamilika basi ni muda muafaka wa kuanza kujadili utekelezaji wa mambo muhimu yaliyomo katika rasimu.leo hii nimejikita kwenye suala nyeti la ulinzi na usalama hasa hasa tukilitazama jeshi letu la wananchi wa Tanzania.

Wanawake watapewa fursa ya kujiunga na jeshi kwa uwiano wa 50 kwa 50.

Je utekelezaji wa suala hili utakuwaje?

Utekelezaji wake utaanza lini?

Utekelezaji wake una athari gani kiusalama?

Utekelezaji wake una athari gani kisaikolojia?

Na maswali mengine yatakayojiri.

Tafadhali sana kwa mods,usiunganishe uzi huu.

Tafadhali sana wadau tusichangie kwa jazba.

cc: Pasco nguruvi Ritz
Kila nikiwaza hii 50/50 ya tume ya Warioba nashindwa kujua Warioba na timu yake walikuwa na hangover ya kilevi gani vichwani mwao wakati wanatuwekea ujinga huo kwenye rasimu. Katiba yoyote nzuri lazima iepushe na kuzuia kabisa uonevu au upendeleo kwa kundi lolote miongoni mwa walengwa wa katiba hiyo, na pengine kulinda haki za minority kama kweli wapo.

Kwa matokeo ya sensa ya mwaka 2012, wanawake ni zaidi ya 51% wakati wanaume ni chini ya 49%, hii 50/50 ililenga nini hasa? Labda kuna siku tutapata majibu toka kwa wahusika.
 
Wanawake wote jeshini ni viburudisho vya wakubwa yaani ni nyumba ndogo zao. Wenyewe wanaziita ration
Labda na huko bungeni wanapelekwa kuwaburudisha wabunge, vinginevyo logic iko wapi? Huko Marekani tunakopenda kuiga kila kitu wanawake bungeni ni chini ya 20%, Warioba hii 50/50 alichukua mawazo ya watu gani na kwa maslahi gani kwa taifa?
 
Back
Top Bottom