Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,946
- 38,656
Ndugu Watanzania, Wakenya, Waganda na Waafrika wenzangu
Kitendo cha kampuni ya META kushirikiana na serikali ya Samia kuminya uhuru wa maoni na kuzuia umma na dunia kufahamu matukio ya mauaji ya kutisha kuanzia Oktoba 29 na kuendelea, ni ukiukwaji mkubwa wa uhuru wa maoni na haki ya kupata taarifa.
Kitendo hiko haiyumkiniki upo uwezekano wa platforms za META yaani facebook, Instagram na WhatsApp wakawa wanatoa taarifa za faragha za watumiaji wake kwa serikali kandamizi.
Ninawashauri ndugu zangu. Tuanze kususia hayo majukwaa. Tutengeneze social platforms zetu huru au tutafute zinazolinda uhuru wa maoni na faragha za watumiaji.
Natamani kuona JamiiForums inakuwa na social chat app ili watumiaji waendelee kufaidika na ulizi wa faragha za watumiaji lakini itumike kama instant convo as social.....
Naomba kuwasilisha
Kitendo cha kampuni ya META kushirikiana na serikali ya Samia kuminya uhuru wa maoni na kuzuia umma na dunia kufahamu matukio ya mauaji ya kutisha kuanzia Oktoba 29 na kuendelea, ni ukiukwaji mkubwa wa uhuru wa maoni na haki ya kupata taarifa.
Kitendo hiko haiyumkiniki upo uwezekano wa platforms za META yaani facebook, Instagram na WhatsApp wakawa wanatoa taarifa za faragha za watumiaji wake kwa serikali kandamizi.
Ninawashauri ndugu zangu. Tuanze kususia hayo majukwaa. Tutengeneze social platforms zetu huru au tutafute zinazolinda uhuru wa maoni na faragha za watumiaji.
Natamani kuona JamiiForums inakuwa na social chat app ili watumiaji waendelee kufaidika na ulizi wa faragha za watumiaji lakini itumike kama instant convo as social.....
Naomba kuwasilisha